Medical error za Ulaya siyo kama hizi za Tz. Tz uki ingia Theatre death na ku survive ni 50%.Basi nendeni mkatibiwe huko nje mnakohisi kuna madaktari malaika View attachment 2302353
DahMimi kuna Daktari wa kike pale Hurbert Kairuki nilimshinda kwa kutumia google tu kudadadeki, yaani alikuwa ana-force kumpa mwanangu dawa za kifafa wakati kwa ku-google kwa nusu saa tu nikagundua alichonacho mwanangu ni degedege, ila yeye anakomaan kwamba vipimo vya EEGg kitu gani sijui vinaonuesha sijui Hertz ngapi huko kwahiyo anakifafa..., tukapelekeshana hadi kwa madaktari wenzake ikabidi aanze kunikimbia..., na dawa walizompa zilikuwa za mwaka mzima.., sema niliwahi wakati ameshazitumia wiki tu, baada ya kukaa kikao na madaktari wengine wa hospitali hiyo hiyi ikabainika ni ‘febrile seizure’ kama ‘google’ ilivyosema.., na inprinciple huwa hawatoi dawa. Yule Dokta alikimbia hata hakuinekana kwenye kikao.., hakyanani.., kuja kucheki bili ya NHIF wamelamba 2 million!! Sema tu naogopa kuishtaki hospitali, maana nado nawahitaji sana.., huwezi jua lini utawarudia hapo.
Ila niliwaza sana, ni watu wangapi wasio na uwezo wa ku analyse mambo kwa kujiamini kama mimi kiasi wanamuona Daktari kama Mungu asiye na tamaa ya pesa ambao wanaweza kukuandikia dawa au procedure purely out of greed ya kukwapua pesa za bima.., yaani...
Kuna sehemu nimepasifia ulaya!?Ebu acheni Roho za chuki na makasiriko hakuna Daktari anayetoka nyumbani anasema anaenda kuua au kumdhuru mteja wake hii ni bahati mbaya na inatokea hata huko ulaya mnapo pasifia Kuna mistakes nyingi kama hizi pamoja na wao kuwa na technology ya juu sana, just Google medical legal cases uone,huyo Dr Mavura ametoa sampuli ya ugonjwa amepeleka kupimwa majibu yamerudi ni Capillary Carcinoma ambayo tiba yake ni kuwahi kutoa uvimbe wote sasa yeye kosa lake lipo wapi?
Baada ya majibu ya pili kurudi kwamba hana, ni kwanini aliimalizia ‘Thyroid yote’? Na kwanini walimwambia akapigwe mionzi ilihali ni tatizo la upungiufu wa hormone? Walitaka kumuua? Aiseee hapo ilitakiwa adai bilioni 2Ebu acheni Roho za chuki na makasiriko hakuna Daktari anayetoka nyumbani anasema anaenda kuua au kumdhuru mteja wake hii ni bahati mbaya na inatokea hata huko ulaya mnapo pasifia Kuna mistakes nyingi kama hizi pamoja na wao kuwa na technology ya juu sana, just Google medical legal cases uone,huyo Dr Mavura ametoa sampuli ya ugonjwa amepeleka kupimwa majibu yamerudi ni Capillary Carcinoma ambayo tiba yake ni kuwahi kutoa uvimbe wote sasa yeye kosa lake lipo wapi?
Hongera sana,kwakweli watu wengi wanapewa huduma wasizotakiwa kupewa,na at the end of the day,unakuta walienda kwa tatizo hili,jingine linaibukia hukohuko,ndiyo wataalamu wetu hao.Mimi kuna Daktari wa kike pale Hurbert Kairuki nilimshinda kwa kutumia google tu kudadadeki, yaani alikuwa ana-force kumpa mwanangu dawa za kifafa wakati kwa ku-google kwa nusu saa tu nikagundua alichonacho mwanangu ni degedege, ila yeye anakomaan kwamba vipimo vya EEGg kitu gani sijui vinaonuesha sijui Hertz ngapi huko kwahiyo anakifafa..., tukapelekeshana hadi kwa madaktari wenzake ikabidi aanze kunikimbia..., na dawa walizompa zilikuwa za mwaka mzima.., sema niliwahi wakati ameshazitumia wiki tu, baada ya kukaa kikao na madaktari wengine wa hospitali hiyo hiyi ikabainika ni ‘febrile seizure’ kama ‘google’ ilivyosema.., na inprinciple huwa hawatoi dawa. Yule Dokta alikimbia hata hakuinekana kwenye kikao.., hakyanani.., kuja kucheki bili ya NHIF wamelamba 2 million!! Sema tu naogopa kuishtaki hospitali, maana nado nawahitaji sana.., huwezi jua lini utawarudia hapo.
