MH LISSU, Dawa ya Ng'ombe mkorofi ni kumshika mapembe yake, kwakua FAM amedai hamna Rushwa /Mkate /Abdul,, Itisha Waandishi wa Habari Ujibu mapigo

MH LISSU, Dawa ya Ng'ombe mkorofi ni kumshika mapembe yake, kwakua FAM amedai hamna Rushwa /Mkate /Abdul,, Itisha Waandishi wa Habari Ujibu mapigo

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
MH LISSU, baadhi ya Waswahili watakuambia, Ukimya nao ni Jibu .

Mimi Mdogo wako nakuambia La Hashaa !! Kwenye kupigania Haki yako, usiache kupiga kelele ,piga kelele mpaka wasikie wale ambao haikupaswa wasikie.

Unakumbuka kisa Cha Kipofu aliposikia vishindo vya watu wakipita, wakipita kelele, akauliza, Kuna nini hapa? Wale watu wakamjibu, YESU wa Nazareth anapita.

Kipofu aliposikia Hilo, akaanza kupiga kelele akiita, Ewe Yesuuu Yesuuuuuu wa Nazareth.....

Walewale watu walimwambia, Acha kupiga kelele, Kaa kimya,,, wengine wakaenda mbali sana na kumvuta nyuma nyuma yule Kipofu.

Lakini kwakua Kipofu alikua kwenye Haki akitafuta uponyaji, alizidi kupaza sautii, ewe Yesuuuuu Yesuuuuuuuuu Yesuuuu.

Sauti ilomfikia YESU, naye YESU akarudi nyuma, hatimaye Kipofu akaponaa!!.


LISSU LISSU LISSU, Kwenye kupigania Unachokiamin, usiache kupiga kelele.

Usithubutu Kuacha Uongo uwe mkubwaaaa, Uongo wa FAM ukiwa mkubwaaa, Wafuasi watauamini, wakishauamin watakuona weee ni Mfitini .


Ndioo, Kama ambavyo LUAGA MPINA hupambana na watesi wake Kwa SHAHIDI ZILIZOJITOSHELEZA,, wewe ni nani ?.

Najaribu kusema kua, Ukikaa Kimya, Habari za Tuhuma ulizozitoa, na Leo FAM kuziita UZUSHI, uongo na kwamba Hazipo, utaonekana kweli wee ni Mkorofi tu ,mbinafsi na mwenye Husda.

Njia Pekee ya kuendelea kuaminika, ni KUJIBU MAPIGO, KUJIBU MAPIGO KUJIBU MAPIGO KWA SABABU UNA AKILI NA UNAJUA NAMNA YA KUJIBU.


kwakua MAPIGO yako yatajikita kwenye Kupiga vita Rushwa na mambo ambayo FAM kayakataa, basi SHAHIDI ZAKO zitapelekea wewe kuendelea kuaminika Chamani na kumvuruga zaidi FAM na Genge lake wakati huo huo CHAMA CHENU KIKIWA IMARA, japo kitapita kidogo kwenye mpito.


MH LISSU, inawezekana kabisa kua FAM kaambiwa akomae, Kwa makubaliano ya mwakan kupewa viti ( COVID-19) . .....maana yake ni nini??..

Ukikaa Kimya utakua Mpotezaji , na Hadi kwenye Uchaguzi unaweza shangaa unapigwa chini hivohivo.

Uchaguzi ni Mmoja tu...KUJIBU MAPIGO KISHA INGIA UCHAGUZINI KIFUA MBELE Ili hata ikitokea UCHAGUZINI ukafanywa Figisu, ni Heri, kuliko kusubiria upigwe chini Kwa Hila Kisha uhame chama, alafu ndio uanze kujibu hizi Maneno za Leo aloongea FAM.


ITISHA WAANDISHI, PIGA KOMBORA, RUDI KWENYE KAMPENI.
 
MH LISSU, baadhi ya Waswahili watakuambia, Ukimya nao ni Jibu .

Mimi Mdogo wako nakuambia La Hashaa !! Kwenye kupigania Haki yako, usiache kupiga kelele ,piga kelele mpaka wasikie wale ambao haikupaswa wasikie.

Unakumbuka kisa Cha Kipofu aliposikia vishindo vya watu wakipita, wakipita kelele, akauliza, Kuna nini hapa? Wale watu wakamjibu, YESU wa Nazareth anapita.

