Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WITO KWA WABUNGE WA BUNGE MAALUMU WAPENDA MABADILIKO YA KATIBA,CCM WAKIPITISHA KURA YA WAZI BASI MMUONDOKE BUNGENI MUWAACHE CCM WAJITENGENEZEE KATIBA YAO YA CHAMA.full stop ni kupotezeana muda kama niya thabiti ya kuwa na katiba mpyaMheshimiwa waziri mkuu, Mizengo Pinda ametangaza kwenye kikao kilichowashirikisha baadh ya wabunge wa ccm kuwa atakayetetea kura ya siri atanyanganywa kadi ya chama! Vigezo na masharti yazingatiwe.
Hali ya kumpoka mtu Uhuru wake
Mheshimiwa waziri mkuu, Mizengo Pinda ametangaza kwenye kikao kilichowashirikisha baadh ya wabunge wa ccm kuwa atakayetetea kura ya siri atanyanganywa kadi ya chama! Vigezo na masharti yazingatiwe.
Hii ina maana kama mbunge ataonekana kupiga kura ya wazi kupinga msimamo wa chama ktk kipengele Chochote cha katiba atashughulikiwa pia!
Kweli tuna safari ndefu ya kufika kwenye demokrasia ya kweli.
hawa ndio walikuwa wanadai eti wana demokrasia na kuwa hakuna haja ya kuogopa hakuna atakayeonewa. sasa leo wananchi wamewaona kwa rangi zao mtu namba wani wa kulaumiwa ni jakaya kikwete kwakuingilia zoezi zima la kutunga huku akiubiri kutoingiza vyama lakini kwenye vikao vya siri na wana ccm wenzake wanapanga mbinu zote za kutetea katiba ki vyama.
Ndiyo maana kaweza kuongoza nchi mpaka hapa alipofika ujanja ni mhimi sana kwenye uongozi jk kathubutu kaweza na sasa anasonga mbele.Wewe unamwamini Kikwete? Kikwete ni ndumilakuwili! Never trust him, that is how he is. Wakati wote huwa haeleweki anasimamia nini, ndiyo maana walio wajanja wanamzungusha kadiri wapendavyo.