Mgomo Wasambaa Nchi nzima, Wafanyabiashara wa Kyela nao wagoma

Mgomo Wasambaa Nchi nzima, Wafanyabiashara wa Kyela nao wagoma

Ingekuwa Bora zaidi kama inafanyika hivi nchi nzima.ndio majibu ya uhakika yangetokea na Kila mfanyabiashara angerizika,vinginevyo yataendelea kutokea haya haya Kila wakati.
 
Mimi hapa ninachoona ni mkuu wa nchi aongee watu watamsikia,lakini kuwaachia hawa mawaziri kuongelea issue nyeti kama hii hali inaweza kuwa mbaya sana,watu wameshapoteza imani nao,hawaaminiki,mama aongee...
Unafikiri yeye haoni?

Basi tu ameamua kula buyu kwasababu anajua watanzania hawana guts za kumtingisha kiasi mpaka aone kuna haja kuingilia kati kunusuru hiyo hali isijotokeze.
 
Maduka yote Mjini Kyela leo 25/06/2024 yamefungwa, ikiwa ni muendelezo wa Mgomo wa wafanyabiasha nchi nzima kupinga dhuluma za serikali kupitia TRA, kuwakamua Wafanyabiashara hadi watoke damu.

Wengi waliofuata mahitaji ya watoto wao hasa kipindi hiki kuelekea kufunguliwa kwa Shule, Wamepigwa na butwaa baada ya kukutana na Makufuli milangoni, haifahamiki hali hii itakuwa hadi lini.

Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wafanyabiashara wenzangu wa Kyela kwa maamuzi ya kishujaa

View attachment 3025475View attachment 3025476
Usishangae ikawa kama kwa kina Odinga
 
Sawa. Ila usinipangie ni nani anayehusika na uhujumu wa uchumi huu.

Wakati CHADEMA ikiandamana ma hata baadhi za Uzi zenu za WANACHADEMA, mmekuwa mkichochea migomo ifanyike nchi nzima.

Nasema kwa uhakika kabisa, CHADEMA mnahusika, mlisema wenyewe wakati wa maandamano " mpaka uchumi usimame" itoshe, mnasherehekea mgomo huu.

CHADEMA inaingizwa moja kwa moja.

Ndio mitaji mliyonayo.

Hatahivyo, hamna sera wala mbadala wa mapato ya Serikali/Taifa kupitia kodi.
Kama ni chadema sasa sawa wewe umeamuaje
 
Kwenye finance bill yetu naomba aliesoma akaielewa anielemishe mpango mkakati uilopo kuongeza pato la nchi effectively kupitia

1. Hifadhi za kitalii
2. Madini
3. Gesi
4. Maziwa
5. Bahari
6. Makamaa ya mawe
7. Misitu
8. Ardhi iliyopo hasa fertile land
9. Nchi kukaa sehemu ya kimkakati ina uwezo wa kuhudumia nchi 6 za land locked countries (Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia, Congo Na Malawi) kuzalisha matrilion ya shilingi.

Naomba kujua kama vina msukumo wa kutosha, tofauti na kukandamizia focus kwenye tozo na kodi kwa wananchi.
 
Maduka yote Mjini Kyela leo 25/06/2024 yamefungwa, ikiwa ni muendelezo wa Mgomo wa wafanyabiasha nchi nzima kupinga dhuluma za serikali kupitia TRA, kuwakamua Wafanyabiashara hadi watoke damu.

Wengi waliofuata mahitaji ya watoto wao hasa kipindi hiki kuelekea kufunguliwa kwa Shule, Wamepigwa na butwaa baada ya kukutana na Makufuli milangoni, haifahamiki hali hii itakuwa hadi lini.

Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wafanyabiashara wenzangu wa Kyela kwa maamuzi ya kishujaa

View attachment 3025475View attachment 3025476
Maumivu ya kichwa huanza Taratiiibuuu
 
Back
Top Bottom