Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Mgonjwa aidai TMJ, Hindu Mandal fidia ya shilingi milioni 500

Na hivi vihopsitali vilivyo mtaani wanajiita ma specialist ni vyakuogopa...Kuna hospital moja nzuri tu iko mbezi beach walimpima mtu na mashine ya ECG wakasema anatatizo la moyo anatakiwa aanze clinic muhimbili ..kufika muhimbili kwa daktari bingwa akapimwa Hana tatizo lolote la moyo...kurudia Tena sehemu nyingine hana...
Hivi ni kwa nini hivi jamani.?mbona sielewagi maelekezo hata ninapokwenda kwenye vipimo vya hiv,uti,malaria.nk huwa sielew hadi naamua kutumia dawa za asilia....
 
Hawa M-MD wa Bongo,baadhi yao wako shallow sana,wanaheshimika kwasababu ya hofu na ujinga wetu sisi ambao hatuna uelewa wa mambo ya medical.Kuna incompetent mediacl personnels wengi,hadi unajiuliza,huko walikosoma hakunaga kudisco hadi huyu wakamuacha?
Hawa madaktari wa kike wenye makalio makubwa,ndiyo kabisa... hasa ukute ana hulka ya umalaya ndiyo kabisa... baadhi yao wanagawa uroda,wanapewa marks tu.
Mimi kuna Daktari wa kike pale Hurbert Kairuki nilimshinda kwa kutumia google tu kudadadeki, yaani alikuwa ana-force kumpa mwanangu dawa za kifafa wakati kwa ku-google kwa nusu saa tu nikagundua alichonacho mwanangu ni degedege, ila yeye anakomaan kwamba vipimo vya EEGg kitu gani sijui vinaonuesha sijui Hertz ngapi huko kwahiyo anakifafa..., tukapelekeshana hadi kwa madaktari wenzake ikabidi aanze kunikimbia..., na dawa walizompa zilikuwa za mwaka mzima.., sema niliwahi wakati ameshazitumia wiki tu, baada ya kukaa kikao na madaktari wengine wa hospitali hiyo hiyi ikabainika ni ‘febrile seizure’ kama ‘google’ ilivyosema.., na inprinciple huwa hawatoi dawa. Yule Dokta alikimbia hata hakuinekana kwenye kikao.., hakyanani.., kuja kucheki bili ya NHIF wamelamba 2 million!! Sema tu naogopa kuishtaki hospitali, maana nado nawahitaji sana.., huwezi jua lini utawarudia hapo.

Ila niliwaza sana, ni watu wangapi wasio na uwezo wa ku analyse mambo kwa kujiamini kama mimi kiasi wanamuona Daktari kama Mungu asiye na tamaa ya pesa ambao wanaweza kukuandikia dawa au procedure purely out of greed ya kukwapua pesa za bima.., yaani...
 
Ndio kilichobaki, tukianza kushitakiana kidoogo umakini utakuwepo, hatukatai kukosea ndio uwanadamu lakini ni too much.

Wale kenge wa dar group sijui, walifanya uzembe kiasi dada yangu akatolewa kizazi kabisa, ndugu zangu nawaambIa tuwashughulikie, wanasema mradi katoka salama, tuache tu., mtu kakosa mtoto na kizazi wametoa[emoji34]
Hao madr walimpa mama yangu dawa ya pressure wakati ndio mara ya kwanza amepata pressure kiasi kwamba hawezi acha dawa. Yani madr wa Tanzania sijui wamelewa muda wote
 
Mimi nilikuwa najua nimefanyiwa upasuaji wa goita na sikuwahi kuambiwa na hospitali ya Hindu Mandal kama wamenitoa tezi, nimekuja kujua baada ya kuelezwa na hospitali ya Apollo ya nchini India kuwa kinachonisumbua ni upungufu wa homoni na siyo kansa.[emoji15][emoji3064]
Madaktari wetu ni kizunguzungu
 
