Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Basi nendeni mkatibiwe huko nje mnakohisi kuna madaktari malaika View attachment 2302353
Medical error za Ulaya siyo kama hizi za Tz. Tz uki ingia Theatre death na ku survive ni 50%.
Tz ma Dr na ma nesi ni ngono tu hata muda wa kazi. Kushikana shikana tu hivyo.

Hata Practical Poor.
Eti "D" 2 usome Clinical Medicine. Nursing ndio walio feli form four!!
 
Mimi kuna Daktari wa kike pale Hurbert Kairuki nilimshinda kwa kutumia google tu kudadadeki, yaani alikuwa ana-force kumpa mwanangu dawa za kifafa wakati kwa ku-google kwa nusu saa tu nikagundua alichonacho mwanangu ni degedege, ila yeye anakomaan kwamba vipimo vya EEGg kitu gani sijui vinaonuesha sijui Hertz ngapi huko kwahiyo anakifafa..., tukapelekeshana hadi kwa madaktari wenzake ikabidi aanze kunikimbia..., na dawa walizompa zilikuwa za mwaka mzima.., sema niliwahi wakati ameshazitumia wiki tu, baada ya kukaa kikao na madaktari wengine wa hospitali hiyo hiyi ikabainika ni ‘febrile seizure’ kama ‘google’ ilivyosema.., na inprinciple huwa hawatoi dawa. Yule Dokta alikimbia hata hakuinekana kwenye kikao.., hakyanani.., kuja kucheki bili ya NHIF wamelamba 2 million!! Sema tu naogopa kuishtaki hospitali, maana nado nawahitaji sana.., huwezi jua lini utawarudia hapo.

Ila niliwaza sana, ni watu wangapi wasio na uwezo wa ku analyse mambo kwa kujiamini kama mimi kiasi wanamuona Daktari kama Mungu asiye na tamaa ya pesa ambao wanaweza kukuandikia dawa au procedure purely out of greed ya kukwapua pesa za bima.., yaani...
Dah
Ebu acheni Roho za chuki na makasiriko hakuna Daktari anayetoka nyumbani anasema anaenda kuua au kumdhuru mteja wake hii ni bahati mbaya na inatokea hata huko ulaya mnapo pasifia Kuna mistakes nyingi kama hizi pamoja na wao kuwa na technology ya juu sana, just Google medical legal cases uone,huyo Dr Mavura ametoa sampuli ya ugonjwa amepeleka kupimwa majibu yamerudi ni Capillary Carcinoma ambayo tiba yake ni kuwahi kutoa uvimbe wote sasa yeye kosa lake lipo wapi?
Kuna sehemu nimepasifia ulaya!?
 
dr mavula tmj, muhimbili, hindu mandal..by the way namjua..skuwahi jua anahudumu haspital zote hizo..pengine kuna hospitali nyingine anafanya zaidi ya hizo zilizotajwa..hivyo kumfanya awe na mda mchache kuattend mgonjwa katika kila hospitali, kumbuka hospital nako its business..kama wagonjwa wako 6 na ana saa manne kila siku lazima agawe muda awamalize fasta fasta.

workmate wetu kafanyiwa operation ya goitre muhimbili alhamdulilaah yuko poa now tangu last year..tena alishauriwa na dakatari wa hospital nyingine aende muhimbili, aende hapo awe tu mvumilivu kwa maana hapo ndo the best kwa case za magonjwa yote, madaktari bingwa wote wapo hapo, vifaa vyote vipo hapo..awe na pesa tu za kutip hapa na pale..akaambiwa huko kwingine ataliwa pesa tu case ikiwa worse wanakurefer muhimbili.
 
Ebu acheni Roho za chuki na makasiriko hakuna Daktari anayetoka nyumbani anasema anaenda kuua au kumdhuru mteja wake hii ni bahati mbaya na inatokea hata huko ulaya mnapo pasifia Kuna mistakes nyingi kama hizi pamoja na wao kuwa na technology ya juu sana, just Google medical legal cases uone,huyo Dr Mavura ametoa sampuli ya ugonjwa amepeleka kupimwa majibu yamerudi ni Capillary Carcinoma ambayo tiba yake ni kuwahi kutoa uvimbe wote sasa yeye kosa lake lipo wapi?
Baada ya majibu ya pili kurudi kwamba hana, ni kwanini aliimalizia ‘Thyroid yote’? Na kwanini walimwambia akapigwe mionzi ilihali ni tatizo la upungiufu wa hormone? Walitaka kumuua? Aiseee hapo ilitakiwa adai bilioni 2
 
Nilipo kuja kuwaona madokta ni ndezi ni apa jamaa angu kapata ajali mguu umevunjika kwenda hospital wanataka kukata na pesa mpaka apone almost 2.5 million, tukamchukua kijana tukampeleka kitaa kuna moto ivi alipigwa ndani ya mwezi kapona anagonga gia ni boda gharama elfu 20.
 