Kipofu aliposikia Hilo, akaanza kupiga kelele akiita, Ewe Yesuuu Yesuuuuuu wa Nazareth.....

Walewale watu walimwambia, Acha kupiga kelele, Kaa kimya,,, wengine wakaenda mbali sana na kumvuta nyuma nyuma yule Kipofu.

Lakini kwakua Kipofu alikua kwenye Haki akitafuta uponyaji, alizidi kupaza sautii, ewe Yesuuuuu Yesuuuuuuuuu Yesuuuu.

Sauti ilomfikia YESU, naye YESU akarudi nyuma, hatimaye Kipofu akaponaa!!.


LISSU LISSU LISSU, Kwenye kupigania Unachokiamin, usiache kupiga kelele.

Usithubutu Kuacha Uongo uwe mkubwaaaa, Uongo wa FAM ukiwa mkubwaaa, Wafuasi watauamini, wakishauamin watakuona weee ni Mfitini .


Ndioo, Kama ambavyo LUAGA MPINA hupambana na watesi wake Kwa SHAHIDI ZILIZOJITOSHELEZA,, wewe ni nani ?.

Najaribu kusema kua, Ukikaa Kimya, Habari za Tuhuma ulizozitoa, na Leo FAM kuziita UZUSHI, uongo na kwamba Hazipo, utaonekana kweli wee ni Mkorofi tu ,mbinafsi na mwenye Husda.

Njia Pekee ya kuendelea kuaminika, ni KUJIBU MAPIGO, KUJIBU MAPIGO KUJIBU MAPIGO KWA SABABU UNA AKILI NA UNAJUA NAMNA YA KUJIBU.


kwakua MAPIGO yako yatajikita kwenye Kupiga vita Rushwa na mambo ambayo FAM kayakataa, basi SHAHIDI ZAKO zitapelekea wewe kuendelea kuaminika Chamani na kumvuruga zaidi FAM na Genge lake wakati huo huo CHAMA CHENU KIKIWA IMARA, japo kitapita kidogo kwenye mpito.


MH LISSU, inawezekana kabisa kua FAM kaambiwa akomae, Kwa makubaliano ya mwakan kupewa viti ( COVID-19) . .....maana yake ni nini??..

Ukikaa Kimya utakua Mpotezaji , na Hadi kwenye Uchaguzi unaweza shangaa unapigwa chini hivohivo.

Uchaguzi ni Mmoja tu...KUJIBU MAPIGO KISHA INGIA UCHAGUZINI KIFUA MBELE Ili hata ikitokea UCHAGUZINI ukafanywa Figisu, ni Heri, kuliko kusubiria upigwe chini Kwa Hila Kisha uhame chama, alafu ndio uanze kujibu hizi Maneno za Leo aloongea FAM.


ITISHA WAANDISHI, PIGA KOMBORA, RUDI KWENYE KAMPENI.
na alivyo na mdomo na makelele,

itakua ameona huu ndio ushauri mzuri wa kiwango cha juu zaidi 2024 kuutekeleza 🐒
 
na alivyo na mdomo na makelele,

itakua ameona huu ndio ushauri mzuri wa kiwango cha juu zaidi 2024 kuutekeleza 🐒
Yes afanye hivyo, huko CCM hakuna mwenye akili robo ya akili ya Tundulisu. Wengi wenye akili wamejitenga na siasa kwa Hila za CCM. Lakini Lissu ndio Mwenye akili aliye siasan.
 
Mjomba Mbowe hongera kwa kutetea kikoba chetu, sasa ntakula christmass kwa amani
 
Yes afanye hivyo, huko CCM hakuna mwenye akili robo ya akili ya Tundulisu. Wengi wenye akili wamejitenga na siasa kwa Hila za CCM. Lakini Lissu ndio Mwenye akili aliye siasan.
Umejikaririsha KIBUBUSA....

Mwenye akili nyingi huwa SI BWABWAJI NA "LOPOLOPO"....
 
MH LISSU, baadhi ya Waswahili watakuambia, Ukimya nao ni Jibu .

Mimi Mdogo wako nakuambia La Hashaa !! Kwenye kupigania Haki yako, usiache kupiga kelele ,piga kelele mpaka wasikie wale ambao haikupaswa wasikie.

Unakumbuka kisa Cha Kipofu aliposikia vishindo vya watu wakipita, wakipita kelele, akauliza, Kuna nini hapa? Wale watu wakamjibu, YESU wa Nazareth anapita.

