Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari nadhani kesho maduka yaatafunguliwa.Kwani hili suala halijatatuliwa?
Mgomo unaendelea, Majaliwa alileta Porojo kama za akina Kitilla akaunda hadi kamati, safari hii Wafanyabiashara wamegoma kupigwa fixTayari nadhani kesho maduka yaatafunguliwa.
Unafikiri yeye haoni?Mimi hapa ninachoona ni mkuu wa nchi aongee watu watamsikia,lakini kuwaachia hawa mawaziri kuongelea issue nyeti kama hii hali inaweza kuwa mbaya sana,watu wameshapoteza imani nao,hawaaminiki,mama aongee...
Dawa ni moja tu, mapinduzi ya kijeshi.Unafikiri yeye haoni?
Basi tu ameamua kula buyu kwasababu anajua watanzania hawana guts za kumtingisha kiasi mpaka aone kuna haja kuingilia kati kunusuru hiyo hali isijotokeze.
Aiseeee!!Dawa ni moja tu, mapinduzi ya kijeshi.
Usishangae ikawa kama kwa kina OdingaMaduka yote Mjini Kyela leo 25/06/2024 yamefungwa, ikiwa ni muendelezo wa Mgomo wa wafanyabiasha nchi nzima kupinga dhuluma za serikali kupitia TRA, kuwakamua Wafanyabiashara hadi watoke damu.
Wengi waliofuata mahitaji ya watoto wao hasa kipindi hiki kuelekea kufunguliwa kwa Shule, Wamepigwa na butwaa baada ya kukutana na Makufuli milangoni, haifahamiki hali hii itakuwa hadi lini.
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wafanyabiashara wenzangu wa Kyela kwa maamuzi ya kishujaa
View attachment 3025475View attachment 3025476
Kama ni chadema sasa sawa wewe umeamuajeSawa. Ila usinipangie ni nani anayehusika na uhujumu wa uchumi huu.
Wakati CHADEMA ikiandamana ma hata baadhi za Uzi zenu za WANACHADEMA, mmekuwa mkichochea migomo ifanyike nchi nzima.
Nasema kwa uhakika kabisa, CHADEMA mnahusika, mlisema wenyewe wakati wa maandamano " mpaka uchumi usimame" itoshe, mnasherehekea mgomo huu.
CHADEMA inaingizwa moja kwa moja.
Ndio mitaji mliyonayo.
Hatahivyo, hamna sera wala mbadala wa mapato ya Serikali/Taifa kupitia kodi.
Sio rahisi kwasababu Mkuu wa majeshi ni mtu ambaye ana common interests na raisiDawa ni moja tu, mapinduzi ya kijeshi.
Acha dharau kwa Rais wewee!Huyo mkuu wako anajua cha kuongea? au unataka usikie akisema anawaachia DP WORLD wafanye biashara Kariakoo
Jibu mbona ni rahisi kabisa. Piga ua, Wananchi wazalendo ni kuweka kura ya Hapana[❌] chaguzi za 2024- 2025.Kama ni chadema sasa sawa wewe umeamuaje
Maumivu ya kichwa huanza TaratiiibuuuMaduka yote Mjini Kyela leo 25/06/2024 yamefungwa, ikiwa ni muendelezo wa Mgomo wa wafanyabiasha nchi nzima kupinga dhuluma za serikali kupitia TRA, kuwakamua Wafanyabiashara hadi watoke damu.
Wengi waliofuata mahitaji ya watoto wao hasa kipindi hiki kuelekea kufunguliwa kwa Shule, Wamepigwa na butwaa baada ya kukutana na Makufuli milangoni, haifahamiki hali hii itakuwa hadi lini.
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wafanyabiashara wenzangu wa Kyela kwa maamuzi ya kishujaa
View attachment 3025475View attachment 3025476
🤣Sio rahisi kwasababu Mkuu wa majeshi ni mtu ambaye ana common interests na raisi