Mh. Zitto kuna ukweli gani katika ripoti hii?

Mh. Zitto kuna ukweli gani katika ripoti hii?

Afadhali ya Zitto amewabana na wanamfanyia mambo ya maendeleo kwao kuliko kuhongwa na kuweka hela mfukoni na kufanya wananch wanazidi kuwa maskini
 
Amini usiamini mafisadi wana timu yao kama ya mpira, na kwamaana hiyo wamegawana majukumu, kwani wakati wa kelele za mh. alikuwa anacheza no 11na probably kwa sasa anacheza beki no 3na4 kazi tena si kushambulia bali ni kudifensi kwa kwenda mbele, na kwahili unachohitaji ni kuwa fuatilia wanasiasa/mafisadi wetu na namna wanavyotoa pasi zao kimajukumu. kwa lengo azimiwa. yaani kanyaga twende wajinga ndiyo waliwao
 
Zitto is corrupt like most of CCM wabungez
Nimeona nichangie tena maana nadhani wachangiaji wanapotosha makusudi kabisa mjadala huu.

I am not corrupt. I have never been corrupt and I will not.

Mali zote nilizonazo nimeorodhesha katika daftari la mali na madeni. Sina nyumba Dar es Salaam kama baadhi yetu wanavyodai hapa. Ninamiliki magari 2 tu mitumba niliyonunua kutokana na kipato changu.

Sina biashara yoyote hapa nchini. Ninamiliki hisa kampuni moja ya publishing ambazo sijawahi kupata gawio toka ianze kazi.
Nina nyumba ndogo ya vyumba viwili kijijini kwangu Mwandiga.

I have never ever been corrupt and I have no quest for properties. Sina tamaa ya mali.

Ninaomba tujadili hoja hii bila kutukanana wala kuzushiana. Nimejibu hoja hii kama mwulizaji alivyotaka katika post yake ya kwanza kabisa.

Wabunge na Halmashauri za wilaya na miji huomba misaada mbalimbali kwa majimbo yao ili kusaidia maendeleo. Sijawahi kushawishiwa hongo na kampuni ya Barrick sio tu kupewa. Nilikuwa muwazi kabisa katika msaada huu na miye ndio niliyomwambia mtafiti huyu kuhusu suala hili. Sidhani kama makampuni yanazuiwa maeneo ya kutoa misaada. Sijui kiwango gani cha misaada Barrick wametoa kwa wilaya ambazo wao wana endesha migodi.

Nafikiria sio sahihi kwa wanasiasa au mawakala wa wanasiasa kutumia hoja hii kunishughulikia kisiasa kwani sina kosa lolote katika jambo hili.

Sijawahi kuwatetea kwa lolote Barrick. Nimeeleza kuwa nimesimamia mabadiliko ya sheria ya madini na usimamizi wake. Michango yangu Bungeni ipo waziwazi katika blogu yangu www.zittokabwe.com na nimesemea jambo la umuhimu wa kodi.
Sasa kulifanya jambo hili kana kwamba nimekula rushwa ni kunipakazia tu bila sababu. Sina maslahi ya kifedha kabisa na suala hili.
 
Tatizo ni lile Ulimwengu Jenerali aliwahi kusema kwa zawadi ya Landlover kiongozi anaweza kutoa feva ya Mabilioni ya Shillingi( Hii sio nukuu ya moja kwa moja)

Kiongozi kujisifu kupewa CSR na kampuni ambayo integrity yake ni hojiwa ni aibu ya mwaka hasa kwa msomi, kijana na mpinzani

Tatizo naona viongozi wengi hawaelewi tafsiri ya conflict of interest katika maisha ya kawaida- uhalisia.

  • Huwezi kumtetea Mhariri wa gazeti ambalo kila mtu anajua lina ajenda ya kukujenga
  • Huwezi kumtetea kiongozi (mfano JK) ambaye chama chako kinapigana kumtoa madarakani kwa hoja kuwa hafai- kama wewe unaona anafaa basi jitoe kwenye chama
  • Huwezi kupokea msaada kutoka kampuni ambalo wewe mwenyewe ulisema publicly kuwa lina gross misconduct; lini ulituambia kampuni hilo limebadilika. Na ninavyojua huo msaada ungekuwa kwa nia nzuri kamera za TV na magazeti vingeletwa na Barrick kuonyesha umma kuwa ZK kabwe sasa anatukubali. Lakini kwa vile ilikuwa ''rushwa'' in disguise ndo maana haikuwa na fan fare za media
 
Tanzania actually owes Barrick millions. In Tanzania, companies pay a “value-added tax” similar to Canada's GST when they buy goods and services and import fuel. As in Canada, the government owes a refund when companies pay more VAT than they collect from their customers. Barrick has no Tanzanian clients so it's entitled as of December 2010 to a total refund of $121 million that Tanzania over-collected over the years and can't afford to repay.

Kipande ichi tu kinaonyesha namna gani wasomi wetu wanavyotuongoza. Tanzania kweli mpaka karne tulizonazo bado ni nchi ya kusumbuliwa na umeme? foleni za magari, uncertain healt care and many others. Haya twendeni.............

This is dangerous. Actually this should be the most imperative matter if there is a credible government in power. The individuals from the GoT who are responsible for signing the contracts should be held responsible for economic sabotage. I am sure the contracts went through the AG chambers also, there was not just one ministry involved. Its time for Tanzanians to Wake Up!
Investigate whose special project is Barrick?
 
Naomba kuuliza kama Barrick walitaka kusaidia shule kwenye jimbo la Zitto watu walitaka Zitto afanye nini? aende kuwaambia msichangie au kujenga kwa sababu wakifanya hivyo itaonekana wanampa rushwa? Kama kuna jambo la kujiuliza zaidi siyo nia ya Zitto bali ni suala la Barrick walifanya hivyo kwa malengo gani?

Nimesoma toka mwanzo na sikuona kwa kweli umuhimu wa kuchangia sana kwa sababu hoja zimechanganywa sana kiasi kwamba kushindwa kuona issue iliyojificha. Hili ni suala la intergrity ya Barrick as a multinational corporation. Tumeandika vya kutosha kuwa Barrick imekuwa ikihusishwa na uvunjaji wa haki za binadamu the world over; kwamba imekuwa ikishijaribu kujiingiza na kuinfluence politics za nchi mbalimbali. Kuanzia Chile hadi Papua New Guinea huko.

Binafsi ningependa zaidi kujua na kuangalia kampuni hii kwani hata nchini tayari imeshahusishwa na mambo mbalimbali ambayo yananuka corruption n.k Mengine ndio hayo ya kuanzia Bulyanhulu, Buzwagi n.k.

