Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Acha mihemko.Ukikua utajifunza.. day two mgomo kkoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mihemko.Ukikua utajifunza.. day two mgomo kkoo.
Ukikua utaelewa nakwambia, uza tu dagaa na mkeo kimara. Unawaza mikopo gadamn.Acha mihemko.
Hata waume zenu wakishindwa kuwatieni mimba mtaisingizia Chadema. Pumbavu kabisa nyie nguruwe wa kijanichadema msiwaingize mkenge wafanyabiashara
SylloSawa. Ila usinipangie ni nani anayehusika na uhujumu wa uchumi huu.
sylloWANACHADEMA, mmekuwa mkichochea migomo ifanyike nchi nzima.
sylloHatahivyo, hamna sera wala mbadala wa mapato ya Serikali/Taifa kupitia kodi
Una nihemko level za juu mno. Inamwagika. Mikopo kwanini isiwazwe na ipo na marejesho yanasubiriwa?Ukikua utaelewa nakwambia, uza tu dagaa na mkeo kimara. Unawaza mikopo gadamn.
Nakueleza tena. Wewe waza mikopo na mkeo, ukaona kila mtu anawaza sijui mikopo sijui kodi.Una nihemko level za juu mno. Inamwagika.
Mikopo yako unalipiwa na nani huiwazi?Nakueleza tena. Wewe waza mikopo na mkeo, ukaona kila mtu anawaza sijui mikopo sijui kodi.
Ukikua utaelewa. Maisha sio kodi wala mikopo, na wapuuzi wachache wanalipa mikopo kila week au kodi kila mwezi.
Ukiwa mfanyabiashara kuna mengi.
Sasa unauza dagaa na stationery mzingaombwe juu huko. Ujue maisha ya watu na kazi yako ya 1.5 ml pay a month.
You are a fckn shit kwenye huu mjadala. Na mpaka uelewe nakwambia day 2 kkoo mgomo. Na majibu yatatoka.
Hujui chchte kuhusu mikopo mzee. Nilikwambia hiyo isiwe point.Mikopo yako unalipiwa na nani huiwazi?
Ila wanyakyusa wana shepu na matako makubwa hatariWanyakyusa Wamesikika wakisema hivi, "BIKUTUKAMA NGATI NG'OMBE LOLI ABHENE BIKULA AMAGARI AMATONGOMAFU NA AGHA NTENGO FIJO" yaani kwa kiswahili ni hivi, "wanatukamua kama ng'ombe halafu wao wananunua magari makubwa makubwa na ya bei mbaya"
Unalipiwa na nani mikopo acha mbwembwe mpaka usiiwaze ukiamua kufunga biashara? Unadhani biashara zinapofungwa hilo halipo akilini?Hujui chchte kuhusu mikopo mzee. Nilikwambia hiyo isiwe point.
Fatilia point ya kipato, chakula, familia, uje hapa sio mikopo haswa kkoo. Hiyo huiwezi kuongelea ww kijana. Huwezi
Yaani kuandika kote huelewi 🤣🤣🤣fckn, endelea kujifunzaUnalipiwa na nani mikopo acha mbwembwe mpaka usiiwaze ukiamua kufunga biashara? Unadhani biashara zinapofungwa hilo halipo akilini?
binti usinilete ujuaji wacha kuitika ikiwa haujaitwa..subiri zamu yako utaitwa binti yangu mpendwaHata waume zenu wakishindwa kuwatieni mimba mtaisingizia Chadema. Pumbavu kabisa nyie nguruwe wa kijani
Unavyoandika tu unaonekana huna biashara kariakoo na hujui ugumu wa kugoma. Endelea na ushabiki.Yaani kuandika kote huelewi 🤣🤣🤣fckn, endelea kujifunza
😂😂😂😂.Unavyoandika tu unaonekana huna biashara kariakoo na hujui ugumu wa kugoma. Endelea na ushabiki.
Giza au mwanga.......mwanga utashindaKuna makubwa yanakuja
PAmo,syllo
Kuchochea lina “negative connotation” tutumie “ kudai sababu migomo ni Haki ya kikatiba na ipo kisheria na si kosa la JINAI.
Ndio akili yako ilipoishia!chadema msiwaingize mkenge wafanyabiashara
Mihemko na imoji za kucheka cheka.😂😂😂😂.
Sawa ww unayo.
Itakuwa ni baraka sana ikiwa Chadema inao ushawishi mkubwa kwa kiwango hiki, Asante MunguSawa. Ila usinipangie ni nani anayehusika na uhujumu wa uchumi huu.
Wakati CHADEMA ikiandamana ma hata baadhi za Uzi zenu za WANACHADEMA, mmekuwa mkichochea migomo ifanyike nchi nzima.
Nasema kwa uhakika kabisa, CHADEMA mnahusika, mlisema wenyewe wakati wa maandamano " mpaka uchumi usimame" itoshe, mnasherehekea mgomo huu.
CHADEMA inaingizwa moja kwa moja.
Ndio mitaji mliyonayo.
Hatahivyo, hamna sera wala mbadala wa mapato ya Serikali/Taifa kupitia kodi.