akili akili
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,737
- 1,102
Za China 18,000 , za Japan 50,000 za ISTKuzipata original sasa ndio kitendawili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za China 18,000 , za Japan 50,000 za ISTKuzipata original sasa ndio kitendawili
ahsante baharia wanguPole sana kwa tatizo hilo! Kuna sababu kadhaa zinazoweza kusababisha mguu wa gari kuvuma sana:
Bearings: Inawezekana bearings za gurudumu zimechoka na zinahitaji kubadilishwa.
Brake Pads: Brake pads zilizochakaa zinaweza kusababisha kelele.
Suspension: Vipuri vya suspension kama vile shock absorbers au bushings vinaweza kuwa vimechoka.
Alignment: Alignment mbaya ya
magurudumu inaweza kusababisha kelele na mtikisiko.
Ni vyema kumpeleka gari kwa fundi ili afanye uchunguzi wa kina na kubaini tatizo halisi. Fundi Maiko atakusaidia kutatua tatizo hili kwa usahihi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulichosema ni kweli kiongozi nimebadili za mguu mmoja ila gari inayumba balaa starling inatetemeka aisee Leo naenda kuweka na upande mwingine tenawheel bearing imechoka. Badilisha za pande zote mbili; baadaye gari litakuwa linayumba sana utashindwa kulicontrol
Sasa Mahandow wako hapa anakuja kufanya nini mkuu
Unachukia gari kisa beringi tu mbona ni tatizo dogo tu hilo? na kwanin ulibadiri za mguu mmoja peke yake?Hadi nataka kuichukia gari aisee
Sikujua kuwa itayumba hivi mkuu ila nitabadili na mguu mwingineUnachukia gari kisa beringi tu mbona ni tatizo dogo tu hilo? na kwanin ulibadiri za mguu mmoja peke yake?
ni miguu ya mbele au nyuma?Sikujua kuwa itayumba hivi mkuu ila nitabadili na mguu mwingine
Mbele mkuuni miguu ya mbele au nyuma?
AmeenAll the best