MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'

MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'

Kabisa naungana nao maana kinachofanyika saizi sio kodi tena bali ni ufisadi.

Hadi msajili line aliyeweka bango nje la tigo siku hizi wamekuja na sheria mpya inaitwa kodi ya bango ikimtaka huyo mtu awe analipia hilo bango.

Kuna mtu jana katozwa na Manispaa 80K kwa ajili ya bango la saluni "hair cutting"

Bado hapo hujazungumzia Service Levy, mawakala wa miamala wanalalamika kamisheni zao zinakatwa na mwisho wa mwezi TRA wanachukua 10%

Lakini bado wanalazimika kuwa na lesenj ku run biashara hiyo yani wanakatwa kodi zaidi ya mara mbili kwenye huduma moja.

Huu ni ukandamizaji, nchi imeingia gizani viongozi wanajali matumbo yao mtu wa chini wala hawamuangalii.

Naungana na wafanyabishara wa Kariakoo kwenye hili.
 
Huu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Low Bettry, think wisely
 
Huu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Wewe ni kunguni...udini umeingaaje hepo fine ya mil 15
Huu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
wewe ni kunguni..kila saa unawaza udini...fine ya mil 15 ni ndogo...mwigulu must go...ni mpumbavu
 
Wajinga hao, ngoja soko la Ubungo likamilike, mchina analeta mzigo moja kwa moja, wafanyabiashara wanachukua bila udalali. Ni ujinga wa watu wa kariakoo kuwashawishi wafanyabiashara wa kigeni wasichukue risiti, baadae wakitoka nje ya kariakoo wanakamatwa, wakikamatwa hao wafanyabiashara wanawaruka. Pumbafu sana, na ndio inafanya wageni wakimbie

Serikali itengeneze karikoo zaidi ya nne hapo jijini, hii itaondoa hali ya monopoly kama ilivyo kwenye sukari.
Mkuu kama hujui kitu ni Bora ukae kimya Tu, nipo kariakoo mwaka wa 11 huu najua mambo mengi Sana ya wafanyabiashara.. kumbuka wafanyabiashara wataowekeza ubungo ndiyo haohao wapo kariakoo, ndiyo maana kariakoo inaitwa mkoa wa kikodi ( eneo ambalo linachangia revenue kubwa serikalini kama hadhi ya mkoa)

Waulize TRA kariakoo ikifungwa Kwa siku moja inakuaje!!!
 
Huu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Kwahiyo Wapemba, Wamanyema na Wasomali waliojazana Kariakoo hawawapendi viongozi Waislamu?🐼
 
Wafanyabiashara wote wa viunga vya Kariakoo mnatakiwa kufunga biashara zenu zote ikiwemo maduka yenu, ofisi zetu na chochote unachokifanya kuanzia Jumatatu ya Juni 24, 2024 bila ukomo hadi pale changamoto zetu zote za kibiashara zitakapoweza kutatuliwa.

Mikoa ya Mbeya, Iringa, Mwanza, Arusha, Ruvuma, Kagera na Rukwa mtaanza kufunga biashara zetu kuanzia siku ya Jumanne ya Juni 25, 2024 bila ukomo.

Kuanzia siku ya Jumatano ya Juni 26, 2024 wafanyabiashara wote nchini tutaungana kufunga biashara zetu hadi pale changamoto zetu zote zitakapopata ufumbuzi wa kudumu.

Kutakuwa na kikosi kazi cha kupitia ili kukagua ofisi au biashara ambazo hazijafungwa ili kuhakikisha wote tunaungana kupambana na udhalimu huu wa kodi kandamizi.

----
Pia soma
Tetesi: - Wafanyabiashara Kariakoo kugoma muda wowote kutokana na madai yao kupuuzwa

View attachment 3023083
Changamoto zenu mbona hamjaainisha
 
Kabisa naungana nao maana kinachofanyika saizi sio kodi tena bali ni ufisadi.

Hadi msajili line aliyeweka bango nje la tigo siku hizi wamekuja na sheria mpya inaitwa kodi ya bango ikimtaka huyo mtu awe analipia hilo bango.

Kuna mtu jana katozwa na Manispaa 80K kwa ajili ya bango la saluni "hair cutting"

Bado hapo hujazungumzia Service Lay, mawakala wa miamala wanalalamika kamisheni zao zinakatwa na mwisho wa mwezi TRA wanachukua 10%

Lakini bado wanalazimika kuwa na lesenj ku run biashara hiyo yani wanakatwa kodi zaidi ya mara mbili kwenye huduma moja.

Huu ni ukandamizaji, nchi imeingia gizani viongozi wanajali matumbo yao mtu wa chini wala hawamuangalii.

Naungana na wafanyabishara wa Kariakoo kwenye hili.
Tatizo ni mshikamano mkuu. Wabongo tunaweza kuja na azimio moja na kulitekeleza wote kwa wakati huo huo?
 
Huu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Wewe mdini ama chawa mkubwa wa mama.

Hauwezi kuongelea logic zako mpaka uambatanishe na hayo matakataka?

Ukristu ama uislam wa kiongozi wa nchi unakuletea sukari mezani wewe?

Kuwa biased na dini ama madhehebu kunatia upofu raia kutokujua haki zetu na kupelekea kunyanyaswa na hizi tawala dhalimu.
 
Huu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Wewe hujui usemalo! Wafanya biashara waliokuwa hawafanyi magumashi kipindi ya Magufuli walifanya kazi vizuri sana!
Saizi Chini ya Samia ni TRA kuomba rusha na kufanya gharama za kuendesha biashara kuongezeka!
Samia na serkali yake hawatabiriki leo hiki kesho kile!
 
Wewe hujui usemalo! Wafanya biashara waliokuwa hawafanyi magumashi kipindi ya Magufuli walifanya kazi vizuri sana!
Saizi Chini ya Samia ni TRA kuomba rusha na kufanya gharama za kuendesha biashara kuongezeka!
Samia na serkali yake hawatabiriki leo hiki kesho kile!
Kuporwa pesa kwenye akaunti baada ya kusingiziwa kudaiwa kodi miaka mitano iliyopita ndiyo kulikuwa kuzuri! Acha kuongea uongo.
 
Back
Top Bottom