Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Kama Chamwino wamegoma unadhani kumesalia wapi tenaEti atasema ni swala la muda tu......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Chamwino wamegoma unadhani kumesalia wapi tenaEti atasema ni swala la muda tu......
Mkuu wa nchi haya mambo ya ndani hana interest nayo kabisa, labda iwe ni kupokea gawio, kuapishana kutengua na kuingia mikataba na kuchukua mikopoMimi hapa ninachoona ni mkuu wa nchi aongee watu watamsikia,lakini kuwaachia hawa mawaziri kuongelea issue nyeti kama hii hali inaweza kuwa mbaya sana,watu wameshapoteza imani nao,hawaaminiki,mama aongee...
Raisi huenda akaongea uhakika wa suluhisho ukipatikana. Haya matakwa si rahisi serikali iyakubali kiwepesi.Mimi hapa ninachoona ni mkuu wa nchi aongee watu watamsikia,lakini kuwaachia hawa mawaziri kuongelea issue nyeti kama hii hali inaweza kuwa mbaya sana,watu wameshapoteza imani nao,hawaaminiki,mama aongee...
Huyo mkuu wako anajua cha kuongea? au unataka usikie akisema anawaachia DP WORLD wafanye biashara KariakooMimi hapa ninachoona ni mkuu wa nchi aongee watu watamsikia,lakini kuwaachia hawa mawaziri kuongelea issue nyeti kama hii hali inaweza kuwa mbaya sana,watu wameshapoteza imani nao,hawaaminiki,mama aongee...
Kwamba wafanyabiashara ni wajinga , wala hawawazi kitu siyo,chadema msiwaingize mkenge wafanyabiashara
Serikali inatakiwa iwe sikivu kwa Wananchi wake ndio Wananchi pia watakuwa wasikivu kwa Serikali yao lakini ubabe ubabe na kutishia kupeleka Vikosi vya Jeshi letu la Wananchi Kariakoo utasema ni enzi za Bokassa.Mpaka serikali inyooke na waache kiburi.
Chadema haifanyi biashara yoyote kwahiyo haihusiki na mgomo wa wafanyabiasharaHuu ndio upotoshaji.
Misleading and Dangerous.
Mgomo ufanyike Kyela, waseme "Nchi nzima"
CHADEMA ina mbadala upi wa Kodi? Ina sera gani za Kiuchumi na Biashara?
Utawasikia jibu lao...."Katiba mpya"
CHAGUA kwa Umakini 2025.
Kumbuka CHADEMA haitaleta amani ndani ya nchi hii. Sembuse uchumi(ubora wa maisha na wa kifedha) kwa Wananchi wote.
Kumbukeni wakati wanaandama, walisema wazi kabisa, kwamba "mpaka uchumi usimame" Wananchi wanateseka kwa uchochezi na uharakati wa CHADEMA.
FafanuaChadema haifanyi biashara yoyote kwahiyo haihusiki na mgomo wa wafanyabiashara
Yaani mgomo huu umeitishwa na Wafanyabiashara wenyewe kwa sababu wana mgogoro na TRA, Usiingize ChademaFafanua
Lipeni kodi acheni lawamaWanyakyusa Wamesikika wakisema hivi, "BIKUTUKAMA NGATI NG'OMBE LOLI ABHENE BIKULA AMAGARI AMATONGOMAFU NA AGHA NTENGO FIJO" yaani kwa kiswahili ni hivi, "wanatukamua kama ng'ombe halafu wao wananunua magari makubwa makubwa na ya bei mbaya"
Sawa. Ila usinipangie ni nani anayehusika na uhujumu wa uchumi huu.Yaani mgomo huu umeitishwa na Wafanyabiashara wenyewe kwa sababu wana mgogoro na TRA, Usiingize Chadema
Ukikua utajifunza.. day two mgomo kkoo.Kila la heri huko Kyela. Ngoja tuone.
Masoko na Maduka ya Dawa Muhimu.Wasigome maduka ya vyakula
Vipi uyole!Maduka yote Mjini Kyela leo 25/06/2024 yamefungwa, ikiwa ni muendelezo wa Mgomo wa wafanyabiasha nchi nzima kupinga dhuluma za serikali kupitia TRA, kuwakamua Wafanyabiashara hadi watoke damu.
Wengi waliofuata mahitaji ya watoto wao hasa kipindi hiki kuelekea kufunguliwa kwa Shule, Wamepigwa na butwaa baada ya kukutana na Makufuli milangoni, haifahamiki hali hii itakuwa hadi lini.
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wafanyanyabiashara wenzangu wa Kyela kwa maamuzi ya kishujaa
View attachment 3025475View attachment 3025476