Sasa, kama Barrick walitarajia kuwa kwa kufinance mradi katika jimbo la Zitto walikuwa wanataka kuinfluence au walifanikiwa kuinfluence politics za Zitto jibu ambalo Zitto analitoa ni kuwa "HE..LL NO". Kwa maneno mengine hakuna ambalo Barrick wamefanya ambalo limembadilisha Zitto. Sasa swali ambalo watu wanatakiwa kutusaidia ni kutuonesha kuwa Zitto kabadilishwa; kwamba leo hajali tena Barrick wanafanya nini, au hajali kama Barrick inasimamia haki za binadamu na kuwabana kwa sababu kwa kufanya hivyo atawaudhi Barrick. Bado sijaona hilo.

Jambo la pili ambalo nalo ni kuliangalia vizuri ni kuelewa the nature of politics. Siasa ni ushawishi. Sasa hapa ni penye mtego kwani kuna ushawishi wa wazi na wa kisheria (legal lobbying) na ushawishi kinyume cha sheria (illegal lobbying). Unfortunately sana bado hatujawa na sheria ya lobbying na labda kuna sababu hiyo sheria haipo. Kama nakumbuka vizuri - na uzee unanijia kwa kasi - ni Zitto aliwahi kupendekeza kuwa na kitu kama hicho sijui hilo limefikia wapi lakini mojawapo ya changamoto ambazo tunazo sana kwenye siasa zetu ni jinsi gani makampuni makubwa yanatumia nafasi zao kushawishi wabunge.

Hili tunaliona hata kwa makampuni ya ndani. I have seen this with PPF, NSSF, Vodacom, n.k jinsi wanavyofanya kazi na hata kuwekeza kwa mtindo huo huo wa Barrick kwenye majimbo ya wabunge mbalimbali hasa ambao wanaonekana kuwa vinara. Lakini mtego uko pale pale - je NSSF ikitaka kujenga nyumba za makazi madogo kwenye jimbo la Malima kule Mkuranga Malima akatae? Leo hii PPF wakitaka kujenga nyumba kwa kina Regia Mtema je naye akatae kwa sababu itaonekana anashawishiwa?

Well.. siri iko kwenye matokeo.

Kama Watanzania tunajukumu la kupima zaidi matokeo ya mahusiano haya kati ya wanasiasa na wafanyabiashara au makampuni makubwa. Je wanasiasa wetu wanabadilishwa kiasi gani? Je wamebadilika baada ya miradi fulani kufanywa katika majimbo yao? Je hawasimamii tena yale waliyokuwa wanayasimamia? Kwa mfano, mbunge ambaye amekuwa mkali kwa polisi na baada ya miezi kadhaa jeshi la polisi likaenda kujenga vituo kwenye jimbo lake na kuleta usalama je ataacha kuwasimamia Polisi zaidi? Je, mbunge ambaye alikuwa anaipigia kelele wizara ya elimu na miezi michache baadaye shule ikapatiwa vifaa vya ujenzi jimboni kwake anaendelea kuisimamia?

Au tutumie mfano mmoja ambao ni dhahiri sana kwenye wizara ya uchukuzi. Mara kwa mara wabunge wanalalamikia barabara na madaraja kwenye majimbo yao. Je, baada ya kuibana serikali sana kwenye barabara za jimbo na serikali ikaamuka kujenga barabara je mbunge huyo anabadilika na kuacha kuwa mkali kwa sababu yeye kapata barabara jimboni kwake?

Sasa kama jibu ni "ndio" basi ni kweli mbunge huyo amekubali kununuliwa hata kama hakuchukua fedha yeye mwenyewe au kutia hata senti moja mfukoni mwake, kwani kilichonunuliwa ni ukimya wake na kubadilika kwake. Kama mbunge ambaye kwa kupewa ufadhili au kusaidiwa kumemfanya kupoteza mtazamo wake wa awali basi impact ya ushawishi ule iko wazi. Lakini mahali ambapo hakuna sheria ya kusimamia lobbying hii au ya aina mbalimbali ni kwa namna gani tunaweza kusema mtu kafanya makosa?

the way forward:

a. Kutaka wabunge wapitishe sheria ya kusimamia Lobbying industry ili tujue nini na nani anafanya nini na kwanini katika mazingira ya wazi kabisa kwani suala tunaloliona kwenye hoja hii tunaliona pia kwenye madai dhidi ya Rais Kikwete na hata marais wengine kabla ambapo wafanyabiashara wakubwa wananunua "access" kwa kutoa misaada au promises ya misaada.

b. Kutaka suala la transparency liwe wazi zaidi. Katika hili nadhani Zitto yuko ahead of his peers kwa mbali sana. Ni mmoja wa wabunge wachache wanaopigania transparency sana na sijui kwa kiasi gani atafanikiwa kwani a corrupt government is a secretive government.. think about it... Sijui tu ni kwa kiasi gani wabunge wako tayari kuwa na kile kinachoitwa "open government". Upande mwingine.. kuwa na openness zaidi ili kiwe nini? Tukasirike zaidi, tuumie zaidi au vipi? Maana tayari hadi hivi sasa tunajua sana kiasi kwamba imewahi kutolewa hoja ya kuwa na jiwe la panadol kila center square ya mji iliw atu wakisikia maumivu waende kulilamba!! If we know more, we'll hurt more!

Well.. naweza kuandika zaidi lakini I need to get my own panadol rock!
 
@Mwanakijiji, nakubaliana na wewe kabisa Zitto hana kosa & in fact amekuwa very open. Shida hapa kama nilivyosema 'it is the system stupid'

Siku hizi kumekuwa na lobbying ya ajabu kwa wanasiasa wetu. Na inapotekea kwamba hakuna guiding principles basi tunajikuta tuko kwenye hatari ya kuvuruga mambo. Kuna wanasiasa wastaafu i.e mabalozi, kuna watoto wenye good surnames wamekuwa na access na nguvu kubwa kwa watoa maamuzi. Bahati mbaya wewe uko mbali, lakini trips za senior officials toka China kwenda Dodoma wakati wa bunge zilikuwa nyingi. Na kila mara walikuwa wanaonekana wanapeana zawadi na Waziri mkuu wetu Pinda. Sijui walifuata nini? Marekani ukitaja kijua Obama katembelewa na nani unapata habari zote. Hapa tuna usiri mno, na matekeo yake wananchi wanaanza kupoteza imani na wanasiasa.

Hata hivyo mimi sina shida kama kutakuwa na transparency.Mambo yanapokuwa uvunguni ndio mwanya wa rushwa unapatikana. Lakini kama umma unajua nani kaongea nani kuhusu nini (national issues) au nani kampa zawadi gani nani basi hapo kutakuwa na uwajibikaji.

Hata hili la wanasiasa kufanya biashara, nadhani ni vizuri kuwepo na framework itayomfanya mwanasiasa aliye na interest kwenye biashara fulani kufanya kazi zake kwa muongozo unaokubalika kwa jamii. Kwa mfano hapa Zitto kasema ana hisa kwenye printing company. Lakini imekuwa nadra sana kwa wanasiasa wetu wengi kusema waziwazi wana hisa wapi na ukweli ni kwamba wengi wana biashara.
 
Nimeona nichangie tena maana nadhani wachangiaji wanapotosha makusudi kabisa mjadala huu.

I am not corrupt. I have never been corrupt and I will not.

Mali zote nilizonazo nimeorodhesha katika daftari la mali na madeni. Sina nyumba Dar es Salaam kama baadhi yetu wanavyodai hapa. Ninamiliki magari 2 tu mitumba niliyonunua kutokana na kipato changu.

Sina biashara yoyote hapa nchini. Ninamiliki hisa kampuni moja ya publishing ambazo sijawahi kupata gawio toka ianze kazi.
Nina nyumba ndogo ya vyumba viwili kijijini kwangu Mwandiga.

I have never ever been corrupt and I have no quest for properties. Sina tamaa ya mali.

Ninaomba tujadili hoja hii bila kutukanana wala kuzushiana. Nimejibu hoja hii kama mwulizaji alivyotaka katika post yake ya kwanza kabisa.

Wabunge na Halmashauri za wilaya na miji huomba misaada mbalimbali kwa majimbo yao ili kusaidia maendeleo. Sijawahi kushawishiwa hongo na kampuni ya Barrick sio tu kupewa. Nilikuwa muwazi kabisa katika msaada huu na miye ndio niliyomwambia mtafiti huyu kuhusu suala hili. Sidhani kama makampuni yanazuiwa maeneo ya kutoa misaada. Sijui kiwango gani cha misaada Barrick wametoa kwa wilaya ambazo wao wana endesha migodi.

Nafikiria sio sahihi kwa wanasiasa au mawakala wa wanasiasa kutumia hoja hii kunishughulikia kisiasa kwani sina kosa lolote katika jambo hili.

Sijawahi kuwatetea kwa lolote Barrick. Nimeeleza kuwa nimesimamia mabadiliko ya sheria ya madini na usimamizi wake. Michango yangu Bungeni ipo waziwazi katika blogu yangu www.zittokabwe.com na nimesemea jambo la umuhimu wa kodi.

Sasa kulifanya jambo hili kana kwamba nimekula rushwa ni kunipakazia tu bila sababu. Sina maslahi ya kifedha kabisa na suala hili.
Zbe patient my braza! Kwanza binafsi nashukuru kuona unapojitokeza kujibu hoja..

Ishu ni kwamba kuna kila dalili ya chembe za uzalendo kupungua pengine zikaja toweka hapo mbeleni katika harakati zako, na ndo'zinatia shaka kwa baadhi yetu.

Tanzania ya sasa ni ya maumivu makali, jambo ambalo asilimia kubwa ya viongozi wengi wetu bado wanapingana nalo, ambayo hii inatokana na kuathiriwa na mazingira ya upande wa pili wa shilingi wakisahau upande wa kwanza waliotokea. Sikati ya kua kwenye siasa kunakupanda na kushuka ila mara nyingi hili linategemea na muhusika. (mwanasiasa)..

Jitahidi kurudisha imani kwetu si wanyonge kama ambavyo chama chako kinavyo jitahidi ku2imanisha ya kuwa ndo'chama cha sauti ya utetezi wa wanyonge!
 
Nimeona nichangie tena maana nadhani wachangiaji wanapotosha makusudi kabisa mjadala huu.

I am not corrupt. I have never been corrupt and I will not.

Mali zote nilizonazo nimeorodhesha katika daftari la mali na madeni. Sina nyumba Dar es Salaam kama baadhi yetu wanavyodai hapa. Ninamiliki magari 2 tu mitumba niliyonunua kutokana na kipato changu.

Sina biashara yoyote hapa nchini. Ninamiliki hisa kampuni moja ya publishing ambazo sijawahi kupata gawio toka ianze kazi.
Nina nyumba ndogo ya vyumba viwili kijijini kwangu Mwandiga.

I have never ever been corrupt and I have no quest for properties. Sina tamaa ya mali.

Ninaomba tujadili hoja hii bila kutukanana wala kuzushiana. Nimejibu hoja hii kama mwulizaji alivyotaka katika post yake ya kwanza kabisa.

Wabunge na Halmashauri za wilaya na miji huomba misaada mbalimbali kwa majimbo yao ili kusaidia maendeleo. Sijawahi kushawishiwa hongo na kampuni ya Barrick sio tu kupewa. Nilikuwa muwazi kabisa katika msaada huu na miye ndio niliyomwambia mtafiti huyu kuhusu suala hili. Sidhani kama makampuni yanazuiwa maeneo ya kutoa misaada. Sijui kiwango gani cha misaada Barrick wametoa kwa wilaya ambazo wao wana endesha migodi.

Nafikiria sio sahihi kwa wanasiasa au mawakala wa wanasiasa kutumia hoja hii kunishughulikia kisiasa kwani sina kosa lolote katika jambo hili.

Sijawahi kuwatetea kwa lolote Barrick. Nimeeleza kuwa nimesimamia mabadiliko ya sheria ya madini na usimamizi wake. Michango yangu Bungeni ipo waziwazi katika blogu yangu www.zittokabwe.com na nimesemea jambo la umuhimu wa kodi.

Sasa kulifanya jambo hili kana kwamba nimekula rushwa ni kunipakazia tu bila sababu. Sina maslahi ya kifedha kabisa na suala hili.
Ziito hiyo proposal ya kwanini ulituma kwenye mgodi sio NSSF, CRDB , VICFISH DANIDA,

Kuwa corrupt sio lazima ufaidike kifedha. Integrity yako inakuwa compromised. Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani kwa hali ya Kigoma ilivyo lakini unatakiwa ku-deal na msaaada wa Barrick ni tofauti unavyotakiwa ku-deal na msaada wa DANIDA au CRDB

I mean kuna upande ambao umeamua kukomaa nao sasa huo upande ukikuletea msaada ukachukulia kama vile ni msaada wa DANIDA au CRDB u re wrong .........

Naomba kuuliza kama Barrick walitaka kusaidia shule kwenye jimbo la Zitto watu walitaka Zitto afanye nini? aende kuwaambia msichangie au kujenga kwa sababu wakifanya hivyo itaonekana wanampa rushwa? Kama kuna jambo la kujiuliza zaidi siyo nia ya Zitto bali ni suala la Barrick walifanya hivyo kwa malengo gani? ........
Mwanakijiji,

Sioni tatizo kubwa la ziito zaidi ya ziito somehow kuwa compromised. Sisemi akatae msaada wa GGM au BArrick lakini anatakiwa kudeal na misada hiyo tofauti. Na ni kweli Ziito anawazdi wabunge wengi tu kwa perfoemance lakini bado hiyo isitufanye tusiwakosoe hawa aviongozi wetu wajao.....

