Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Kwahii kesi, daktari hawataweza kumgusa maana hata maelezo yenyewe hayajanyooshwa. Pia mpaka ufikie kumshtaki daktari ni mpaka pathologist wajitetee ndio sasa yeye atafikiwa sasa. Kesi in medical wise bado haijajitosheleza kabisa kimaelezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena huku unapewa huduma hata usiyohitaji maadamu pesa iingie.Bora za serikali tafuta pesa yako mshike daktari au nesi mkono atakupa tiba sahahi, private ukienda ukosi ugonjwa utoki bure ni lazima ununue dawa
Unaweza andikiwa operation ya ubongo sababu unapiga chafya sana. Sasa ndugu zako ili kuchukua maiti hiyo bili watafurahi.
 
Sure ni mistake nakubali

Ila kwenye ya nani - hapo bro nasubiri majibu ya tume kama itaundwaga
 
Hapo sasa tupo pamoja 👊
 
Uzi mchungu huu sjui kwann nmeusoma seems hamtambui jitihada za matabibu wa kiafrika kujali afya zenu kwenye mazingira duni ya vifaa
 
Kumbe ndo michezo hiyo. Me kabla sijameza dawa naigoogle naisoma weee, source tofauti tofauti na compare details. Nikiona haiendani na ugonjwa wangu simezi.
Safi, hicho ni kitu kizuri kwa asilimia nyingi.

Hapo mwishoni tu kwenye kutomeza ndio ningeshauri wasiliana na daktari wako kabla hujaamua kumeza au kukatisha dawa yoyote.

Na kama uliacha kisirisiri siku nyingine ukirudi kwake mwambie kabisa, ile dawa mimi sikumeza. Inaruhusiwa kabisa kukataa tiba ya aina fulani na kuomba kubadilishiwa matibabu na hata kubadilishiwa mtoa huduma. Haikatai wala.

Na kumbuka nilikuwa naongelea kesi ya mgonjwa kung'angana atibiwe malaria hata kama hana. Ndio nikasema malaria ina kingatiba, hivyo haikatai kuitibu hata kabla haijatokea [mfano SP za wajawazito]
 
Gwajima aliyeacha utaalamu na kushabikia kujifukiza?
 
Mbona 500m kidogo?
 
Pole sana. Mimi nina uvimbe shingoni upande wa kushoto.Nimeenda hospital tatu tofauti, chakushangaza wanachukua kipimo cha aina moja wanapeleka maabara majibu utaambiwa kesho. Majibu ya hospital zote yanatofautiana. The first told me is the goiter , the second Lipoma, the third gland. And their measure is three thousand and four hundred thousand. And all say that medicine is a surgeon .
 
Inaumiza, saa hizi ndugu yangu kabaki na mtoto mmoja kama wa dawa.
Lakini ovary si nzima? Kama ni hivyo, nadhani anawezankupata mtoto kupitia surrogate mother, kwani mayai yanaweza kutoewa kwenye ovary na kupandikizwa nje ya tumbo. Halafu anamkodi mama mwingine anambebea mimba. Maoni yangu mie sio daktari
 
Lakini ovary si nzima? Kama ni hivyo, nadhani anawezankupata mtoto kupitia surrogate mother, kwani mayai yanaweza kutoewa kwenye ovary na kupandikizwa nje ya tumbo. Halafu anamkodi mama mwingine anambebea mimba. Maoni yangu mie sio daktari
Hapo wamekuingiza gharama ambazo hukutarajia.. Na pesa iwepo haipo je!?
 
Uzembe wa kutojali ustawi wa watu wengine uko kila mahali kila angle kwenye nchi za afrika. Tazama tu hata vjongozi na watawala wanavyo tu treat
 

Daktari ana 'gugo' symptoms 😂😂😂
 
Kwa namna yoyote inawezekana labda wameuza???
 
Aseeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…