Mimi kuna Daktari wa kike pale Hurbert Kairuki nilimshinda kwa kutumia google tu kudadadeki, yaani alikuwa ana-force kumpa mwanangu dawa za kifafa wakati kwa ku-google kwa nusu saa tu nikagundua alichonacho mwanangu ni degedege, ila yeye anakomaan kwamba vipimo vya EEGg kitu gani sijui vinaonuesha sijui Hertz ngapi huko kwahiyo anakifafa..., tukapelekeshana hadi kwa madaktari wenzake ikabidi aanze kunikimbia..., na dawa walizompa zilikuwa za mwaka mzima.., sema niliwahi wakati ameshazitumia wiki tu, baada ya kukaa kikao na madaktari wengine wa hospitali hiyo hiyi ikabainika ni ‘febrile seizure’ kama ‘google’ ilivyosema.., na inprinciple huwa hawatoi dawa. Yule Dokta alikimbia hata hakuinekana kwenye kikao.., hakyanani.., kuja kucheki bili ya NHIF wamelamba 2 million!! Sema tu naogopa kuishtaki hospitali, maana nado nawahitaji sana.., huwezi jua lini utawarudia hapo.

Ila niliwaza sana, ni watu wangapi wasio na uwezo wa ku analyse mambo kwa kujiamini kama mimi kiasi wanamuona Daktari kama Mungu asiye na tamaa ya pesa ambao wanaweza kukuandikia dawa au procedure purely out of greed ya kukwapua pesa za bima.., yaani...
Hongera sana,kwakweli watu wengi wanapewa huduma wasizotakiwa kupewa,na at the end of the day,unakuta walienda kwa tatizo hili,jingine linaibukia hukohuko,ndiyo wataalamu wetu hao.
 
Medical error za Ulaya siyo kama hizi za Tz. Tz uki ingia Theatre death na ku survive ni 50%.
Tz ma Dr na ma nesi ni ngono tu hata muda wa kazi. Kushikana shikana tu hivyo.

Hata Practical Poor.
Eti "D" 2 usome Clinical Medicine. Nursing ndio walio feli form four!!
Na wanashikanashikana kweli,yaani kazini wao ndiyo wanaona ni sehemu ya kuwekeana miadi,na ikiwezekana wanatiana humohumo ofisini,kwenye vitanda vya kuchekia wagonjwa.Inasikitisha sana,mi kwa kacha ya huku Afrika,ningeweka kigezo cha kusomea utabibu,kwa wadada,asiwe na tako kubwa au sura nzuri,kwa wakaka huko wawabane tu darasani,Hawa wadada wenye matako makubwa na sura nzuri,baadhi yao ni empty kabisa kichwani,matokeo yake,wanapata digrii au diploma za chupi,ajira za chupi na ofisini wanakua waburudishaji wakubwa wa mabosi wao kama ma HR.Hayako competent.
 
Hii inawakuta wengi tu,, mdogo wangu poly clinic moja walimwambia mishipa ya moyo imetanuka..

Mtoto alilia hii siku,, mtu mmoja akanambia tafuteni vipimo vya hosp kama 3.

Nikaenda nae NSK Arusha, wakampima majibu ni hamna shida yoyote kwenye moyo… likizo akaenda Dar akapima tena Rabininsia, hamna kitu.

Sasa sijui wanakwama wapi
hapo rabinincia nako usipaamini hata kidgo..lol madakatari wengi hapo ni intern..vifaa na majengo A+ ila mataibibu wanaoutsource
 
Subiri upate maelezo ya upande wa pili kabla hujatoa hukumu, na kuona ma doctor wa Africa hawafai

Nina ushuhuda na hayo niloandika baba yangu aliambiwa ana tatizo kubwa la moyo asipofanyiwa operation anaweza asimalize miezi sita tukae da India alipewa dawa tu sasa hivi ni miaka inafika sana yupo gado na moyo umetulia hatumii dawa yoyote zaidi ya kuzingatia diet so usione nimejisemea tu sijui kaka au dada nasema kilichonikuta
 
hapo rabinincia nako usipaamini hata kidgo..lol madakatari wengi hapo ni intern..vifaa na majengo A+ ila mataibibu wanaoutsource
Kweli kabisa,hapo rabinìnsia maìntern wamejaa nililazwa na mtoto anazidiwa niko wodini wenyewe wapo tu na vingereza vyao vya kinamna mwishoe nikaona nibebe mwanangu huyoo akaenda kuponea kwa dr.hassanali muhindi mjini!
 
