Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Hizi Hospitali hizi, mi walitaka kumpa mwanangu dozi ya mwaka mzima ya Kifafa wakati mtoto ana degedege, nilipoingilia kati ndio wanajidai kwamba kulitokea mkamganyiko.., kidogo niwapeleke mahakamani.., ila jikaona niache tu , maana ipo siku utahitaji msaada wao, hivyo si vyema kukorofishana na hopsitali
Ila jamani naomba tukubaliane jambo moja. Tanzania kila sekta imeoza. Yaani uozo unaokutana nao kwa ma-dr hospital ndiyo huo huo utakaokutana nao kwa wanasiasa, mapolisi, mainjinia, walimu nk. Ni kwa sababu imekuwa tu kwamba makosa au ukilaza wa ma-dr una impact inayoonekana mara nyingi kuliko sehemu nyingine. Hata hili tatizo la dr tunalolalamikia hapa ni matokeo ya uongozi mbovu wa wanasiasa.
 
Hakuna Cha Gwajima Wala Nani!!

Mfumo mzima wa utawala sekta ya AFYA Ni TRASHY takataka.

Kuanzia KATIBU MKUU ( DAKTARI ), Naibu Waziri Afya ( DAKTARI ), MGANGA MKUU WA SERIKALI ( DAKTARI ), RMO ( DAKTARI ), DMO ( DAKTARI ), IN CHARGEs wote vituo vya Afya ( DAKTARI )

Na Wana tabia ya KULINDANA wenyewe.

Wote hao MADAKTARI wameshindwa kuleta MABADILIKO Sekta ya Afya kwamba huyo GWAJIMA ndio angeBadili Nini??
Mabadiliko ya sector ya afya yanakuja by reinforcing institutions to follow practice procedures.

Sector ya afya is heavily regulated hakuna ubunifu wa ivyo health procedures, intervention and management misingi yake ni WHO regulations nchi zina adapt tu kwa mtindo wao jinsi watakavyo implement.

Usimamizi pia unataka supervisory body ya kwenda kukagua kama vituo vya afya vina implement and adhere to existing regulations and policies kwenye ufanyaji wao wa kazi, ku-record medical errors, kujua vyanzo za errors, badili tabia au kupunguza errors sugu and so forth.

Unajua wengi wenu mlikuwa mkimuona Dr Gwajima kutokana na anavyoongea na alivyo alivyo kama anajiropokea tu. Lakini ungekuwa na ufahamu wa health management uka analyse technically anachoongea in relation to regulations ata za nchi nyingine kwenye usimamizi wa sehemu hiyo hiyo ndio utaelewa level zake ni zingine.

Nyie msicheze Dr Gwajima kwenye health management.
 
Na hivi vihopsitali vilivyo mtaani wanajiita ma specialist ni vyakuogopa...Kuna hospital moja nzuri tu iko mbezi beach walimpima mtu na mashine ya ECG wakasema anatatizo la moyo anatakiwa aanze clinic muhimbili ..kufika muhimbili kwa daktari bingwa akapimwa Hana tatizo lolote la moyo...kurudia Tena sehemu nyingine hana...
Ndio maana ya referal mkuu. Kuliko dr angekaa naya kumtibu moyo kutokana na kile alichokiona aliamua kumpeleka kwa wataalam wakubwa zaidi kwa uchunguzi zaidi. Shukuru kwamba hakukutwa na shida huko
 
Niliwahi kupimwa nikakutwa na vidonda vya tumbo katika Hospital mbili tofauti, nikaanza dawa Kama Mwaka mzima Kila siku nakunywa Hadi nikaanza kukojoa mkojo wa rangi tofauti na unanuka madawa

Ndipo nikaenda Hospital nyingine kubwa zaidi ya private wakanipima wakaniambia Sina vidonda na niache kumeza dawa Mara moja,nilipoacha nikapona mpaka leo,
Hapo ushapoteza hela zako chungumzima 😠
 
It is confusing

It looks like this patient is on thyroxine replacement therapy following total thyroidectomy.It is not possible to have hypothyroidism following partial tryroidectomy.

It looks like the initial surgery was lobectomy (partial thyroiedectomy) where all the malignant tumor was removed and the second surgery was total thyroidectomy. It is unlikely to find malignant cells in the sample after second surgery if the initial surgery removed all the malignant tumor.

Question : Did the take samples from first and secondary surgrery to India?
We jamaa upo vizuri...
 
Kaka tuache kushitaki madaktari sio sawa wale ni Miungu wa maisha yetu hapa duniani
We unasema hayajakukuta, juzi kati kuna mtoto wa dada yangu, mkewe alifanyiwa upasuajo, kumbe walitoboa utumbo, wakashona mtu vinyesi vinavujia ndani tu, kuja kumkimbiza hospital, dk chache kavuta.

