Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
Aje tandale atanikuta 0712 148001 what's appHapo Tandale Ilala zipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje tandale atanikuta 0712 148001 what's appHapo Tandale Ilala zipo
Hata kama ni OG,uwekaji una umuhimu wake,Sawa mkuu ni kwamba wanaweka vibaya au ndio wataweka fake hizi mkuu?
hapo sawa umenipa elimu nyingine kama Hawana press machine sitakubali maana napigaga masafa sanaBearing ikiwekwa vizuri na pressing machine,hata kama ni mchina inadumu.
Kuna kipindi nilitaka kwenda nyumbani mkoani,nikaamua nibadirishe bearings zote kama maandalizi ya safari
nikauziwa bearing wakaniambia ni original na bei ikiwa juu.Wale wawekaji sasa na press machine za kutumia jeki.
wakaibonyeza mojawapo ya mguu wa mbele. Bahati nzuri ilinifikisha
kule wakasema hawana OG wana mchina.Nikaona sina namna waniwekee hiyo hiyo
ikawekwa kwa pressing machine nzuri,mpaka leo natumia sijabadilisha na imepita miaka zaidi ya miwili.
ahsante sana mkuu nimeipata elimu nzuriHata kama ni OG,uwekaji una umuhimu wake,
yaani wakati wa kupress wakikosea wakaibonyeza kwenye gololi
wanaiua ikiwa mpya. Ni muhimu sana kudeal na mafundi wanaojielewa.
naichukua namba mkuu , naweza kupata wapi plug orginalAje tandale atanikuta 0712 148001 what's app
naichukua namba mkuu , naweza kupata wapi plug orginal
Mkuu jamaa ameulizia Plug umemuonesha boot
Pole sana kwa tatizo hilo! Kuna sababu kadhaa zinazoweza kusababisha mguu wa gari kuvuma sana:wakuu gari yangu mguu mmoja wa kilia unavuma sana mpaka nakosa raha ya kusikiliza mziki tatizo itakuwa Nini nijue kabla ya kwenda Kwa fundi maiko
Tatizo ni Wheel bearings kuisha. Nenda kwa fundi ila jibu atakalokupa halitakuwa tofauti na hili.wakuu gari yangu mguu mmoja wa kilia unavuma sana mpaka nakosa raha ya kusikiliza mziki tatizo itakuwa Nini nijue kabla ya kwenda Kwa fundi maiko
Sio aende kwa Salama Bearings kariakoo?Labda uende kwa authorized dealer wa Toyota..
Ni vizuri kuweka bearings za gharma ili angalau kuokoa pesa na downtimes, hizo beraings 20,000 zitakuwa zinakufa kila mara,Yes akabadili Bearing sijui za Brevis bei gani ila IST zinaanzia elfu 20.
Salama ndo haswa anatakiwa aende , huko kwa authorized toyota dealer ni kutafuta presha zisizo za lazima. Unaweza ambiwa laki kadha kwa kitu cha 90 elfu salama.Sio aende kwa Salama Bearings kariakoo?
Akisogea Kisangani tu atacheka 😁Salama ndo haswa anatakiwa aende , huko kwa authorized toyota dealer ni kutafuta presha zisizo za lazima. Unaweza ambiwa laki kadha kwa kitu cha 90 elfu salama.
Hapo umenena mkuu nashukuruTatizo ni Wheel bearings kuisha. Nenda kwa fundi ila jibu atakalokupa halitakuwa tofauti na hili.
nikienda Toyota maumivu yake sasaSio aende kwa Salama Bearings kariakoo?
hahaha hatari sana hiiAkisogea Kisangani tu atacheka 😁
duuh sawa nitazingatia kitafuta original mkuuNi vizuri kuweka bearings za gharma ili angalau kuokoa pesa na downtimes, hizo beraings 20,000 zitakuwa zinakufa kila mara,
Bearing kuvuma ni moja ya "fail safe" feature za genuine bearings, za kichina hazikupi nafasi ya kuvuma, unastukia tu unalala porini baada ya tairi kuchomoka.
hatari mnoSalama ndo haswa anatakiwa aende , huko kwa authorized toyota dealer ni kutafuta presha zisizo za lazima. Unaweza ambiwa laki kadha kwa kitu cha 90 elfu salama.
wheel bearing imechoka. Badilisha za pande zote mbili; baadaye gari litakuwa linayumba sana utashindwa kulicontrolwakuu gari yangu mguu mmoja wa kilia unavuma sana mpaka nakosa raha ya kusikiliza mziki tatizo itakuwa Nini nijue kabla ya kwenda Kwa fundi maiko