Basi kila sehemu ingekua hivyo tungefika? Mfano ukitaka kusafiri kwenda Morogoro ukiingia tu kwenye abood bus utoe pesa ya kumuona dereva wa basi then ulipie na nauli yako kwa konda
Naona kama serikali imechelewa sana kufuta hii gharama inayozidi kumuongezea machungu mgonjwa pindi anapoamua kwenda kutafuta tiba hospitali.
Ni kijambo kidogo lakini huwezi jua pengine kimewahi hata kusababisha vifo.
Huenda ilishatokea mtu aliumwa sana na akatamani aende hospitali lakini akajikuta hata pesa ya kumuona daktari hana, pengine ikapelekea akasusa hata baadae maradhi yakamzidi na akafariki kwa kuchelewa kupata matibabu!
Nimewaza sana na kujiuliza kuna uhalali gani wa malipo haya? Si hospitali ya serikali si private, yaani hata daktari hajasema chochote anaku chaji pesa ambayo imeshapangwa wewe na yeyote yule atakayeingia chumba hicho atoe kwanza kabla ya gharama zingine za matibabu.
Tuombe serikali iondoe gharama hizi kutupunguzia mzigo wa maisha angalau tuwe tunalipia vipimo na dawa tu.
Consultation fee unalipa ya nn wakati huyo daktari analipwa mshahara na mwajiri wake??Hapo issue siyo kumuona Daktari.
Unacholipia Ni consultation fee.
Yaani kupima vital signs ( pressure, air tract, Breathing rate na kumwelezea Daktari unavyojisikia, halafu akakupa USHAURI na matibabu yake kwa kukuandikia.
Akishakuandikia hiyo 'Kumuona Daktari inaishia hapo"
kwa ivo madaktari wamegeuka kuwa KWA MKAPA!!!Naona kama serikali imechelewa sana kufuta hii gharama inayozidi kumuongezea machungu mgonjwa pindi anapoamua kwenda kutafuta tiba hospitali.
Ni kijambo kidogo lakini huwezi jua pengine kimewahi hata kusababisha vifo.
Huenda ilishatokea mtu aliumwa sana na akatamani aende hospitali lakini akajikuta hata pesa ya kumuona daktari hana, pengine ikapelekea akasusa hata baadae maradhi yakamzidi na akafariki kwa kuchelewa kupata matibabu!
Nimewaza sana na kujiuliza kuna uhalali gani wa malipo haya? Si hospitali ya serikali si private, yaani hata daktari hajasema chochote anaku chaji pesa ambayo imeshapangwa wewe na yeyote yule atakayeingia chumba hicho atoe kwanza kabla ya gharama zingine za matibabu.
Tuombe serikali iondoe gharama hizi kutupunguzia mzigo wa maisha angalau tuwe tunalipia vipimo na dawa tu.
We kama unaona daktar hana umuhimu jitibu mkuuMadaktari wamefunzwa kutengeneza pesa mahospitalini, na siku zote madaktari hujiona wao ni special sana ukiuliza oh! sijui wamesoma kwa tabu na miaka mingi. Na ubaya watu huwa na mitazamo ya kudhani madaktari wanajua kila kitu.
Elewa kwamba matibabu yanaanzia pale kwenye maongezi ndo anajua shida ni nini achukue vipimo gani aje atoe matibabu ganiHela inaenda hata kama hujapata huduma yeyote ile..
Kitu usichokijua ni kwamba kuonana na Dr ni muhimu Zaid maaana ni yeye atakayekuandikia vipimo kama inabidi, ni yeye utamrudishia vipimo akusomee majibu, ni yeye atakuandikia dawa kulingana na majibu ya vipimo vyako pia hata kama hatokuandikia vipimo Wala dawa atakushauri vizur tu nayo ni matibabu, Sasa kwann umuone bure?Naona kama serikali imechelewa sana kufuta hii gharama inayozidi kumuongezea machungu mgonjwa pindi anapoamua kwenda kutafuta tiba hospitali.
Ni kijambo kidogo lakini huwezi jua pengine kimewahi hata kusababisha vifo.
Huenda ilishatokea mtu aliumwa sana na akatamani aende hospitali lakini akajikuta hata pesa ya kumuona daktari hana, pengine ikapelekea akasusa hata baadae maradhi yakamzidi na akafariki kwa kuchelewa kupata matibabu!
Nimewaza sana na kujiuliza kuna uhalali gani wa malipo haya? Si hospitali ya serikali si private, yaani hata daktari hajasema chochote anaku chaji pesa ambayo imeshapangwa wewe na yeyote yule atakayeingia chumba hicho atoe kwanza kabla ya gharama zingine za matibabu.
Tuombe serikali iondoe gharama hizi kutupunguzia mzigo wa maisha angalau tuwe tunalipia vipimo na dawa tu.
Bila elimu hiyo afya inaelezeka vipi na kueleweka kwa Dr na wagonjwa?Kama Elimu ni muhimu wanaweza fanya hivyo.
Afya ni zaidi ya elimu Mkuu.
Na yeye akienda kwa Muhasibu pia alipie pesa kabla ya kumueleza shida zake au umekula maharagwe ya wapi wewe Dr magumashi?Kumuona daktari. Humuangalii kama picha. Ile kumueleza tu shida yako naye akasuggest vipimo au dawa ndicho unacholipia. Kama unaona haina maana kumueleza mtaalamu shida zako jiandikie mwenyewe dawa au vipimo.
Pale ambapo taahira humuona punguwani hana akili kumbe vise versa is true [emoji1787]Huu uzi ndo unathibitisha kwenye watz wanne mmoja anakua ana matatizo ya akili
Nani kamlazimisha, si aachane na udaktari ajichimbie Sumbawanga akalime maparachichi au mahindi pia ni maisha?Daktari Bingwa anasoma miaka zaidi ya kumi tena ukute amesomea hata nje ya nchi alafu wewe uje kumuona bure....
hivi wewe una akili kweli.
hata clinical officer aliyesomea miaka 3 haupaswi kumuona bure.
hebu heshimuni kazi za watu nyie
Kwani hiyo consultation inaenda kwenye mfuko wa Daktari.Consultation fee unalipa ya nn wakati huyo daktari analipwa mshahara na mwajiri wake??
Sijasema madktari sio muhimu bali madktari hujiona wao ndio special kuliko wengine na watu kudhani madaktari wanajua kila kitu kuhusu tiba, mnapenda mtukuzwe muonekane ni watu muhimu kuliko wengine kisa tuWe kama unaona daktar hana
umuhimu jitibu mkuu
Mimi mwenyewe nashangaa yani mtu alichagua mwenyewe kwenda kusomea udaktari bila kulazimishwa na lengo ni kuja kutibu watu ila ajabu analalamika kama vile amelazimishwa kusoma au kufanya kazi ya udaktari.Nani kamlazimisha, si aachane
na udaktari ajichimbie Sumbawanga akalime
maparachichi au mahindi pia
ni maisha?