Ila niliwaza sana, ni watu wangapi wasio na uwezo wa ku analyse mambo kwa kujiamini kama mimi kiasi wanamuona Daktari kama Mungu asiye na tamaa ya pesa ambao wanaweza kukuandikia dawa au procedure purely out of greed ya kukwapua pesa za bima.., yaani...
Na wanashikanashikana kweli,yaani kazini wao ndiyo wanaona ni sehemu ya kuwekeana miadi,na ikiwezekana wanatiana humohumo ofisini,kwenye vitanda vya kuchekia wagonjwa.Inasikitisha sana,mi kwa kacha ya huku Afrika,ningeweka kigezo cha kusomea utabibu,kwa wadada,asiwe na tako kubwa au sura nzuri,kwa wakaka huko wawabane tu darasani,Hawa wadada wenye matako makubwa na sura nzuri,baadhi yao ni empty kabisa kichwani,matokeo yake,wanapata digrii au diploma za chupi,ajira za chupi na ofisini wanakua waburudishaji wakubwa wa mabosi wao kama ma HR.Hayako competent.Medical error za Ulaya siyo kama hizi za Tz. Tz uki ingia Theatre death na ku survive ni 50%.
Tz ma Dr na ma nesi ni ngono tu hata muda wa kazi. Kushikana shikana tu hivyo.
Hata Practical Poor.
Eti "D" 2 usome Clinical Medicine. Nursing ndio walio feli form four!!
hapo rabinincia nako usipaamini hata kidgo..lol madakatari wengi hapo ni intern..vifaa na majengo A+ ila mataibibu wanaoutsourceHii inawakuta wengi tu,, mdogo wangu poly clinic moja walimwambia mishipa ya moyo imetanuka..
Mtoto alilia hii siku,, mtu mmoja akanambia tafuteni vipimo vya hosp kama 3.
Nikaenda nae NSK Arusha, wakampima majibu ni hamna shida yoyote kwenye moyo… likizo akaenda Dar akapima tena Rabininsia, hamna kitu.
Sasa sijui wanakwama wapi
Subiri upate maelezo ya upande wa pili kabla hujatoa hukumu, na kuona ma doctor wa Africa hawafai
Kweli kabisa,hapo rabinìnsia maìntern wamejaa nililazwa na mtoto anazidiwa niko wodini wenyewe wapo tu na vingereza vyao vya kinamna mwishoe nikaona nibebe mwanangu huyoo akaenda kuponea kwa dr.hassanali muhindi mjini!hapo rabinincia nako usipaamini hata kidgo..lol madakatari wengi hapo ni intern..vifaa na majengo A+ ila mataibibu wanaoutsource
Hiyo Goitre ukienda Bugando kufa 90% kupona ni 10%.dr mavula tmj, muhimbili, hindu mandal..by the way namjua..skuwahi jua anahudumu haspital zote hizo..pengine kuna hospitali nyingine anafanya zaidi ya hizo zilizotajwa..hivyo kumfanya awe na mda mchache kuattend mgonjwa katika kila hospitali, kumbuka hospital nako its business..kama wagonjwa wako 6 na ana saa manne kila siku lazima agawe muda awamalize fasta fasta.
workmate wetu kafanyiwa operation ya goitre muhimbili alhamdulilaah yuko poa now tangu last year..tena alishauriwa na dakatari wa hospital nyingine aende muhimbili, aende hapo awe tu mvumilivu kwa maana hapo ndo the best kwa case za magonjwa yote, madaktari bingwa wote wapo hapo, vifaa vyote vipo hapo..awe na pesa tu za kutip hapa na pale..akaambiwa huko kwingine ataliwa pesa tu case ikiwa worse wanakurefer muhimbili.
Hamna kesi hapo.. Huyo mgonjwa ajiandae kulipa fidia y kuchafua watu
hehe hapo nurse station yao wanajivuta hatari...stosahau nlikua naendesha jamaa wakaniambia nina kipindupindu..just tumbo la kawaida..aisee..nkapigwa transfer mwanyamala..mwananyamala walicheka sana..kesho yake asbuhi nkapewa dawa nkarudi home.Kweli kabisa,hapo rabinìnsia maìntern wamejaa nililazwa na mtoto anazidiwa niko wodini wenyewe wapo tu na vingereza vyao vya kinamna mwishoe nikaona nibebe mwanangu huyoo akaenda kuponea kwa dr.hassanali muhindi mjini!
Kujiongeza au upumbavu tu na upuuziSindio wengine wanasema hawawezi fanya operation mpk walewe....hivi ndio kweli chuoni wanafundishwa hivyo au wamejiongeza
ShalomMarekani na Ulaya kuna kesi maelfu kwa maelfu kama hizi. Na wagonjwa wachache sana huwa wanashinda very few na kuwe na gross mistakes.
Udaktari sio uinjinia wa barabara.