Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kabisa naungana nao maana kinachofanyika saizi sio kodi tena bali ni ufisadi.
Hadi msajili line aliyeweka bango nje la tigo siku hizi wamekuja na sheria mpya inaitwa kodi ya bango ikimtaka huyo mtu awe analipia hilo bango.
Kuna mtu jana katozwa na Manispaa 80K kwa ajili ya bango la saluni "hair cutting"
Bado hapo hujazungumzia Service Levy, mawakala wa miamala wanalalamika kamisheni zao zinakatwa na mwisho wa mwezi TRA wanachukua 10%
Lakini bado wanalazimika kuwa na lesenj ku run biashara hiyo yani wanakatwa kodi zaidi ya mara mbili kwenye huduma moja.
Huu ni ukandamizaji, nchi imeingia gizani viongozi wanajali matumbo yao mtu wa chini wala hawamuangalii.
Naungana na wafanyabishara wa Kariakoo kwenye hili.
Hadi msajili line aliyeweka bango nje la tigo siku hizi wamekuja na sheria mpya inaitwa kodi ya bango ikimtaka huyo mtu awe analipia hilo bango.
Kuna mtu jana katozwa na Manispaa 80K kwa ajili ya bango la saluni "hair cutting"
Bado hapo hujazungumzia Service Levy, mawakala wa miamala wanalalamika kamisheni zao zinakatwa na mwisho wa mwezi TRA wanachukua 10%
Lakini bado wanalazimika kuwa na lesenj ku run biashara hiyo yani wanakatwa kodi zaidi ya mara mbili kwenye huduma moja.
Huu ni ukandamizaji, nchi imeingia gizani viongozi wanajali matumbo yao mtu wa chini wala hawamuangalii.
Naungana na wafanyabishara wa Kariakoo kwenye hili.