Dah!! So sad!! Na hapo ni kwa kuwa alikuwa na kauwezo kifedha kidogo, je angekuwa kama mimi hapa kajambanani sijui kama angekuwa hai!!
Wangesema umerogwa au laana au ukimwi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Poleni sana. Wana JF. Kuna kitu kinachoitwa kupata ushauri mbadala kutoka kwa daktari mwingine. Msikipuuze hata kama aliyefanya dignosis ya kwanza ni dr bingwa. Kuna watu wengi sana, hata nchi zilizoendelea wamekuta ugonjwa walioambiwa na dr wa kwanza siyo wa kweli baada ya kwenda hospital nyingine na kumwona dr mwingine. Tukirudi upande wa Bongo, baadhi ya madaktari walivyo na tamaa na vilaza, wanaweza kukufanyia upasuaji ili tu wapate fedha.
Nchi zilizoendelea ni panel ya madr wanafanya maamuzi
 
Mkuu umeongea kweli nakumbuka gego langu la kushoto la chini mwisho , lilipata carriers sasa wakala kidogo ikafika hatua likawa sensitive na maji baridi nikaenda kwa hao so called specialists wa meno jamaa akakazia niling'oe na wakati nilienda kwa nia ya kuziba pekee jamaa akakaza na mimi nikamkazia kwamba sing'oi jino abadani .

Alipoona nimekaza akaamua tu kufanya ninachotaka na mpaka leo namshukuru mungu nipo sawa kabisa na ile sensitivity wala haipo .

Sasa mtu kama huyo unamweka kundi gani?
Mpiga ramli
 
Hao madr walimpa mama yangu dawa ya pressure wakati ndio mara ya kwanza amepata pressure kiasi kwamba hawezi acha dawa. Yani madr wa Tanzania sijui wamelewa muda wote
Mkuu endelea kumtazama Mama yako usije ukawa kama mimi nilisema hivyo hivyo baadae akaja kupata stroke kwa ubishi wangu. Dr alinambia japo ni mara ya kwanza lakini presha yake ni kubwa mno na inaonekana ilikuwepo muda mrefu. Nikasema aah wapi. Leo mama hatembei hawezi chochote. Be careful acha kiburi cha uzima.
 
Kwa hiyo kaondoa thyroid glands, yaani kafanya bilateral thyroidectomy........sasa hizo hormone za thyroxine zitazalishwa vipi, ndo maana kapata effect za low metabolism. Ni vizuri madaktari kujipa muda wa kutosha na kufanya consultations kabla ya kufikia maamuzi kwa case sensitive kama hizo.
 
Ndio kilichobaki, tukianza kushitakiana kidoogo umakini utakuwepo, hatukatai kukosea ndio uwanadamu lakini ni too much.

Wale kenge wa dar group sijui, walifanya uzembe kiasi dada yangu akatolewa kizazi kabisa, ndugu zangu nawaambIa tuwashughulikie, wanasema mradi katoka salama, tuache tu., mtu kakosa mtoto na kizazi wametoa[emoji34]
Ebu acheni Roho za chuki na makasiriko hakuna Daktari anayetoka nyumbani anasema anaenda kuua au kumdhuru mteja wake hii ni bahati mbaya na inatokea hata huko ulaya mnapo pasifia Kuna mistakes nyingi kama hizi pamoja na wao kuwa na technology ya juu sana, just Google medical legal cases uone,huyo Dr Mavura ametoa sampuli ya ugonjwa amepeleka kupimwa majibu yamerudi ni Capillary Carcinoma ambayo tiba yake ni kuwahi kutoa uvimbe wote sasa yeye kosa lake lipo wapi?
 
Hii nchi kila mtu ana stress za umasikini, madaktari wengi sio concentrative kwenye kazi zao na shida kubwa ni umasikini na kuwaza kupata hela kila siku.
 
Huu ugonjwa wa uzembe kazini na kutowajibika ni ugonjwa maarufu sana hapa kwetu kitintale.
 
yale yale ya mguu watu wakapasua kichwa na wakichwa akaliwa mguu. JK akachungulia akaona ooooho hili tezi acha liende kwa wanyamwezi wasije hawa wakatoa kende zenyewe.
 
Back
Top Bottom