Mh. Pinda; Mbunge wa CCM atakayetetea kura ya siri atanyang'anywa kadi!

Mh. Pinda; Mbunge wa CCM atakayetetea kura ya siri atanyang'anywa kadi!

Kwahio waandishi wa habari ni wanyarwanda
Sio watanzania wao hawaruhusiwi kuona
Mnachotaka kionekane wazi?

mambo mengine huwa yanazuiwa kwa7bu ya upumbavu wa watu wachache. Tatizo co waandishi wote wanafanya kazi kwa kuzingatia weledi wa kazi yao. Hao wachache ndo wamefanya wazuiwe wote. Ni sahh kabisa kuzuiwa.
 
Mheshimiwa waziri mkuu, Mizengo Pinda ametangaza kwenye kikao kilichowashirikisha baadh ya wabunge wa CCM kuwa atakayetetea kura ya siri atanyanganywa kadi ya chama! Vigezo na masharti yazingatiwe.

Sawa tu Bwana Mizengwe Pinda; kumbuka mtu mzima hatishiwi Nyau; lol! Liwalo na Liwe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Chama cha siasa ni mkusanyiko wa watu wenye nia ya kuongoza taifa (na ambapo wananchi wana matakwa mengi na yanayotofautiana), kwa hivyo vyama vinachaguliwa na wananchi kwa kuelewa misimamo yao na sera zao. Waliopo bungeni wapo pale kwa niaba ya mimi na wewe kupitia chama, inachofanya CCM si kwamba inalinda maslahi ya chama tu bali na wapiga kura wao waliowachagua kwa kukielewa chama.

Kama mpiga kura kwakuwa sikupata kura ya maoni wala kuhojiwa kuhusu katiba, ni vyema chama nilichokipigia kura kilinde kilichonifanya kukipigia kura chaguzi zilizopita na popote maslahi yangu yanapo zungumziwa including kwenye bunge la katiba. Sasa wasitokee wanachama wenye misimamo tofauti ambayo aikuwa kigezo changu cha kumpa kura mwanachama wao hili aende kuniwakilisha, maana kuna vyama vingine vinavyojinada kwa mwendo mwengine ningeweza wapa kura yangu. Kwa maana hiyo kura ya siri ni kunilaghai mpiga kura nataka kujua umechagua nini kwa niaba yangu na kama ni zile sababu zilizonifanya nikipe kura chama chao na mwakilishi wangu. Vilevile chama cha siasa kina haki ya kulazimisha wanachama wake kulinda kanuni na misingi yao inayojinadi nayo kwa wananchi.

Baseless argument!
 
mambo mengine huwa yanazuiwa kwa7bu ya upumbavu wa watu wachache. Tatizo co waandishi wote wanafanya kazi kwa kuzingatia weledi wa kazi yao. Hao wachache ndo wamefanya wazuiwe wote. Ni sahh kabisa kuzuiwa.

Kama ilivyo wapumbavu wachache wanaotaka
Kutulazimisha kura ya wazi.
 
WITO KWA WABUNGE WA BUNGE MAALUMU WAPENDA MABADILIKO YA KATIBA,CCM WAKIPITISHA KURA YA WAZI BASI MMUONDOKE BUNGENI MUWAACHE CCM WAJITENGENEZEE KATIBA YAO YA CHAMA.full stop ni kupotezeana muda kama niya thabiti ya kuwa na katiba mpya

Halafu hizo laki tatu tatu utawalipa wewe!
 
Tunataka kura ya wazi kila mtu atusikie tunafanya nini kwenye bunge la katiba hakuna cha usiri hapa mambo yote wazi.

wewe simiyu yetu ni makalio kabisa,eti uwazi !upi huo mraya?kwenye mikataba hua ni siri tena inasainiwa mahotelin ila ktk hili mnajifanya eti uwaz,nyooo,!tangu lini kura ikawa wazi ikiwa hata katiba inaweka wazi kura ni siri?msifanye watanzania majuha was...en,...g..e nyie.
 
Angeanza utekelezaji kwa kuwanyang'anya kadi Anne Kilango Malechela pamoja na Ester Bulaya ambao waliitetea kura ya siri
 
wewe simiyu yetu ni makalio kabisa,eti uwazi !upi huo mraya?kwenye mikataba hua ni siri tena inasainiwa mahotelin ila ktk hili mnajifanya eti uwaz,nyooo,!tangu lini kura ikawa wazi ikiwa hata katiba inaweka wazi kura ni siri?msifanye watanzania majuha was...en,...g..e nyie.

unafahamu aina ngapi ya mikataba? Ndoa ni siri? Ama ndoa co mkataba? Katiba ni ya public co ya kikundi ama mtu fulani, mambo yawekwe hadharani...
 
Wala si udikteta ni kile nilchowahi kuandika kuhusiana na CDM; inaitwa Party discipline. Wale ambao hawataki kuwa na msimamo wa chama wanaweza kuondoka CCM! Wachukue msimamo wa vingine.. hawawezi kuwa na msimamo wa kivyao!
 
Kwa maneno ya M h. Pinda, sisi tunaikataa serikali mbili tutanyng'anywa URAIA. hahahhahaha Pinda umechelewa sana kaka.
 
Huyu mzee huyuu sijui tulitoka naye wapi
 

Attachments

  • 1394469035265.jpg
    1394469035265.jpg
    16 KB · Views: 93
Tunataka kura ya wazi kila mtu atusikie tunafanya nini kwenye bunge la katiba hakuna cha usiri hapa mambo yote wazi.[/QU
Mbona hatuoni mkienda ch%ni kwa uwazi ili watu tuone.kama hali wezekani hilo ndivyo ilivyo ngum kwa kura ya wazi
 
Tunataka kura ya wazi kila mtu atusikie tunafanya nini kwenye bunge la katiba hakuna cha usiri hapa mambo yote wazi.

Mbona hatuwaoni mkienda ch%n kwa uwazi ili watu tuone kama hilo mna ona ngum ndivyo ilivyo vigum kwa kura yawazi.
 
Huyu waziri ndo yule aliyesema 'tumechoka...wapigwe tu'??? Ha ha haaaaa! Nchi hii sasa hivi tunapoenda tutashikana mashati! Waache watupige halafu waone kama na sisi tutaendelea kuweka mikono nyuma! Waache wafanye kama hii nchi ni ya shangazi zao, na sisi tutaifanya ya bibi zetu! Tutafundishana adabu tuuu!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
CCM rukeni kila aina ya sarakasi,binjukeni sana ila kwa hapo mmechemsha hata mfanyaje,mkilazimisha bungeni, huku uraiani tutakataa kuipitisha katiba ya ccm hiyo. Hata hamjishtukii,mbona hata uraiani huku magamba wenzenu hawawaungi mkono juu ya upuuzi huo?
 
Back
Top Bottom