Nafikiri chama kita lipatia ufumbuzi ili swala kupitia vikao vya ndani.
CCM sio kama CDM mgogoro kidongo ndani ya chama wao wanapayuka hadi dunia nzima inajua.
-Siyo siri kwamba wasaka urais wawili wakubwa ndani ya CCM, January Makamba na Edward Lowassa, wamekuwa wakizunguka nchi wakigawa mamillioni ya fedha kwa wananchi ili waungwe mkono katika mbio zao za urais 2015
-Siyo siri kwamba Bw. Makamba Jr. Alikuwa mtumishi wa umma wa kawaida, lakini baada ya muda mfupi, huyu kijana amatokea kuwa na ukwasi mkubwa wa kifedha kiasi kwamba anadhamini vijana, na makundi mengi huku akigawa rushwa za waziwazi. Zanzibar aligawa simu aina za Samsung Galaxy S3 ambazo zinagharimu zaidi ya Tsh 700,000 kwa zaidi ya vijana 200 wa UVCCM. Kwa mahesabu ya juu juu, thamani ya simu 200 ni million 140. Hizi fedha amezitoa wapi January Makamba?
-Naye mzee Lowassa licha ya kwamba jimboni kwake ni masikini wa kutupwa, amekuwa akizunguka nchi nzima akigawa mabillioni makanisani na kwenye misikiti. Hizi fedha naye kazitoa wapi? Hawa watu wanatafuta nini Ikulu? Kwa nini CCM inyamazie tabia za hawa watu? January akumbuke kwamba ubunge wake aliupata kwa hila baada ya babake Mzee Yusuf Makamba kumfanyia hila Mzee. Shelukindo
-Naitahadharisha chama changu CCM kwamba, ikiwa itafanya makosa ya kuwapitisha hawa watu wawili ambao wanazunguka nchi wakigawa rushwa hadharani bila vyombo vya dola kuwahoji, nitafanya maamuzi magumu ya kuongoza uasi ndani ya CCM ili tuwape wananchi njia mbadala ya uongozi, hata kama itamaanisha kuwaunga mkono viongozi safi wa upinzani. Hawa vinara wawili siyo tu wanakiuka miiko na maadili ndani ya CCM, kwa maana kwamba muda wa kampeni bado, kadhalika wanavunja sheria za nchi kwa kugawa rushwa.
-January hajawahi kuchaguliwa kwenye cheo chochote kile hata ubunge, lakini badala ya kufuata njia halali, yeye anaendekeza rushwa huku akimpiga majungu waziri wake pale wizara ya Sayansi na Teknolojia. Natokea jimboni Bumbuli, lakini cha ajabu, Mzee Makamba na Mwanaye wanatangaza jimboni kwamba January Akiwa Rais Tanga itakuwa kama Singapore? Really? Tutafika kweli kwa mwendo huu? Hawa jamaa wanakimbilia ikulu kufata nini?
Una chuk kama mtoto wa kondoo,ona aibu nan kasema anatafta urais?unaujua umri wa JM? Je kufkia hyo 2015 atakuwa amefikisha umri wa miaka 45?acha chuki za kibwabwa mkuu ukiwa GT pambanua mambo kwa kina,,,,,,,,,afu kama wanagawa rushwa ww kama raia mwema mtaka haki na usawa kawariport takukuru basi ulete uzi hapa na kesi uliowafungulia
Kumbe wewe ni kipofu??wivu tu unakusumbua, wapi wametangaza watagombea urais?
Dogo acha bange. Kama mbege na gongo vinakuyumbisha mpaka akili yako inakosa mwelekeo kakojoe uende kulala.
Makamba na Zitto wapi na wapi?? Ni matahira kama wewe tu ndio wenye kulinganisha Makamba na Zitto.
Mtu yeyote makini anayepambanua siasa za nchi hii kwa kina na weledi wa kiwango kinachokubalika, anafahamu kabisa kuwa Makamba na ZZK they are incomparable!!!