Hii ni kama vile tunaposema usipige mwizi, halafu kuna mtu anatokea na kukwambia bado hujaibiwa wewe😂
 
We unasema hayajakukuta, juzi kati kuna mtoto wa dada yangu, mkewe alifanyiwa upasuajo, kumbe walitoboa utumbo, wakashona mtu vinyesi vinavujia ndani tu, kuja kumkimbiza hospital, dk chache kavuta.

Hii ni kama vile tunaposema usipige mwizi, halafu kuna mtu anatokea na kukwambia bado hujaibiwa wewe😂
Duuh! poleni sana,na leo nilikua namhadithia jamaa yangu kesi kama hiyohiyo,ila jamaa alipona maana alipelekwa hospitali nyingine baada ya kuzidiwa.Kinyesi kilikua kinanuka hatari.Jamaa alipona kwa gharama kubwa sana.Hawa watu wa medical,wapikwe haswa ili wawe mahiri,kuepusha ya kuepukika.
 
Hawa M-MD wa Bongo,baadhi yao wako shallow sana,wanaheshimika kwasababu ya hofu na ujinga wetu sisi ambao hatuna uelewa wa mambo ya medical.Kuna incompetent mediacl personnels wengi,hadi unajiuliza,huko walikosoma hakunaga kudisco hadi huyu wakamuacha?
Hawa madaktari wa kike wenye makalio makubwa,ndiyo kabisa... hasa ukute ana hulka ya umalaya ndiyo kabisa... baadhi yao wanagawa uroda,wanapewa marks tu.
Makalio yameingiaje hapo Mkuu🤣🤣
 
Mabadiliko ya sector ya afya yanakuja by reinforcing institutions to follow practice procedures.

Sector ya afya is heavily regulated hakuna ubunifu wa ivyo health procedures, intervention and management misingi yake ni WHO regulations nchi zina adapt tu kwa mtindo wao jinsi watakavyo implement.

Usimamizi pia unataka supervisory body ya kwenda kukagua kama vituo vya afya vina implement and adhere to existing regulations and policies kwenye ufanyaji wao wa kazi, ku-record medical errors, kujua vyanzo za errors, badili tabia au kupunguza errors sugu and so forth.

Unajua wengi wenu mlikuwa mkimuona Dr Gwajima kutokana na anavyoongea na alivyo alivyo kama anajiropokea tu. Lakini ungekuwa na ufahamu wa health management uka analyse technically anachoongea in relation to regulations ata za nchi nyingine kwenye usimamizi wa sehemu hiyo hiyo ndio utaelewa level zake ni zingine.

Nyie msicheze Dr Gwajima kwenye health management.
Hujui chochote unachoongea
 
S
Italeta nidhamu,sio madaktari pekee,pia ofisi ya DPP unamuweka ndani mahabusu mtu miaka then unamuachia hana kesi ulimkamatia nini sasa
Uzembe kama mahospitalini hauna tofauti na ule wa Polisi na mahakama. Unamfunga mtu 10 yrs then unamwachia unasema hakutenda kosa. Unajua umesababisha madhara kiasi gani kwenye maisha yake yoote?

Hii nchi bila katiba Mpya katiba Bora tutaendelea kuumizana sana
 
Hawa madokta wetu wa bongo ndio hawa hawa tunashinda nao huku kidimbwi tena maspeshalist kabisa wakimwagilia moyo mpaka kutembea hawajiwezi ...na bangi ndio hatari zaid yan Mungu tu atusimamieee kwa kweli
Sindio wengine wanasema hawawezi fanya operation mpk walewe....hivi ndio kweli chuoni wanafundishwa hivyo au wamejiongeza
 
Kuna tatizo kubwa kwa wataalamu wetu Madakatari Bingwa "ma specialists".

Sielewi ni ukosefu wa umakini? au kutokuiva vizuri katika taaluma zao?! au ni ukosefu wa maadili?! au ni uzembe?!

Mambo kama hayo yanatokea sana kwa wagonjwa wa maradhi mbalimbali.
 
Nikipewa dawa na daktari wa kibongo huwa situmii bila kuzama Google kujiridhisha [emoji849][emoji849][emoji849]

Mwaka jana mama yangu aifanyiwa operation ya goita Mount Meru na akaruhusiwa kurudi nyumbani bila maelekezo yoyote na hakupewa hata paracetamol.

Bongo magumu ni mengi mno.
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa nikuulize paracetamol ilikuwa inaenda kufanya kazi labda? Au kila mgonjwa anapewa paracetamol.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom