saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Mh. Rais wetu nchi hii ina ubaguzi mkubwa, kwanini mnawanyanyasa wanaume? Kwa mfano shule ya msingi na sekondari Kaloleni iliyoko Arusha mjini walimu wote zaidi ya 50 ni wanawake, kwanini, walimu wa kiume wako wapi. Jibu ni kwamba wale walimu ni wake wa viongozi pale Arusha, Mkurugenzi hana uwezo, mwenyr uwezo ni waziri, Mchengerwa si waziri sahihi TAMISEMI. Tuletee Ummy Mwalimu, watoto wa kiume wana haki ya kuifanya kazi maeneo ya mjini.
Mama chukulia mfano wa mwanao miaka yote ni kufanya kazi porini ungependa mama? Arusha ni eneo lililooza kwa rushwa mama, wasaidie watu wako
Mama chukulia mfano wa mwanao miaka yote ni kufanya kazi porini ungependa mama? Arusha ni eneo lililooza kwa rushwa mama, wasaidie watu wako