Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Usiondoke JF kwa taarifa zaidiVipi uyole!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiondoke JF kwa taarifa zaidiVipi uyole!
njaa itawarudisha wafungue wala haina haraka watanyooroka tu wakianza kudaiwa vikoba watafungua haoMaduka yote Mjini Kyela leo 25/06/2024 yamefungwa, ikiwa ni muendelezo wa Mgomo wa wafanyabiasha nchi nzima kupinga dhuluma za serikali kupitia TRA, kuwakamua Wafanyabiashara hadi watoke damu.
Wengi waliofuata mahitaji ya watoto wao hasa kipindi hiki kuelekea kufunguliwa kwa Shule, Wamepigwa na butwaa baada ya kukutana na Makufuli milangoni, haifahamiki hali hii itakuwa hadi lini.
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wafanyanyabiashara wenzangu wa Kyela kwa maamuzi ya kishujaa
View attachment 3025475View attachment 3025476
Jikite kwenye madaIla wanyakyusa wana shepu na matako makubwa hatari
Nimesema Uchochezi wa kuhujumu Uchumi. Sio Ushawishi🤭Itakuwa ni baraka sana ikiwa Chadema inao ushawishi mkubwa kwa kiwango hiki, Asante Mungu
Syllohapa mpaka Uchumi Usimame
syllo,kama huo sio uasi na uchochezi
sylloHaki ya katiba inasema Usimamishe shughuli za Kiuchumi?
Kushawishi uchochezi kwa kiwango cha Nchi nzima ni baraka sanaNimesema Uchochezi wa kuhujumu Uchumi. Sio Ushawishi🤭
Mungu wenu huyo anataka kutesa Watanzania tu😅
Sihusiki na siasa za nchi hii wala sina chama chochote.Sawa. Ila usinipangie ni nani anayehusika na uhujumu wa uchumi huu.
Wakati CHADEMA ikiandamana ma hata baadhi za Uzi zenu za WANACHADEMA, mmekuwa mkichochea migomo ifanyike nchi nzima.
Nasema kwa uhakika kabisa, CHADEMA mnahusika, mlisema wenyewe wakati wa maandamano " mpaka uchumi usimame" itoshe, mnasherehekea mgomo huu.
CHADEMA inaingizwa moja kwa moja.
Ndio mitaji mliyonayo.
Hatahivyo, hamna sera wala mbadala wa mapato ya Serikali/Taifa kupitia kodi.
😂Wanyakyusa Wamesikika wakisema hivi, "BIKUTUKAMA NGATI NG'OMBE LOLI ABHENE BIKULA AMAGARI AMATONGOMAFU NA AGHA NTENGO FIJO" yaani kwa kiswahili ni hivi, "wanatukamua kama ng'ombe halafu wao wananunua magari makubwa makubwa na ya bei mbaya"
Sasa ukasikilize mwenyekiti anaongea sasahvi, na anataja mambo yaliyofanyiwa kazi. Na uache umong'oo wa ujuaji maswala ya watu yasiyokuhusu.Mihemko na imoji za kucheka cheka.
Muhemko tayari boss, ulichosahau ni imoji za kucheka.Sasa ukasikilize mwenyekiti anaongea sasahvi, na anataja mambo yaliyofanyiwa kazi. Na uache umong'oo wa ujuaji maswala ya watu yasiyokuhusu.
😂😂😂🤣🤣🤣Hizo hapo.Muhemko tayari boss, ulichosahau ni imoji za kucheka.
Jambo lolote la kuipinga serikali n lazima chadomo waishi nalo 😂Imeshakua agenda ya Chadomo hii
Suala la marejesho linakera ila ni ukweli boss.😂😂😂🤣🤣🤣Hizo hapo.
Mshamba ulinikera sana juzi wewe. Jibu umelipata leo.
Huo ni upotoshaji wa ukweli uliopo sasa kila kitu anasingiziwa CHADEMA wakati nchi yote kuanzia balozi wa nyumba kumi kumi hadi raisi ni ccm tu .Pumbavu zenu nchi imewashinda.Huu ndio upotoshaji.
Misleading and Dangerous.
Mgomo ufanyike Kyela, waseme "Nchi nzima"
CHADEMA ina mbadala upi wa Kodi? Ina sera gani za Kiuchumi na Biashara?
Utawasikia jibu lao...."Katiba mpya"
CHAGUA kwa Umakini 2025.
Kumbuka CHADEMA haitaleta amani ndani ya nchi hii. Sembuse uchumi(ubora wa maisha na wa kifedha) kwa Wananchi wote.
Kumbukeni wakati wanaandama, walisema wazi kabisa, kwamba "mpaka uchumi usimame" Wananchi wanateseka kwa uchochezi na uharakati wa CHADEMA.
Unaongelea marejesho kama mikopo ya mtasni ndio maana nakupingaSuala la marejesho linakera ila ni ukweli boss.
Hapana, naongelea facility kama term loans, overdrafts zilizopo kwenye mabank. Si unajua overdraft zinavyoumiza? Lazima uwaze iwapo hiyo pesa imelala dukani na umefunga biashara. Mpaka mfanyabiashara anagoma ujue kakosa alternative.Unaongelea marejesho kama mikopo ya mtasni ndio maana nakupinga