Ukijidanganya kulinganisha Makamba na Zitto ni sawa kwamba unalinganisha mwendo wa basikeli ya miti na jumbo jet airline. Sasa kams siyo bange, gongo, mbege na viroba vinavyokusumbua kichwani ni nini????
Lakini vilevile ni misukule na vibaraka wa dj baba freelady na mzee slaa pekee, ndio wanaoona kwamba ZZK mwanademokrasia anayedai demokrasia harisi kuanzia ndani ya chama mpaka nje ya chama kuwa ana uchu wa madaraka!
Dogo acha kuwa mvivu wa kufikili, ZZK ndio jembe la mkulima, mtanzani masikini anayepuuzwa na CCm vilevile ZZK ndio jembe la kumkomboa mtanzania anayeendelea kudanganywa na wahafidhina, mafisadi wa cdm,watafuna ruzuku, wahuni wapenda wake za watu, wasiojali jasho la mlipa kodi na kuamua kurudisha wapenzi wao kutoka ktk vikao na ziara za kamati kwenda Dubai kula maisha na hawara yake!!!!!!
Dogo,Una akili timamu kweli!!!! Bado haya yote huyaoni? Dogo acha kubwabwaja ungea vitu vya maaana ueleweke -----!!!!!!
Agrrrrrrrrrrrrr mbafu.
Mkuu Moscow kwa jinsi ya makundi yalivyo kwa hivi sasa ndani ya CCM, CCM isipomeguka mapande mapande kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015 basi itadumu daima.
Naona mwanza kuna kura nyingi kwa kuwa wawania Urais wengi ndani ya CCM wamekula xmass jijini Mwanza wakiwa na lundo la wafuasi wao.
Mkuu miaka 45 ya nini? Kama hujui miaka siamini kama unajua kwamba hawautaki Urais!!
Ccm hamna ujasiri wa kuwajibishana ,acha longolongo yako.Chadema hawaangalii sura ya mtu.Paka shume wewe,nenda Lumumba kachukue buku 4 sasa.Nafikiri chama kita lipatia ufumbuzi ili swala kupitia vikao vya ndani.
CCM sio kama CDM mgogoro kidongo ndani ya chama wao wanapayuka hadi dunia nzima inajua.
Dogo acha bange. Kama mbege na gongo vinakuyumbisha mpaka akili yako inamkosa mwelekeo kakojoe uende kulala.
Makamba na Zitto wapi na wapi?? Ni matahira kama wewe tu ndio wenye kulinganisha Makamba na Zitto.
Mtu yeyote makini anayepambanua siasa za nchi hii kwa kina na weledi wa kiwango kinachokubalika, anafahamu kabisa kuwa Makamba na ZZK they are incomparable!!!
Ukijidanganya kulinganisha Makamba na Zitto ni sawa kwamba unalinganisha mwendo wa basikeli ya miti na jumbo jet airline. Sasa kams siyo bange, gongo, mbege na viroba vinavyokusumbua kichwani ni nini????
Lakini vilevile ni misukule na vibaraka wa dj baba freelady na mzee slaa pekee, ndio wanaoona kwamba ZZK mwanademokrasia anayedai demokrasia harisi kuanzia ndani ya chama mpaka nje ya chama kuwa ana uchu wa madaraka!
Dogo acha kuwa mvivu wa kufikili, ZZK ndio jembe la mkulima, mtanzani masikini anayepuuzwa na CCm vilevile ZZK ndio jembe la kumkomboa mtanzania anayeendelea kudanganywa na wahafidhina, mafisadi wa cdm,watafuna ruzuku, wahuni wapenda wake za watu, wasiojali jasho la mlipa kodi na kuamua kurudisha wapenzi wao kutoka ktk vikao na ziara za kamati kwenda Dubai kula maisha na hawara yake!!!!!!
Dogo,Una akili timamu kweli!!!! Bado haya yote huyaoni? Dogo acha kubwabwaja ungea vitu vya maaana ueleweke -----!!!!!!
Agrrrrrrrrrrrrr mbafu.[OTE]let me just reserve my comments.....fool