Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ngoja tuonePaka serikali itoke damu pumbavvv zao
Kwahiyo kyela ndo nchi nzima mbona kigoma Geita bukoba kila kitu kipo kawaida?Maduka yote Mjini Kyela leo 25/06/2024 yamefungwa, ikiwa ni muendelezo wa Mgomo wa wafanyabiasha nchi nzima kupinga dhuluma za serikali kupitia TRA, kuwakamua Wafanyabiashara hadi watoke damu.
Wengi waliofuata mahitaji ya watoto wao hasa kipindi hiki kuelekea kufunguliwa kwa Shule, Wamepigwa na butwaa baada ya kukutana na Makufuli milangoni, haifahamiki hali hii itakuwa hadi lini.
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wafanyanyabiashara wenzangu wa Kyela kwa maamuzi ya kishujaa
View attachment 3025475View attachment 3025476
Wanyakyusa Wamesikika wakisema hivi, "BIKUTUKAMA NGATI NG'OMBE LOLI ABHENE BIKULA AMAGARI AMATONGOMAFU NA AGHA NTENGO FIJO" yaani kwa kiswahili ni hivi, "wanatukamua kama ng'ombe halafu wao wananunua magari makubwa makubwa na ya bei mbaya"Kila la heri huko Kyela. Ngoja tuone.
siyo yote ni nzimaEti yote..
Zingatia neno kusambaaKwahiyo kyela ndo nchi nzima mbona kigoma Geita bukoba kila kitu kipo kawaida?
Kwamba ulitaka tujaze hapa maduka yote?Hayo maduka mawili ya Kyela yaliyofungwa ndo nchi nzima? Wewe chawa wa Mbowe kuna saa unajitoa akili kabisa.
Kuna makubwa yanakujaWakenya wamewafungua macho wabongo
Maduka yote Mjini Kyela leo 25/06/2024 yamefungwa, ikiwa ni muendelezo wa Mgomo wa wafanyabiasha nchi nzima kupinga dhuluma za serikali kupitia TRA, kuwakamua Wafanyabiashara hadi watoke damu.
Wengi waliofuata mahitaji ya watoto wao hasa kipindi hiki kuelekea kufunguliwa kwa Shule, Wamepigwa na butwaa baada ya kukutana na Makufuli milangoni, haifahamiki hali hii itakuwa hadi lini.
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wafanyanyabiashara wenzangu wa Kyela kwa maamuzi ya
Eti atasema ni swala la muda tu......Kwahiyo kyela ndo nchi nzima mbona kigoma Geita bukoba kila kitu kipo kawaida?