Mgomo Wasambaa Nchi nzima, Wafanyabiashara wa Kyela nao wagoma

njaa itawarudisha wafungue wala haina haraka watanyooroka tu wakianza kudaiwa vikoba watafungua hao
 
Ni vyema liwe endelevu na ikiwezekana nchi nzima mpaka vijijini.

Ni vyema wananchi wote tukaungana dhidi ya wanyonya damu, ili kulinda utu wetu na kuwafundisha hawa watu wetu wanaoona hii nchi ni ya kwao na uongozi ni dhamana ambayo sisi tumewapa.
 
hapa mpaka Uchumi Usimame
Syllo
Mtu akisema mpaka uchumi usimame anamaanisha nini? Je ni kuhujumu uchumi? Au kudai haki ya ili yeye anufaike hivyo serikali inufaike pia?
Au huenda ikawa ina maana mwaka huu mpaka uchumi wangu usimame nikimaanisha nipambane kwa nguvu na juhudi mpaka nifanikiwe kiuchumi?

Kauli hiyo ulitafsiri vipi? Na hao waliosema walitafsiri vipi? Maana unaweza kuwa ulitafsiri tofauti na wao na shida ikawa kwako si kwao.
kama huo sio uasi na uchochezi
syllo,

Sheria za nchi yetu Tanzania ukifanya uasi huwezi kupewa polisi wa kukulinda ili uendeleee na maandamano, nifundishe unaposema uasi una maanisha nini?
Haki ya katiba inasema Usimamishe shughuli za Kiuchumi?
syllo

Haki ya katiba inasema ni haki ya raia kufanya maandamano panapoonekana kuna mazingira gandamizi dhidi yao.

Kwani kauli ya Kusimamisha shuguli za kiuchumi ameisema nani?
 
Sihusiki na siasa za nchi hii wala sina chama chochote.
Hili suala halijawa influenced na chadema by any means, wafanya biashara tena kupitia kiongozi wao ambae ni kada mtiifu wa CCM, wameona wanapata changamoto thats how wana address matatizo yao

Lakini pia maandiko yako haya facts, una hisia ambazo hazina uhalisia.
hili suala linahitaji facts na si politics
 
Huo ni upotoshaji wa ukweli uliopo sasa kila kitu anasingiziwa CHADEMA wakati nchi yote kuanzia balozi wa nyumba kumi kumi hadi raisi ni ccm tu .Pumbavu zenu nchi imewashinda.
 
Unaongelea marejesho kama mikopo ya mtasni ndio maana nakupinga
Hapana, naongelea facility kama term loans, overdrafts zilizopo kwenye mabank. Si unajua overdraft zinavyoumiza? Lazima uwaze iwapo hiyo pesa imelala dukani na umefunga biashara. Mpaka mfanyabiashara anagoma ujue kakosa alternative.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…