Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
MWIAJAKU BADO KUJA KUJIBU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale ni Uchina 😃Kwamba wazenji wanashikilia na Ubungo?
Kumekucha!Wafanyabiashara wote wa viunga vya Kariakoo mnatakiwa kufunga biashara zenu zote ikiwemo maduka yenu, ofisi zetu na chochote unachokifanya kuanzia Jumatatu ya Juni 24, 2024 bila ukomo hadi pale changamoto zetu zote za kibiashara zitakapoweza kutatuliwa.
Mikoa ya Mbeya, Iringa, Mwanza, Arusha, Ruvuma, Kagera na Rukwa mtaanza kufunga biashara zetu kuanzia siku ya Jumanne ya Juni 25, 2024 bila ukomo.
Kuanzia siku ya Jumatano ya Juni 26, 2024 wafanyabiashara wote nchini tutaungana kufunga biashara zetu hadi pale changamoto zetu zote zitakapopata ufumbuzi wa kudumu.
Kutakuwa na kikosi kazi cha kupitia ili kukagua ofisi au biashara ambazo hazijafungwa ili kuhakikisha wote tunaungana kupambana na udhalimu huu wa kodi kandamizi.
----
Pia soma
Tetesi: - Wafanyabiashara Kariakoo kugoma muda wowote kutokana na madai yao kupuuzwa
- Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023
- SoC03 - Je, mgomo katika soko la Kariakoo unaweza vipi kukomeshwa usijirudie tena miaka ijayo?
- UPDATE: Mgomo waendelea Kariakoo kwa Siku ya 3, Wafanyabiashara wataka Mkutano wa Wazi na Majaliwa
- Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo ni fedheha kwa Serikali
- Mgomo wa Kariakoo; Serikali Iwasikilize Wafanyabiashara
- Inasikitisha Spika Tulia kujifanya hajui kinachoendelea Kariakoo
- Dkt. Ashatu Kijaji: Biashara Kariakoo zinaendelea, wafanyabiashara wametumia Demokrasia na Uhuru wao kufungua au kutokufungua
- Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo ukitatuliwa kwa ushawishi wa vyombo vya dola tutakuwa tunaahirisha tatizo
View attachment 3023083
Uzuri viongozi wetu wanajua nguvu ya soko la kariakoo, kariakoo inahudumia masoko ya ndani na nje kama Congo na MalawiMpaji,
Huwa ninafurahi sana mtu anakuambia hawana ubavu sababu biashara zao ni za mikopo. Na bado kuna mwingine atataka kuifananisha na ubungo.
Hawaelewi kwamba kariakoo ndio soko kubwa, hawataki kuelewa kwamba kariakoo ina athiri mzunguko wa fedha. Haielewi kwamba kariakoo inaweza ikasababisha athari za mikataba ya kimataifa ya kikodi.
Hawataki kusikiliza wanaendekeza siasa
Ili baki kidogo tuu ujiite nguruweHuu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Bora mpate changamoto mafuvu yatafanya kazi yaani changamoto huamsha ubongo, changamoto ni sehemu ya biasharaTatizo ni mshikamano mkuu. Wabongo tunaweza kuja na azimio moja na kulitekeleza wote kwa wakati huo huo?
Mawazo ya kijinga hayaHuu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Umeongea madudu tu Zambia,Zimbabwe,SA au Botswana tunanunua mizigo hatukamatwi kama wanavyokamatwa kariakoo ni vile hampo kwenye biashara ndio maana unaweza kuongea chochote hapa Jozi unaweza kushusha kontena hautapata usumbufu kama kutuma box tatu Tanzania...maana hakuna kontena au mzigo utafika bila kulipiwa ni vile Watanzania wengi wamedumaa wanakua na maamuzi ya kuua Biashara kwa Nchi iliyo na Bandari ila Watanzania wanafata mizigo Uganda na Kenya kama sio Ujinga huo ni nini?waweke mazingira mazuri kwa Wafanyabiashara na wanunuzi ili watu wapate bidhaa bora na kwa bei nafuu..Wajinga hao, ngoja soko la Ubungo likamilike, mchina analeta mzigo moja kwa moja, wafanyabiashara wanachukua bila udalali. Ni ujinga wa watu wa kariakoo kuwashawishi wafanyabiashara wa kigeni wasichukue risiti, baadae wakitoka nje ya kariakoo wanakamatwa, wakikamatwa hao wafanyabiashara wanawaruka. Pumbafu sana, na ndio inafanya wageni wakimbie
Serikali itengeneze karikoo zaidi ya nne hapo jijini, hii itaondoa hali ya monopoly kama ilivyo kwenye sukari.
lichawa likubwa hiliHuu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Hii iwekwe kwenye mlango wa kila nyumba Tanganyika, mjini na vijijini.Wewe mdini ama chawa mkubwa wa mama.
Hauwezi kuongelea logic zako mpaka uambatanishe na hayo matakataka?
Ukristu ama uislam wa kiongozi wa nchi unakuletea sukari mezani wewe?
Kuwa biased na dini ama madhehebu kunatia upofu raia kutokujua haki zetu na kupelekea kunyanyaswa na hizi tawala dhalimu.
Kama ndivyo wananchi wote tunawaza basi wala sio kosa la Rais Samia peke yake, ni letu sote.Wewe kijana acha ujinga! Nitajie nani aliyekuwa na biashara halali aliporwa hela zake?
Waulize wafanyabiashara Kariakoo kama walikuwa wanaasumbuliwa kama wanavyosumbuliqa saizi!
Magufuli wewe kama ni muuza vitu vya michongo hulipi kodi lazima serkali ikuulize hela hiyo umepata wapi na kwa biashara gani na kodi ya sekali ni ipi!,Hilo lipp dunia nzima sio kipindi cha Magufuli tu!
Samia ameshafeli na ataendelea kufeli maana kawaachia TRA kazi ya kukusanya hela kwa rushwa na usumbufu!
HAWANA UBAVU HUO. BIASHARA ZAO NI ZA MIKOPO WATAPATA WAPI MAREJESHO?
Hao wanaohimiza mgomo ni wale Ma Tycoon wenye Biashara kubwa kwa maslahi yao zaidi....sio hawa mwenye Kigoli kidogo anauza makava ya simu