Sasa swali linakuja kwenye proposal. Je kwa nini hakundika proposal hiyo kwa NSSF, CRDB VICFISH?????
Kama Barric kwenye program yao wangekuwa na program ya kutoa msaada wenye jimbo la ziito bila Zitto kundika proposal basi hiyo ingekuwa issue nyingine. lakini sasa ziito anaandika proposal. Zitto angefanya vizuri kama angetumia ofisi ya mkuu wa wilaya au mkoa wao ndio wa-deal na msaada wa Barrick kwa ajili ya shule ya jimboni kwake ili kuondoa mgongano wa maslahi.

Kitu kingine ni kwamba wabunge wetu wanataka kuwa watendaji. Siku za mbeleni tutaona majukumu ambayo mkuu wa wilaya au mkoa akiulizwa atasema jibu analo mbunge wenu. Au mradi na mamtatizo muulizeni mbunge. Si na wenyewe wana CDF.......
 
Sorry I didn't finish reading the whole thing but let me stop and respond real quick. Most of us in this forum are intellectual and we are familiar with our country very much. The main reason why I want to respond here is this, only the few today are still ignorance of these facts and Zitto or kikwete they only fool them. These noises from parliament about Zitto doing this or doing that, who's real buying these craps? Do kikwete or Rostam use the same tricks? I don't want to lift Zitto like he has reached somewhere to the pinnacle of politics and people believe the craps he is painting to Tanzanians. Zitto thinks he is ahead of the game of corruption but no so fast, Lowasa, Idd Simba, Ridhiwan, Chenge did those tricks and we caught them.

Propaganda and personal gains never appeal to regular people and Tanzanians we have seen all.

'Keep in mind guys if someone commit a crime to our people and ccm loose them in our streets, we'll find and make sure justice is fulfilled'

As Mr. Kabwe is part of the next generation of leadership in this country, I hope the message he sends out to the youth out there who adore this man will be one of saying NO to corruption. It all boils down to intent in the individual, what is the intent behind the act? The youths of this country look up to this man and I believe he will not let them down! Because Tanzania has given the world sons like Mwalimu Nyerere, Mr. Maira, sons who held her head high in the world, then now more than ever, when she needs a son to rescue her from drowning in the sea of corruption and help her hold her head high again, her son cannot let her down.
After Mwalimu, this beautiful country has been drowning in a sea of corruption. I am inclined to believe there might be some truth to the Kikwete tidbit because if one is familiar with the "happenings" in Dar's so called biz. circles, one hears of certain individuals and their friends who continually seem to benefit from their "closeness" to the highest offices in the GOT.
(Even to the fact of having a so called fictional legal case be a cash generating machine after the decision of the highest court of land, the COA, stating to the Government to obey the Rule of Law.)
Having said that, I think these contract signing matters in hotel rooms need to be more transparent. Reminds me of what I read happened in the Valambhia case: Mr. Valambhia's legal entitlement was sitting on top of the desk of every gvt. minister in Tanzania, still through the back door when the case was subjudiced, an "instrument" was constructed by some individuals in AG chambers and signed by the then MOF, and money was released to Mr. Valambhia's partner, the one who had lost the case and the money. This act is called criminal, its called stealing!
Corruption cannot be a way of life! Its pure Evil!
Also, Tanzania is a country rich in natural resources, she can feed, clothe, educate her children, but not when there are Vultures out there who hover above her and continue to steal from her. Tanzania is still a developing nation, the process of how contracts are signed can be debated, so that reforms can take place. There should be zero tolerance for corruption! Its about time to think about the interests of ALL people of Tanzania and not just about the self interest of few people when signing on the dotted line. In Mwalimu's words "If real development is to take place, the people have to be involved".

I hope and pray that the next generation be taught to say NO to corruption! For the cost of corruption is colossal! Its the impotence of the poor. Its the destruction of hopes, dreams, of the strangling of Justice! I hope the youth of this country do not let the father of this nation down!


"We spoke and acted as if, given the opportunity for self-government, we would quickly create utopias. Instead injustice, even tyranny, is rampant."
Julius Kambarage Nyerere, as quoted in David Lamb's The Africans, New York 1985.
 
I don't know why is so difficult to distinguish between good leadership and corruption tactics. Wengi waliochangia kwenye hii thread wameelewa matatizo mengi katika hizi system za gov ya Tanzania na tunajua wazi haya yote yanakaribishwa na kuwepo kwa kikwete na ccm Tanzania. Mimi binafsi sioni kuna ukweli wowote it's just happen hao Barrick waamue kwenda Kigoma na kutoa misaada katika shule bila communication yeyote na zitto. Hiyo sikubaliani na najua people are trying to paint a picture like zitto has nothing to do with this.

Tanzania ni nchi ndogo sana na vitu vingi katika serikali, bunge na mahakama ndivyo vinavyoendeshwa, deals and tactics za uongo. At the same time Mwanakijiji unaelezea tactical answers na kujaribu kuchukua angle ya kusema zitto alikuwa blackmail politically na Barrick huu ni kupotosha ukweli wa hali ya juu. Why Barrick wa-invest kumwaribia au kwenda Kigoma the only schools in whole Tanzania? The facts ni hizi, Barrick wanajua moja kwa moja mbunge yupi ni corrupt (yupo upande wa ccm) na yupi sio, Zitto alihusika katika kuandika mining bill na hii ilikuwa ni mipango ya ccm kumrushia Zitto mfupa na yeye anavyopenda utajiri na sifa hakuweza kukataa. Zitto did this for himself and not the party nor the country, let's be clear .... results za mining bill tumeziona? Kama hiyo bill ya mininng ingekuwa crafted kwa manufaa ya Taifa na ku-raise enough funds, shule ngapi zingejengwa? Walimu wangapi wangelipwa mishahara mizuri? Mzee, how much is gold in global market today? I have to get out this because I started having headache ... This isn't how gov or competitive market is built.

We can say what we want about Zitto behavior here but the truth is Zitto got caught by the justice of the people. Why when all these happened, Zitto remained num? Binafsi na wengi tunajua majibu ya Zitto na sisubiri explanation yeyote wala feedback yake, I am moving on and keep the pressure on to people like these....

Mwanakijiiji umezungumzia issues nyingi sana kuhusu transparency na hakuna asiefahamu hizi issues na umuhimu wake. lobbying bill na taratibu nyingine nyingi za kuleta openness katika serikali yetu tumezileta kwenye hii forum so many times na serikali ya kikwete wanapeleka wafanyakazi kila leo nje nchi ili wafundishwe jinsi gani ya kujenga democracy na institutions zetu lakini matokeo yake ni yale yale ... kikwete na ccm hawataki haya na wanataka hii system iliopo iendelee na hasa hii katiba iendelee kutumika ili kikwete, mkapa, rostam, change waendelee kuiba na kuburuza watanzania. Hili swala sio Zitto peke yake alipeleka bungeni au analipigania ni sio sahii kabisa Marehemu Sokoine, Dr Slaa, Mbowe, Mnyika, Lema, Pinda na hata Mrema kwa akili zake alishazungumzia umuhimu wa transparency serikalini. Wrong kumweka Zitto as only fighter in bunge.

Kitu kingine cha kutaka kufaninisha maswala ya kuchangia huduma na responsibilities za gov kutoa huduma katika sehemu mbalimbali za nchi yetu na ili swala la Barrick na makampuni kum-corrupt Zitto ni hatari sana. Sikuelewa malengo ya kuongea sana juu ya huduma au miradi mbalimbali kuwekezwa katika majimbo ya wabunge ni kama mojo wapo ya skim fulani, I think this too much comparison and dangerous somehow. We need these laws to protect the integrity of MP's, elections and most of all democracy, the only answer ni katiba thats it.

Naomba kuuliza kama Barrick walitaka kusaidia shule kwenye jimbo la Zitto watu walitaka Zitto afanye nini? aende kuwaambia msichangie au kujenga kwa sababu wakifanya hivyo itaonekana wanampa rushwa? Kama kuna jambo la kujiuliza zaidi siyo nia ya Zitto bali ni suala la Barrick walifanya hivyo kwa malengo gani?

Nimesoma toka mwanzo na sikuona kwa kweli umuhimu wa kuchangia sana kwa sababu hoja zimechanganywa sana kiasi kwamba kushindwa kuona issue iliyojificha. Hili ni suala la intergrity ya Barrick as a multinational corporation. Tumeandika vya kutosha kuwa Barrick imekuwa ikihusishwa na uvunjaji wa haki za binadamu the world over; kwamba imekuwa ikishijaribu kujiingiza na kuinfluence politics za nchi mbalimbali. Kuanzia Chile hadi Papua New Guinea huko.

Binafsi ningependa zaidi kujua na kuangalia kampuni hii kwani hata nchini tayari imeshahusishwa na mambo mbalimbali ambayo yananuka corruption n.k Mengine ndio hayo ya kuanzia Bulyanhulu, Buzwagi n.k.

Sasa, kama Barrick walitarajia kuwa kwa kufinance mradi katika jimbo la Zitto walikuwa wanataka kuinfluence au walifanikiwa kuinfluence politics za Zitto jibu ambalo Zitto analitoa ni kuwa "HE..LL NO". Kwa maneno mengine hakuna ambalo Barrick wamefanya ambalo limembadilisha Zitto. Sasa swali ambalo watu wanatakiwa kutusaidia ni kutuonesha kuwa Zitto kabadilishwa; kwamba leo hajali tena Barrick wanafanya nini, au hajali kama Barrick inasimamia haki za binadamu na kuwabana kwa sababu kwa kufanya hivyo atawaudhi Barrick. Bado sijaona hilo.

Jambo la pili ambalo nalo ni kuliangalia vizuri ni kuelewa the nature of politics. Siasa ni ushawishi. Sasa hapa ni penye mtego kwani kuna ushawishi wa wazi na wa kisheria (legal lobbying) na ushawishi kinyume cha sheria (illegal lobbying). Unfortunately sana bado hatujawa na sheria ya lobbying na labda kuna sababu hiyo sheria haipo. Kama nakumbuka vizuri - na uzee unanijia kwa kasi - ni Zitto aliwahi kupendekeza kuwa na kitu kama hicho sijui hilo limefikia wapi lakini mojawapo ya changamoto ambazo tunazo sana kwenye siasa zetu ni jinsi gani makampuni makubwa yanatumia nafasi zao kushawishi wabunge.

Hili tunaliona hata kwa makampuni ya ndani. I have seen this with PPF, NSSF, Vodacom, n.k jinsi wanavyofanya kazi na hata kuwekeza kwa mtindo huo huo wa Barrick kwenye majimbo ya wabunge mbalimbali hasa ambao wanaonekana kuwa vinara. Lakini mtego uko pale pale - je NSSF ikitaka kujenga nyumba za makazi madogo kwenye jimbo la Malima kule Mkuranga Malima akatae? Leo hii PPF wakitaka kujenga nyumba kwa kina Regia Mtema je naye akatae kwa sababu itaonekana anashawishiwa?

Well.. siri iko kwenye matokeo.

Kama Watanzania tunajukumu la kupima zaidi matokeo ya mahusiano haya kati ya wanasiasa na wafanyabiashara au makampuni makubwa. Je wanasiasa wetu wanabadilishwa kiasi gani? Je wamebadilika baada ya miradi fulani kufanywa katika majimbo yao? Je hawasimamii tena yale waliyokuwa wanayasimamia? Kwa mfano, mbunge ambaye amekuwa mkali kwa polisi na baada ya miezi kadhaa jeshi la polisi likaenda kujenga vituo kwenye jimbo lake na kuleta usalama je ataacha kuwasimamia Polisi zaidi? Je, mbunge ambaye alikuwa anaipigia kelele wizara ya elimu na miezi michache baadaye shule ikapatiwa vifaa vya ujenzi jimboni kwake anaendelea kuisimamia?

Au tutumie mfano mmoja ambao ni dhahiri sana kwenye wizara ya uchukuzi. Mara kwa mara wabunge wanalalamikia barabara na madaraja kwenye majimbo yao. Je, baada ya kuibana serikali sana kwenye barabara za jimbo na serikali ikaamuka kujenga barabara je mbunge huyo anabadilika na kuacha kuwa mkali kwa sababu yeye kapata barabara jimboni kwake?

Sasa kama jibu ni "ndio" basi ni kweli mbunge huyo amekubali kununuliwa hata kama hakuchukua fedha yeye mwenyewe au kutia hata senti moja mfukoni mwake, kwani kilichonunuliwa ni ukimya wake na kubadilika kwake. Kama mbunge ambaye kwa kupewa ufadhili au kusaidiwa kumemfanya kupoteza mtazamo wake wa awali basi impact ya ushawishi ule iko wazi. Lakini mahali ambapo hakuna sheria ya kusimamia lobbying hii au ya aina mbalimbali ni kwa namna gani tunaweza kusema mtu kafanya makosa?

the way forward:

a. Kutaka wabunge wapitishe sheria ya kusimamia Lobbying industry ili tujue nini na nani anafanya nini na kwanini katika mazingira ya wazi kabisa kwani suala tunaloliona kwenye hoja hii tunaliona pia kwenye madai dhidi ya Rais Kikwete na hata marais wengine kabla ambapo wafanyabiashara wakubwa wananunua "access" kwa kutoa misaada au promises ya misaada.

b. Kutaka suala la transparency liwe wazi zaidi. Katika hili nadhani Zitto yuko ahead of his peers kwa mbali sana. Ni mmoja wa wabunge wachache wanaopigania transparency sana na sijui kwa kiasi gani atafanikiwa kwani a corrupt government is a secretive government.. think about it... Sijui tu ni kwa kiasi gani wabunge wako tayari kuwa na kile kinachoitwa "open government". Upande mwingine.. kuwa na openness zaidi ili kiwe nini? Tukasirike zaidi, tuumie zaidi au vipi? Maana tayari hadi hivi sasa tunajua sana kiasi kwamba imewahi kutolewa hoja ya kuwa na jiwe la panadol kila center square ya mji iliw atu wakisikia maumivu waende kulilamba!! If we know more, we'll hurt more!

Well.. naweza kuandika zaidi lakini I need to get my own panadol rock!
 
Nimeona nichangie tena maana nadhani wachangiaji wanapotosha makusudi kabisa mjadala huu.

I am not corrupt. I have never been corrupt and I will not.

Mali zote nilizonazo nimeorodhesha katika daftari la mali na madeni. Sina nyumba Dar es Salaam kama baadhi yetu wanavyodai hapa. Ninamiliki magari 2 tu mitumba niliyonunua kutokana na kipato changu.

Sina biashara yoyote hapa nchini. Ninamiliki hisa kampuni moja ya publishing ambazo sijawahi kupata gawio toka ianze kazi.
Nina nyumba ndogo ya vyumba viwili kijijini kwangu Mwandiga.

I have never ever been corrupt and I have no quest for properties. Sina tamaa ya mali.

Ninaomba tujadili hoja hii bila kutukanana wala kuzushiana. Nimejibu hoja hii kama mwulizaji alivyotaka katika post yake ya kwanza kabisa.

Wabunge na Halmashauri za wilaya na miji huomba misaada mbalimbali kwa majimbo yao ili kusaidia maendeleo. Sijawahi kushawishiwa hongo na kampuni ya Barrick sio tu kupewa. Nilikuwa muwazi kabisa katika msaada huu na miye ndio niliyomwambia mtafiti huyu kuhusu suala hili. Sidhani kama makampuni yanazuiwa maeneo ya kutoa misaada. Sijui kiwango gani cha misaada Barrick wametoa kwa wilaya ambazo wao wana endesha migodi.

Nafikiria sio sahihi kwa wanasiasa au mawakala wa wanasiasa kutumia hoja hii kunishughulikia kisiasa kwani sina kosa lolote katika jambo hili.

Sijawahi kuwatetea kwa lolote Barrick. Nimeeleza kuwa nimesimamia mabadiliko ya sheria ya madini na usimamizi wake. Michango yangu Bungeni ipo waziwazi katika blogu yangu www.zittokabwe.com na nimesemea jambo la umuhimu wa kodi.
Sasa kulifanya jambo hili kana kwamba nimekula rushwa ni kunipakazia tu bila sababu. Sina maslahi ya kifedha kabisa na suala hili.
Mheshimiwa,
Ukiangalia Public Leadership Code o Ethics Act, 1995.....ambayo inakuhusisha wewe kutokana na Part 1,section4(xi), (xxii), na (xxiv), utaona kwanmba kuna hitilafu kidogo.
Sana sana siyo tu wewe kama mbunge wa kigoma kaskazini,au mjumbe wa LGA inayohusika,bali haswa wewe kama mjumbe wa kamati ya Bomani.
PART2:Basic Elements of Code of Ethics,
"6(a) In relation to ethical Standards,that public leaders shall while in office, act with honesty, compassion,sobriety, continence and temperance, and uphold the highest possible ethical standards so that public confidence and trust in the integrity,ojectivity and impartiality of Government are conserved and enhanced"

Kwa hiyo mkuu hapo kwenye red, kigoma,Tabora and Dodoma has the lowest primary school net enrollement rate...TABORA 68.2%, Kigoma 77.2% and dodoma 76.3%.
Ukiangalia number of schools,teaching staff,student;teacher ratio, Kigoma in 2009 had 360,551 students enrolled with 6153 teachers and the ratio was 59.
While TABORA had the ratio of 67, Shinyanga 71 and interestingly enough Mara had 61 students per teacher.
Honestly, the contribution made by Barrick to your constituency was not really based on the need on part of Tanzanians, but on the need on part of Barrick Gold because your constituency was not the worst compared to the nearby constituencies.
All these data are from the ministry of education, so they should've known that!

Which brings us to section 6(b) of "Public Leadership Code of Ethics Act, 1995"
6.(b)"To peform their official duties and arrange their private affairs in a manner that would bear the closest public scrutiny,an obligation that is not fully discharged by simply acting lawfully."

During or after perfoming your official duty as a member of Bomani's committee/commission, your constituency received a donation from a gold-mining company.That's not illegeal but unethical since there's a correlation between your membership in the committee and the donation to your constituency regardless of the need. This my brother brings the conflict of interests, and we (the public) don't know what went on behind the curtains.....something went on,but the public was denied the closest scrutiny as stipulated on the act above.

Which brings,
2.12. "A public leader shall be considered to have breached the code if he knowingly acquired any significant pecuniary advantage or assists in the acquistion of any pecuniary advantage by another person by,
(e)Solicitng or accepting transfers of economic benefit other than,
(i) Benefits of nominal value including customary hospitality and traditional token gifts.
(ii) Gifts from family members or public leaders from elsewhere or,
(iii) transfers pursuant to an enforceable property right of the public leader or pursuant to a contact for which full value is given."

S
Uspiciously, the donation doesn't qualfy,based on th above criteria, since a Local Government authority is a corporate body and can be sued.That means there are so many signs (circumstancial) that you assisted a corporate body to get money from another corporate body,knowingly or unknowingly.....ethically it doesn't matter!!
Section 67(i)and(ii),of the Constitutiion,that also explains the consquences of such unethical behaviour.
 
@niweze

I am commenting on the void of credible leaders, if there is a leader whom the youth of this nation look up to and he lets them down, than which direction are we as a whole humanity heading towards. The problem of corruption is all over the world, its the issue of today. However, in order to move forward in this world, this vice has to be terminated from the roots, not just cut a few branches off. I am more concerned about the young generation, if they have no one with integrity to look up to, then what becomes of us as a whole humanity. What was independence for? What does it say about the world in which we live in now, that to have the latest version of smartphone in your hand makes you more cool than an education? What does this say about morals, values, ethics?

( Chenge did those tricks and we caught them. )

well the above mentioned individual has done alot of tricks & continues to do so. He is roaming free as a Vulture in the streets of Dar. As a protector of the law of this nation, he and his other prominent lawyer friend, together, they have done not a thing to obey the rule of law, instead they have just accumulated wealth to a copious amount that even a million dollars seems like peanuts to the frmer AG. As far as the concept of JUSTICE goes, the guy is rumored to be still involved in denying JUSTICE in a special project which he is still considered to be part off.

As far as corruption in Tanzania goes, its not today's issue, apparently, when a certain case was going on at the local high court, and two individuals were screaming at the top of their lungs how money was being stolen, still their screams fell to deaf years, and today they are both silenced forever. Now, there is a different generation emerging and still facing the same parasite of corruption. I was just saying that it would be a total void if there is not one young leader from the crop of next gen. leaders to atleast have some integrity&character, because in order to move forward the young need to believe in hope. Not false hope.
Hope I made sense.
 
