Low thinkerDawa kiongozi wa hao wafanyabiashara akamatwe atiwe adabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Low thinkerDawa kiongozi wa hao wafanyabiashara akamatwe atiwe adabu
Sisi tupo mzee, katavi ni kwema kabisa tunasubili Mgomo wenuMwaka Jana watu waligoma na waziri mkuu alikuja, wewe upo zako KATAVI mambo ya kariakoo huyajui
HongeraIli baki kidogo tuu ujiite nguruwe
Sema mwishoni kwel sisi wanafki Sana.
Dogo ushabadilisha tena avatar picha! Yani hamtutendei haki nilitaka kukupita hivi hiviHilo angalizo ni noma
Kuna wakati nilikuwa nanunua mizigo cash and carry na jumbo stores, ukija beitbridge unajaza fomu ya vat refund, na utapata, huku kwetu kariakoo anakatwa mzambia hana ririti ya vat ilhali tra hawana taratibu za kurudisha vat.Umeongea madudu tu Zambia,Zimbabwe,SA au Botswana tunanunua mizigo hatukamatwi kama wanavyokamatwa kariakoo ni vile hampo kwenye biashara ndio maana unaweza kuongea chochote hapa Jozi unaweza kushusha kontena hautapata usumbufu kama kutuma box tatu Tanzania...maana hakuna kontena au mzigo utafika bila kulipiwa ni vile Watanzania wengi wamedumaa wanakua na maamuzi ya kuua Biashara kwa Nchi iliyo na Bandari ila Watanzania wanafata mizigo Uganda na Kenya kama sio Ujinga huo ni nini?waweke mazingira mazuri kwa Wafanyabiashara na wanunuzi ili watu wapate bidhaa bora na kwa bei nafuu..
hahahaha kwani kuna shida gani mkuuDogo ushabadilisha tena avatar picha! Yani hamtutendei haki nilitaka kukupita hivi hivi
Maghayo kakasirikahahahaha kwani kuna shida gani mkuu
Kodi wanatumia watakavyo hakuna wakuwachukilia hatuaChuma upata kutu kutokana na kutotumika.
Simmeni imara, pambaneni.
Mnatozwa kodi wapendavyo, wengine wanatumia watakavyo
Mkuu asante kwa mchango wako🚮🚮🚮
Kwa hiyo hao wafanya biashara wa Kariakoo hakuna waislamu?
Huu udini unawapofusha sana wanafiki, wadini na wajinga.
Kama Magu hakupingwa ni kwanini alituhumiwa kuua sana?
Je, Ben Saanane ni muislamu?
Je, Tundu Lissu aliyeponea chupuchupu kuuliwa ni muislamu?
Kuna baadhi ya madai ni ya msingi.
Kwa mfano, inasemekana kodi ya kontena la VITENGE ipo hivi:-
Zambia Tsh 22mil,
Zanzibar Tsh 33mil,
Kenya Tsh 35mil,
Ila Tanganyika ni Tsh 384mil..
Kwa hiyo nyie wadini mnataka wananchi waishi kama watumwa, waache kudai haki kisa dini ya rais?
Acheni kutetea udhalimu kwa kigezo cha udini.
Wakenya wenyewe waoga tu unaandaman unakimbia askari si bora ulale nyumbani tuIngekua kenya sawa ila hapa kwetu hakuna wa kufunga
Kuwa muislamu nimegundu ni UDHAIFU MKUBWA SANA AKILINI. WAISLAMU MIAKA YOTE DUNIA YOTE NI WALALAMISHI NA WANAPENDA KUONEWA HURUMA. KUJITUTUMUA.Huu ni mkakati mahususi na umekuwa ukifanyika kila wakati kiongozi wa nchi anapokuwa Muislamu ili kuhakikisha utawala huo unakosa utulivu na kuleta chuki baina ya wananchi na utawala uliopo madarakani.
Wakati wa utawala wa Magufuli wafanyabiashara walionewa sana ikiwa ni pamoja kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi na kuporwa pesa kwenye akaunti zao benki lakini hatukushuhudia hata kunguni kuandamana au kugoma,
Huu ni unafiki na tukae tukijua kwa unafiki tulionao Watanzania hatutofanikiwa kujinasua kutoka kwenye makucha ya utawala dhalimu wa ccm.
Comments reservedWewe hujui usemalo! Wafanya biashara waliokuwa hawafanyi magumashi kipindi ya Magufuli walifanya kazi vizuri sana!
Saizi Chini ya Samia ni TRA kuomba rusha na kufanya gharama za kuendesha biashara kuongezeka!
Samia na serkali yake hawatabiriki leo hiki kesho kile!
Serikali hii ina mambo ya kikwuma sanaWafanyabiashara wote wa viunga vya Kariakoo mnatakiwa kufunga biashara zenu zote ikiwemo maduka yenu, ofisi zetu na chochote unachokifanya kuanzia Jumatatu ya Juni 24, 2024 bila ukomo hadi pale changamoto zetu zote za kibiashara zitakapoweza kutatuliwa.
Mikoa ya Mbeya, Iringa, Mwanza, Arusha, Ruvuma, Kagera na Rukwa mtaanza kufunga biashara zetu kuanzia siku ya Jumanne ya Juni 25, 2024 bila ukomo.
Kuanzia siku ya Jumatano ya Juni 26, 2024 wafanyabiashara wote nchini tutaungana kufunga biashara zetu hadi pale changamoto zetu zote zitakapopata ufumbuzi wa kudumu.
Kutakuwa na kikosi kazi cha kupitia ili kukagua ofisi au biashara ambazo hazijafungwa ili kuhakikisha wote tunaungana kupambana na udhalimu huu wa kodi kandamizi.
----
Pia soma
Tetesi: - Wafanyabiashara Kariakoo kugoma muda wowote kutokana na madai yao kupuuzwa
- Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023
- SoC03 - Je, mgomo katika soko la Kariakoo unaweza vipi kukomeshwa usijirudie tena miaka ijayo?
- UPDATE: Mgomo waendelea Kariakoo kwa Siku ya 3, Wafanyabiashara wataka Mkutano wa Wazi na Majaliwa
- Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo ni fedheha kwa Serikali
- Mgomo wa Kariakoo; Serikali Iwasikilize Wafanyabiashara
- Inasikitisha Spika Tulia kujifanya hajui kinachoendelea Kariakoo
- Dkt. Ashatu Kijaji: Biashara Kariakoo zinaendelea, wafanyabiashara wametumia Demokrasia na Uhuru wao kufungua au kutokufungua
- Mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo ukitatuliwa kwa ushawishi wa vyombo vya dola tutakuwa tunaahirisha tatizo
View attachment 3023083
Umejisumbua kumjibu hana biashara huyo..Marejesho yasikufanye ukawa mtumwa wa kodi, kodi za Tanzania zinaumiza sana haijalishi mtaji umetoa benki au la.