Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Hii inawakuta wengi tu,, mdogo wangu poly clinic moja walimwambia mishipa ya moyo imetanuka..

Mtoto alilia hii siku,, mtu mmoja akanambia tafuteni vipimo vya hosp kama 3.

Nikaenda nae NSK Arusha, wakampima majibu ni hamna shida yoyote kwenye moyo… likizo akaenda Dar akapima tena Rabininsia, hamna kitu.

Sasa sijui wanakwama wapi
Bongo ngumu mno katika mambo ya kitaalamu ni shida. Kama kila mtu angekuwa anafauatilia majibu ya vipimo ni aibu kubwa mno.

Mimi ni case kama tatu ivi watu wamefanyiwa operation ya appendix na wala hawakuwa na shida hiyo.

Case kama hizi zipo lukuki sema tuishia kumsingizia mungu ATI kazi yake haina makosa
 
Mimi nilikuwa najua nimefanyiwa upasuaji wa goita na sikuwahi kuambiwa na hospitali ya Hindu Mandal kama wamenitoa tezi, nimekuja kujua baada ya kuelezwa na hospitali ya Apollo ya nchini India kuwa kinachonisumbua ni upungufu wa homoni na siyo kansa.[emoji15][emoji3064]
Mimi nilikuwa najua nimefanyiwa upasuaji wa goita na sikuwahi kuambiwa na hospitali ya Hindu Mandal kama wamenitoa tezi, nimekuja kujua baada ya kuelezwa na hospitali ya Apollo ya nchini India kuwa kinachonisumbua ni upungufu wa homoni na siyo kansa.[emoji15][emoji3064]



Kumbe mgonjwa ni Wewe ??!!😗
 
It is confusing

It looks like this patient is on thyroxine replacement therapy following total thyroidectomy.It is not possible to have hypothyroidism following partial tryroidectomy.

It looks like the initial surgery was lobectomy (partial thyroiedectomy) where all the malignant tumor was removed and the second surgery was total thyroidectomy. It is unlikely to find malignant cells in the sample after second surgery if the initial surgery removed all the malignant tumor.

Question : Did he the take samples from first and secondary surgrery to India?
 
Duh!

Inabidi pia jamii itambue kuwa vipimo vina uhisiji na uhakika tofautitofauti [sensitivity and specificity]

Ni kama ambavyo dokta Magu alipotuonyesha mfano kwa kupima mapapai.

Huwezi kuwalaumu wataalamu mojakwa moja peke yao mfano labda kipimo fulani kinahitaji urilaksi na uwe haujala wewe ukadandia daladala na ukala viazi ukifika ukapimwa ukaambiwa una tatizo tumlaumu nanii.

Kuna vipande viiiingi mno katika mnyororo wa afya ili kuleta uhakika wa majibu mazee
Napingana na wewe, margin for an error ikiwa kubwa kiasi hicho ina maana kipimo chako hakina calibration sahihi au msomaji/interpreter ni incompetent. Kutoka 2.8kg hadi over 5kg kwa kipimo cha ultrasound sio sawa, basi waking ultrasound imesoma havirleweki wangefanya sophisticated doppler effect. There's always a margin for an error, ikizidi sio error tena, ni mistake.
 
Kuna shemeji yangu, Mamayake alilazwa pale Hindu....... wakasema wanamkata mguu maana kidonda chake kwenye ugoko hakitaweza kupona. Shemeji akampeleka Mama yake Narobi kidonda kikatibiwa mpaka kikapona
 
It is confusing

It looks like this patient is on thyroxine replacement therapy following total thyroidectomy.It is not possible to have hypothyroidism following partial tryroidectomy.

It looks like the initial surgery was lobectomy (partial thyroiedectomy) where all the malignant tumor was removed and the second surgery was total thyroidectomy. It is unlikely to find malignant cells in the sample after second surgery if the initial surgery removed all the malignant tumor.

Question : Did the take samples from first and secondary surgrery to India?
Jibu la swali lako ni hili

Baada ya kupata fedha hizo akaenda katika hospitali ya Hindu Mandal ili apewe barua pamoja na sampuli za tezi hizo aweze kwenda nazo katika hospitali ya Apollo kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

“Nilipewa sampuli ambazo zilifungwa kama nilivyokabidhiwa, nilizipeleka moja kwa moja hadi katika hospitali ya Apollo iliyopo nchini India, zilifanyiwa uchunguzi na ilionekana sikuwa na kansa ya Thyoid,” alidai Frolence.
 
Nikipewa dawa na daktari wa kibongo huwa situmii bila kuzama Google kujiridhisha [emoji849][emoji849][emoji849]

Mwaka jana mama yangu aifanyiwa operation ya goita Mount Meru na akaruhusiwa kurudi nyumbani bila maelekezo yoyote na hakupewa hata paracetamol.

Bongo magumu ni mengi mno.
 
Ni sawa, lakini kwa umasikini, ufukara, utahira wa linchi kapuku kama Tanzania sio sawa kuwashitaki.

Kaka kuna madaktari wengi sana nawafahamu wamesoma kwa shida mno wametoka familia za tabu sanaa hadi leo wako hapo ni neema tu siamini sana kama ni uzembe tusiwashitaki
Hivi ww mtu upo serious au na ww ni dokta wa mchongo???
 
Basi nendeni mkatibiwe huko nje mnakohisi kuna madaktari malaika
Screenshot_20220724-150713_Chrome.jpg
 
Mbona kama ni ngumu kufanyiwa operation bila kuambiwa kinachoenda fanyika?
Sidhani kama hospital zote 3 zitafanya kosa hilo hilo
 
Back
Top Bottom