dr mavula tmj, muhimbili, hindu mandal..by the way namjua..skuwahi jua anahudumu haspital zote hizo..pengine kuna hospitali nyingine anafanya zaidi ya hizo zilizotajwa..hivyo kumfanya awe na mda mchache kuattend mgonjwa katika kila hospitali, kumbuka hospital nako its business..kama wagonjwa wako 6 na ana saa manne kila siku lazima agawe muda awamalize fasta fasta.

workmate wetu kafanyiwa operation ya goitre muhimbili alhamdulilaah yuko poa now tangu last year..tena alishauriwa na dakatari wa hospital nyingine aende muhimbili, aende hapo awe tu mvumilivu kwa maana hapo ndo the best kwa case za magonjwa yote, madaktari bingwa wote wapo hapo, vifaa vyote vipo hapo..awe na pesa tu za kutip hapa na pale..akaambiwa huko kwingine ataliwa pesa tu case ikiwa worse wanakurefer muhimbili.
Hiyo Goitre ukienda Bugando kufa 90% kupona ni 10%.
 
Hamna kesi hapo.. Huyo mgonjwa ajiandae kulipa fidia y kuchafua watu

Ile nyie madaktari hatari sanaa...
Kuna mmoja aliniambiaga Nina bacteria wa vidonda tumbo ndio maana tumbo linauma sanaa.

Akanipa dawa, kufika nyumba nikawazaaa nikaona ninywe dawa ya asili ya tumbo la typhoid.

Aisee nilikunywa siku 3 nikapona.

Mpaka leo dawa za Dokta mwenzako ninazo na kila kitu nakula na sijawahi pata maumivu tumboni Wala pilau, pilipili na vyengine kuzingua.

#YNWA
 
Kweli kabisa,hapo rabinìnsia maìntern wamejaa nililazwa na mtoto anazidiwa niko wodini wenyewe wapo tu na vingereza vyao vya kinamna mwishoe nikaona nibebe mwanangu huyoo akaenda kuponea kwa dr.hassanali muhindi mjini!
hehe hapo nurse station yao wanajivuta hatari...stosahau nlikua naendesha jamaa wakaniambia nina kipindupindu..just tumbo la kawaida..aisee..nkapigwa transfer mwanyamala..mwananyamala walicheka sana..kesho yake asbuhi nkapewa dawa nkarudi home.
 
Ila wabongo kwa kuponda tu wako vizuri, halafu kesho binti yake akitoa mimba anakuwa mpole kumfata daktari.

Kwamba bongo maspecialist ni wa mchongo? Watu wanasoma kwa kukesha, wanamaliza wanakaa kazini kwa kukesha kusaidia ndugu zetu na marafiki ila kuna mtu anasema wa mchongo.

Nasema iiiihiiiiii aaaaahaaaaa( in magufuli's voice)
 
Habar inaMiss upande wa Mshtakiwa hivyo ni muhimu sn kutofanya Judgements,. Subir upande wa pili nao ulete ushahid wake, maana muandishi hajui alivyoviandika na mlalamikaji mwenyew hajui anavyoviongea.

Haiko wazi alienda Muhimbili kwa tatizo gani, anasema alijua amefanyiwa operation ya Goiter kumbe ni ya tezi ya Thyroid, (Thyroid na Goiter ni kitu hiko hiko)

My Take;
Huyu alikua na Goiter, a k.a Uvimbe wa Tezi ya Thyroid, na matibabu yake ni kwa Stages..
Kuiondoa kama haijasambaa, au mionzi, au Chemotherapy, au vyote kulingana na kusambaa,

Kama angekua na shida ya Hormones asingepelekwa kwa Daktar wa Upasuaji, (Jaribu tu kutumia akilia yako) Angeenda kwa Ma Endocrinologists, ambao hawadili na kupasua.



Ila concern yang ipo kweny hizi comments, wabongo mko rahis sn kutukana Watu wote kwa makosa ya mtu mmoja, na bado ukweli haujafahamika mshaanza kutuweka uchi,

Haya bna ngoja mpate maGono, mtakuja tu inbox wapuuzi nyie,

Hii inaonesha Dhahiri uIgnorant mlionao
 
Back
Top Bottom