Kipofu aliposikia Hilo, akaanza kupiga kelele akiita, Ewe Yesuuu Yesuuuuuu wa Nazareth.....

Walewale watu walimwambia, Acha kupiga kelele, Kaa kimya,,, wengine wakaenda mbali sana na kumvuta nyuma nyuma yule Kipofu.

Lakini kwakua Kipofu alikua kwenye Haki akitafuta uponyaji, alizidi kupaza sautii, ewe Yesuuuuu Yesuuuuuuuuu Yesuuuu.

Sauti ilomfikia YESU, naye YESU akarudi nyuma, hatimaye Kipofu akaponaa!!.


LISSU LISSU LISSU, Kwenye kupigania Unachokiamin, usiache kupiga kelele.

Usithubutu Kuacha Uongo uwe mkubwaaaa, Uongo wa FAM ukiwa mkubwaaa, Wafuasi watauamini, wakishauamin watakuona weee ni Mfitini .


Ndioo, Kama ambavyo LUAGA MPINA hupambana na watesi wake Kwa SHAHIDI ZILIZOJITOSHELEZA,, wewe ni nani ?.

Najaribu kusema kua, Ukikaa Kimya, Habari za Tuhuma ulizozitoa, na Leo FAM kuziita UZUSHI, uongo na kwamba Hazipo, utaonekana kweli wee ni Mkorofi tu ,mbinafsi na mwenye Husda.

Njia Pekee ya kuendelea kuaminika, ni KUJIBU MAPIGO, KUJIBU MAPIGO KUJIBU MAPIGO KWA SABABU UNA AKILI NA UNAJUA NAMNA YA KUJIBU.


kwakua MAPIGO yako yatajikita kwenye Kupiga vita Rushwa na mambo ambayo FAM kayakataa, basi SHAHIDI ZAKO zitapelekea wewe kuendelea kuaminika Chamani na kumvuruga zaidi FAM na Genge lake wakati huo huo CHAMA CHENU KIKIWA IMARA, japo kitapita kidogo kwenye mpito.


MH LISSU, inawezekana kabisa kua FAM kaambiwa akomae, Kwa makubaliano ya mwakan kupewa viti ( COVID-19) . .....maana yake ni nini??..

Ukikaa Kimya utakua Mpotezaji , na Hadi kwenye Uchaguzi unaweza shangaa unapigwa chini hivohivo.

Uchaguzi ni Mmoja tu...KUJIBU MAPIGO KISHA INGIA UCHAGUZINI KIFUA MBELE Ili hata ikitokea UCHAGUZINI ukafanywa Figisu, ni Heri, kuliko kusubiria upigwe chini Kwa Hila Kisha uhame chama, alafu ndio uanze kujibu hizi Maneno za Leo aloongea FAM.


ITISHA WAANDISHI, PIGA KOMBORA, RUDI KWENYE KAMPENI.
Wanaharakati uchwara mnamponza Lissu!!
Kama Dr Slaa hakuweza ibomoa CHADEMA hamna mtu ataweza!!
 
Lissu hajawahi kusema ukweli ni mzushi tu!
Kazi ya FAM linapokuja suala la Uenyekiti, haya ndo makombora nlotaka yaanzwe kurushwa kwake
 
Wanaharakati uchwara mnamponza Lissu!!
Kama Dr Slaa hakuweza ibomoa CHADEMA hamna mtu ataweza!!
Soma Hilo bandiko

 
bandiko la kibaraka mropokaji kukabidhiwa mic 🤣

 
Sure aendelee kumlipua mpaka siku ya uchaguzi
Mkuu Pitia hili Kombora, kalitoa Mdau wa Jf
 
Na Huu ndo Ukweli
Mkuu Ukweli haujawah kushindwa !!.

REF, Donald Trump.

Kila alipopigwa mishale, yeye alirudisha Bomu .
Hatimaye kawa Rais wa Marekan ,na aliyeshinda MABUNGE YOTE MAWILI.

Sasa subiria uone Mpela Mpela ambao Dunia inaenda kuupitia.

LISSU ASIRUHUSU KABISA, UONGO WA FAM UWE MKUBWA, WATU WAKISHAUAMIN, ITAKUA NI NGUMU KUUONDOA VICHWANI MWAO.

LISSU AJIBU KWA HOJA NA VISHAHIDI TU.
 
Back
Top Bottom