Naomba kuuliza kama Barrick walitaka kusaidia shule kwenye jimbo la Zitto watu walitaka Zitto afanye nini? aende kuwaambia msichangie au kujenga kwa sababu wakifanya hivyo itaonekana wanampa rushwa? Kama kuna jambo la kujiuliza zaidi siyo nia ya Zitto bali ni suala la Barrick walifanya hivyo kwa malengo gani?

Nimesoma toka mwanzo na sikuona kwa kweli umuhimu wa kuchangia sana kwa sababu hoja zimechanganywa sana kiasi kwamba kushindwa kuona issue iliyojificha. Hili ni suala la intergrity ya Barrick as a multinational corporation. Tumeandika vya kutosha kuwa Barrick imekuwa ikihusishwa na uvunjaji wa haki za binadamu the world over; kwamba imekuwa ikishijaribu kujiingiza na kuinfluence politics za nchi mbalimbali. Kuanzia Chile hadi Papua New Guinea huko.

Binafsi ningependa zaidi kujua na kuangalia kampuni hii kwani hata nchini tayari imeshahusishwa na mambo mbalimbali ambayo yananuka corruption n.k Mengine ndio hayo ya kuanzia Bulyanhulu, Buzwagi n.k.

Sasa, kama Barrick walitarajia kuwa kwa kufinance mradi katika jimbo la Zitto walikuwa wanataka kuinfluence au walifanikiwa kuinfluence politics za Zitto jibu ambalo Zitto analitoa ni kuwa "HE..LL NO". Kwa maneno mengine hakuna ambalo Barrick wamefanya ambalo limembadilisha Zitto.
IOfcourse angekataa!!....yeye kama mjumbe wa kamati ya bomani,hilo jambo linaleta utata, angekataa msaada na kuwaambiawauelekeze kwenye wilayanyingine.ninajua wilaya zilizo nyumaq kielimu zaidi ya Kigoma...ama wakiktaa basi. Tusichukue misaada kwa kuwa ni misaada, hawa jamaa hawatujali hata kidogo..msidanganyike...matter of fact they hate us!!
 
Mhh kma amepokea mabati ya $ 10,000 basi lzm atakua kwenye payroll ya hawa wezi pia,atakua anapewa behind close door! Kwakweli if u cnt bit them join them
 
Hii habari ni ya kweli kabisa. Huyo mwandishi (mtafiti) alinihoji na mie ndio niliweka wazi kuwa Barrick mwaka 2008 walinunua mabati kwa ajili ya shule ya Sekondari Mkabogo katika Jimbo la Kigoma Kaskazini. Sikuwahi kushika mkononi pesa hizo wala kushiriki kuamua zitumike namna gani. Niliamua hivyo kwa uwazi kabisa na ndio maana sikuwahi kuficha suala hilo na hata kuliweka wazi kwa mwanafunzi huyu ambaye alinihoji mwaka 2010.

Sijawahi kuwa kimya kabisa katika suala la sekta ya madini. Nilisimamia kuandikwa kwa sheria mpya na kuhakikisha inakuwa na maslahi kwa Watanzania. Nimekuwa mkali kutaka kampuni za madini kulipa mrahaba wa madini wa sasa kwa mujibu wa sheria mpya. Ukitembelea blog yangu utakuta hotuba zangu Bungeni zenye misimamo yangu ya wazi kabisa kuhusu sekta ya madini.

Nakaribisha mtu yeyote aende Jimboni kwangu, kijiji cha Mkabogo akafanya uchunguzi kuhusu msaada ule. Nipo tayari pia Halmashauri ya Wilaya waweke wazi account iliyopokea pesa hizo na kuweka matumizi yao wazi.

Mimi binafsi sijawahi kupokea msaada wowote binafsi kutoka kampuni ya Barrick. Siku zote nimekuwa na misimamo isiyoyumba kuhusu sekta ya madini na nimekuwa nikiwa engage sana Barrick ili Tanzania ifaidike na madini yake.

Hata hivi sasa ukienda kwenye blog yangu zittokabwe.com utakuta nimewasema Barrick kwa kutolipa kodi ya mapato. Niliwasema katika interview na huyo kijana kutoka Canada kuhusu jambo hilo na niliwasema katika mijadala ya vyuo vya elimu ya juu kuhusu madini.

Ninaamini makampuni yana jukumu la kusaidia jamii. Kwamba Barrick walisaidia ujenzi wa shule ya Sekondari Jimboni kwangu, Jimbo ambalo lipo nyuma sana kimaendeleo ni jambo la kushukuru na sioni tatizo lolote la kimaadili.
Kijana mwenzangu Zitto, tatizo siyo wewe kushika hizo fedha ama kutozishika. La hasha, tatizo limejikita kwenye uhalali/legitimacy wa msaada huo wa Barrick kuvuka mipaka ya Wilaya kadhaa/majimbo kadhaa toka maeneo Barrick wanapoendesha shughuli zao kwenda huko jimboni kwako. Hapa inaonekana, kama makala yalivyosema pale juu kwamba, ilibidi yajengwe mazingira fulani ya wewe kuridhika ili ukae kimya wakati wa kujadiliwa Mswaada wa Sheria ya Madini iliyokuwa imewekwa mezani wakati huo. Na kweli baaada ya jimbo lako kupata huo msaada wa ujenzi wa shule, nawe ulikaa kimya kama wao Barrick walivyotegemea.

Bila shaka kama ambavyo huwa najitokeza kukukosoa unapojikwaa ama kukusifia unapoonyesha misimamo yako yenye kuonyesha umakini hasa pale kwenye mtandao wa fecebook, sita acha kusema hapa pia. Kijana mwenzangu kama ulivyokiri kwamba makala haya ni ya kweli, hakika unatakiwa kutuomba radhi wananchi wa Tanzania kwani kitendo hicho kilikuwa ni kama rushwa vile japokuwa si ya wewe kupokea fedha mkononi moja kwa moja. Mathalani, wao Barrick walijuaje kwamba, jimbo lako ni hitaji kuliko hata majimbo wanapofanyia kazi kama si wewe kwenda kupeleka umbea wa kutaka kulipwa kitu kama malipo ya kutosema ukweli uliokuwa tayari unausimamia? Mbona siasa watanzania mnaifanya kuwa ni kitu cha watu kukidharau wakati nchi zingine wameendelea kupitia "SIASA SAFI"? Mnataka wananchi tuamini nini hapa? Ama ni kama wachache wanavyosema kwenye thread hii kwamba, siasa ni kama ilivyo, kwamba, wanasiasa wote wako sawa ni kwa ajili ya manufaa/"interest" yao tu na siyo manufaa ya umma? Kama nisemavyo wakati nikishauri upande wako, tafadhali pamoja na sasa kuona haja ya kututaka radhi umma, jaribu pia kuwa makini kwenye masuala yako binafsi na hata ya kisiasa na kijamii kwani tambua wewe si Zitto yule wa enzi zile kabla ya kuwa MP. Wewe ni Zitto wa umma wa watanzania. Na lolote ufanyalo, liwe zuri ama baya, matokeo yake yanatuathiri umma wote wa Tanzania.
 
