jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Finally viongozi wa CCM wameamua kulinda misimamo yao, taasisi zipo kwa sababu ya malengo fulani haiwezekani taasisi ambayo hipo kwa sababu ya kutoa elimu kuhusu uzazi wa mpango, elimu kama hiyo inaendana na vitu kama contraception nakadhilika halafu atokee member ambae kwa imani zake za kidini anapinga mbinu hizo na kutaka wazazi wajiamulie wenyewe. Swali la kujiuliza alienda kujiunga na kundi kufanya nini wakati anaelewa kabisa wapo kwa makusudi ya kuzuia uzazi usio na mpango in the first place na precautions ni njia moja wapo ya kutoa somo.
CCM kama chama cha siasa pia kina misimamo yake haiwezekani wanachama waone misimamo ya chama haifai unajiuliza walijiunga kwa sababu gani kama hawakubali foundation za chama ambacho ni zao la TANU na ASP mpaka leo watake vingine. Watu hawawezi kukurupuka na matatizo yao ya maisha waingie siasa bila ya kuvielewa vyama vya siasa na kutotaka kuheshimu misingi ya chama, na kama CCM wakiendelea kulea wanachama wa design hiyo ujue misuguano na malumbano haitoisha lazima kuwe na discipline within na wanachama kufuata misimamo ya chama navyojua mimi si tu vyama vya siasa bali taasisi zote sheria/kanuni/misimamo lazima zieshimiwe duniaini kote si Tanzania tu.
Wajumbe la bunge la katiba waache akili za kitoto kura ya siri ni akili za mimi nachotaka na kusimamia, wakati wajumbe wanaulamzima wakuwafahamisha wapiga kura wao na wanamakundi wenzao wamechagua nini na si nafsi zao zinataka nini ndio siasa zenyewe ppl have to compromise for the good of many ie political party.
wewe bongo lala kwani katiba ya nchi inaandikwa na vyama?
=============you are a diplomatic fool=============