OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
kwani yeye ni nani ndani ya chama hadi awe na mamlaka ya kunyang'anya watu kadi
anatishia tu !
ndio ujue sasa haina adabu,yani mzee kama Kingunge anaamrisha na kijana Pinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani yeye ni nani ndani ya chama hadi awe na mamlaka ya kunyang'anya watu kadi
anatishia tu !
Hiyo ndiyo demokrasia mliyonayo huko kwenu kutishia kunyanga'nya watu kadi Professor simiyu yetu???Tunataka kura ya wazi kila mtu atusikie tunafanya nini kwenye bunge la katiba hakuna cha usiri hapa mambo yote wazi.
Mungu wangu!! Imefikia hapa!! eti hakuna mawazo huru kwa haya mashetani!! Ukiwa CCM lazima uwe kama mifugo ya viongozi!! Wanaogopa ukweli!! wamekwisha!!Mheshimiwa waziri mkuu, Mizengo Pinda ametangaza kwenye kikao kilichowashirikisha baadh ya wabunge wa ccm kuwa atakayetetea kura ya siri atanyanganywa kadi ya chama! Vigezo na masharti yazingatiwe.
Tunataka kura ya wazi kila mtu atusikie tunafanya nini kwenye bunge la katiba hakuna cha usiri hapa mambo yote wazi.
Mungu wangu!! Imefikia hapa!! eti hakuna mawazo huru kwa haya mashetani!! Ukiwa CCM lazima uwe kama mifugo ya viongozi!! Wanaogopa ukweli!! wamekwisha!!
Tunataka kura ya wazi kila mtu atusikie tunafanya nini kwenye bunge la katiba hakuna cha usiri hapa mambo yote wazi.
WITO KWA WABUNGE WA BUNGE MAALUMU WAPENDA MABADILIKO YA KATIBA,CCM WAKIPITISHA KURA YA WAZI BASI MMUONDOKE BUNGENI MUWAACHE CCM WAJITENGENEZEE KATIBA YAO YA CHAMA.full stop ni kupotezeana muda kama niya thabiti ya kuwa na katiba mpya
Ndiyo maana kaweza kuongoza nchi mpaka hapa alipofika ujanja ni mhimi sana kwenye uongozi jk kathubutu kaweza na sasa anasonga mbele.
Tunataka kura ya wazi kila mtu atusikie tunafanya nini kwenye bunge la katiba hakuna cha usiri hapa mambo yote wazi.
ccm inakufa
Baadhi ya Watanzania mnafurahisha sana.CCM wapo Dodoma kuhakikisha mchakato mzima wa kupata katiba mpya unaharibika kwa masilahi yao!