Wananchi walikupuuza na mimi nakupuuza vile vile...biashara gani ushawah fanya wewe na ukafanikiwa?
Tatizo ni TRA kudhani inaweza kuwafurahisha watu kama nyie msiotaka kulipa kodi.
Hivi unaweza jibu ata haya maswali mepesi ya kodi.
VAT threshold ya mauzo
Voluntary schemes ya kujiunga na VAT
VAT claims za VAT
Benefits za kuwa VAT registered na benefit za kuwa non registered.
Nani anaamua VAT na rate tofauti ya bidhaa, bidhaa gani kwa Sasa zina zero VAT (moja tu) zipi zina reduced rate ;ya 5% (kwa budget) iliyoisha.
Nitajie uwekezaji mmoja kwenye biashara yako ambayo unaweza ku-claim capital allowance (or depreciation costs).
Vipi biashara yako ikipata hasara, procedurę za kudai tax rebate zikoje?
That’s how stupid I think you are., hata nikikkupa week nzima uwezi jibu maswali yote hayo (dare).:
Ndio mapoyoyo mnailalamikia TRA.
TRA inahusika vipi na makato ya NSSF, NPHIF, business rates, OSHA and other nonsenses.
Lipieni kodi uwezi kufanya biashara bila ya kuelewa costs na kuzipigia hesabu
As for your nonsense in your head nimefukuzwa sijui wapi ain’t got time to respond to that