Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Polyclinic ile ni biashara so sehemu nyingi unatafutiwa tatizo ili wapate hela kuuza dawa zao.
 
Kwanza hatuna medical scientist
Pili, daktari wetu hawasomi.
Hii field inataka sana kusoma.
Mi mwenyewe kuna dokta niliwahi kumuona tena wa Muhimbili, akawa ana google khs tatizo langu ndio ananipa maelezo
Nilimuambia excuse me, nikatoka mazima.
Duuuh!
Akitoka kazini anaweka kikao baa, badala ya kushika kitabu akaongeza maarifa.
 
S
Italeta nidhamu,sio madaktari pekee,pia ofisi ya DPP unamuweka ndani mahabusu mtu miaka then unamuachia hana kesi ulimkamatia nini sasa
Nchi hii imejaa siasa..

Mimi niliwahi fanya kazi sehemu boss wa pale yeye anapenda hela vibaya kama huiingizi hela kwake sio Tabibu mzuri nakumbuka kuna jamaa yeye alikua anaweza kukupiga dawa hata 3 za aina moja ili tu aonekane anaingiza hela..nilishindwana na boss shida hiyo mtu kaja kajikwaa kidoleni anahitaji therapy ndogo anataka uweke drip[emoji706]
 
Ukishaanza kufanya Kazi ya kutibu watu kama Biasharaa jua unaharibu kazii.. Pole sana kwa huyo ndugu ila kwa tatizo ambalo linakuwa linahitaji Utumie Dawa za muda mrefu au matibabu ya upasuaji bora ufanye Check up kwenye Hospital zaidi ya moja ni safe zaidi...!
 
Mkuu tunakubali madaktari wanatutibu kila siku na tuna pona ila ukweli kwa sasa tuna tatizo kubwa sana la watumishi kuanzia miundombinu,elimu ya darasani nk.

Wengi waliingia/tuliingia huku kutafuta unafuu wa maisha lakini sio kuipenda hii kazi.ukiwa mtumishi wa afya yeyote yule kada yoyote ile jua umechagua kusoma(Mwanafunzi) maisha yako yote sio ukimaliza chuo na wewe umefunika kitabu lazima ulete majanga.

Nilipokua College kuna MD alikua anatufundisha sitamtaja jina yule jamaa alikua ni Second on call wa kutumainiwa hospital fulani lakini alikua amepoteza uhai wa watu wengi kwa uzembe na mbaya zaidi alikua akihadithia tu darasani ni kama kitu cha mzaha hivi.

N
 
Halafu sasa wanajifanya ni wajanja na wataalam kupita maelezo. Ulaya ukienda hospital manafanya discussion na dr na anakuuliza mapendekezo yako lakini Bongo dr wana viburi na wanajiona ni wataalam mno.
Wanajiona final say
Dr Shafiq alimuambia mtu hatazaa maisha yote pale Agha Khan kwa Sasa Ana watoto wawili Yule dada
 
Kuna maboko wanayatoa sababu ya dharau, kutokujali kwao, uzembe wa makusudi. Hapa itabidi tu tushitakiane.
Niliwahi kupimwa nikakutwa na vidonda vya tumbo katika Hospital mbili tofauti, nikaanza dawa Kama Mwaka mzima Kila siku nakunywa Hadi nikaanza kukojoa mkojo wa rangi tofauti na unanuka madawa

Ndipo nikaenda Hospital nyingine kubwa zaidi ya private wakanipima wakaniambia Sina vidonda na niache kumeza dawa Mara moja,nilipoacha nikapona mpaka leo,
 
Kuna jibu hapahapa, goita ni kitendo cha tezi y thairoidi kuvimba. Ni kitu kimoja.

Nadhani hata hatari mojawapo inayojulikana ya operesheni hii [risk]. Ni kupungua sana kwa utendaji wa tezi kutokana na kuondolewa kwa kiasi kikubwa hali inayopelekea mgonjwa ahitaji kurejesha usawazo wa homoni kwa kutumia homoni ya kusubu ya levothairoksini.

Kiswahili asee, ni nomaaaa 🤭
 
Ma specialist wengi wana dharau sana,

NB:Wapo wenye weledi hasa waliosoma zamani au wale waliosoma kwa ajili ya kusaidia watu tunawapenda sana kwa utumishi wao uliotukuka pia.
Yap wale wa zaman walisoma kwa mapenzi ili kuja kusaidia watu
Hapo hindu mandal mfano ni prof mbise dr wa watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…