From foes to partners: Tales of Zitto Kabwe and African Barrick Gold
1.Kigoma North legislator, Honourable Zitto Kabwe, who strongly criticized the African Barrick Gold, following the signing of Mineral Development Agreement (MDA) in 2007, to develop Buzwagi gold mine, benefited from the company's development projects according to the latest research by a Canadian based researcher.

2.According to research by a Canadian journalist and academician, Adam Hooper, submitted to University of Carlton in July, this year, contrary to what many knew, ABG opted for a win-win situation in order to have a support from Kabwe, after the latter ‘nailed' the company in Parliament in mid-2007.

The research suggests that after Kabwe proved to be ‘a thorn in the flesh' to ABG leading to his controversial suspension from the Parliament, the Canadian mining giant noticed that the MP's constituency was the lowest in terms of education development.

But defending the ABG's move to invest in the Kigoma North Constituency, the company's Public Relation Manager, Teweli Teweli, told the Canadian researcher that the decision was mainly influenced by the abysmal performance of the area in terms of education development.

3.This move, according to the ABG's Public Relations Manager Teweli Teweli, was a result of a proposal submitted to the company by Kigoma North MP.

"Kigoma North government submitted a proposal and Barrick funded it because Kigoma North's education system is lagging behind national standards. Kabwe had complained about the same issue in Parliament for years, with no effect." Reads part of the research seen by The Guardian on Sunday.

4.The research also claims that Barrick found Kabwe much less confrontational than observers expected when MPs were drafting the new Act.

"During the writing of the new law, we worked together so well because we had to create a win-win situation," Kabwe is quoted in the research. He further adds, "So the enmity between us had to end."

Whether it was immoral or not for ABG to finance development projects in Kabwe's constituency remains debatable by Tanzanians whom some of them see the man as the potential material for the country's top leadership.

Though their voices are contained in the research, The Guardian on Sunday, tried unsuccessfully to obtain the comments from Honourable Kabwe as well as ABG Public Relations Manager in Tanzania, Teweli Teweli
Naomba kuuliza kama Barrick walitaka kusaidia shule kwenye jimbo la Zitto watu walitaka Zitto afanye nini? aende kuwaambia msichangie au kujenga kwa sababu wakifanya hivyo itaonekana wanampa rushwa? Kama kuna jambo la kujiuliza zaidi siyo nia ya Zitto bali ni suala la Barrick walifanya hivyo kwa malengo gani?
Kama nitakuwa nimeielewa habari ya 'The Guardina' point number 3 kama nilivyoiweka, barric waliombwa na Zitto ''was a result of a proposal submitted to the company by Kigoma North MP. na sio kuwa walifanya hivyo wenyewe kwa inititiative zao.

Binafsi niliweka wazi katika post yangu 126 kuwa kwa jinsi ilivyo sioni mahali ambapo Zitto amekula mlungula na ingekuwa hivyo tungeshaona risiti, account number n.k. Na wala sioni tatizo kama shirika au kampuni itasadia sehemu yoyote na wala hakuna kipimo.

Kwa mtitiriko wa maelezo ndipo Zitto na msaada wa shule na Barric vinapoingiliana. Tutaona mbele katika mjadala.
Nimesoma toka mwanzo na sikuona kwa kweli umuhimu wa kuchangia sana kwa sababu hoja zimechanganywa sana kiasi kwamba kushindwa kuona issue iliyojificha. Hili ni suala la intergrity ya Barrick as a multinational corporation. Tumeandika vya kutosha kuwa Barrick imekuwa ikihusishwa na uvunjaji wa haki za binadamu the world over; kwamba imekuwa ikishijaribu kujiingiza na kuinfluence politics za nchi mbalimbali. Kuanzia Chile hadi Papua New Guinea huko
Kwa hakika hakuna jambo nililoona ni zito sana, lakini majibu ya mheshimiwa Zitto hayakidhi wala kujibu hoja husika bali yamelenga kuwa utetezi kuhusu yeye kuchukua 'rushwa' na kutokana na hayo maswali yanajirudia na hapo ndipo naliona tatizo kubwa.

Mheshimiwa Zitto amekiri kufanya mahojiano na researcher bahati mbaya hajibu maswali yanayojitokeza ima kwa kusahihisha(clarify) au kukanusha(refute) na hivyo kuwaacha wasomaji wakiwa na kiu zao. Hapo ndipo anakaribisha maswali yanayozua utata kulingana na michango niliyosoma ya watu wengi. Hakuna anyemtuhumu kula rushwa, lakini je amejibu hoja kama vile yeye ndiye aliyeomba msaada Barric?
Sasa, kama Barrick walitarajia kuwa kwa kufinance mradi katika jimbo la Zitto walikuwa wanataka kuinfluence au walifanikiwa kuinfluence politics za Zitto jibu ambalo Zitto analitoa ni kuwa "HE..LL NO". Kwa maneno mengine hakuna ambalo Barrick wamefanya ambalo limembadilisha Zitto. Sasa swali ambalo watu wanatakiwa kutusaidia ni kutuonesha kuwa Zitto kabadilishwa; kwamba leo hajali tena Barrick wanafanya nini, au hajali kama Barrick inasimamia haki za binadamu na kuwabana kwa sababu kwa kufanya hivyo atawaudhi Barrick. Bado sijaona hilo
Naamini kama Zitto ana msimamo hili haliwezi kubadilisha msimamo wake kama yeye, lakini je integrity yake haijawa compromised!! Anaweza kusema msimamo wake ni ule ule, public ikaona ni kauli za kisiasa na kuanza ku question moral yake. Anachotakiwa ni kujibu hoja ili kuondoa doubts, na ikifika hapo naona mapungufu. Ikizingatiwa kuwa mara nyingi amekuwa ni controversial figure kwa baadhi ya mambo jambo lolote lenye utata litapata public scrutiny ya hali ya juu
Jambo la pili ambalo nalo ni kuliangalia vizuri ni kuelewa the nature of politics. Siasa ni ushawishi. Sasa hapa ni penye mtego kwani kuna ushawishi wa wazi na wa kisheria (legal lobbying) na ushawishi kinyume cha sheria (illegal lobbying). Unfortunately sana bado hatujawa na sheria ya lobbying na labda kuna sababu hiyo sheria haipo. Kama nakumbuka vizuri - na uzee unanijia kwa kasi - ni Zitto aliwahi kupendekeza kuwa na kitu kama hicho sijui hilo limefikia wapi lakini mojawapo ya changamoto ambazo tunazo sana kwenye siasa zetu ni jinsi gani makampuni makubwa yanatumia nafasi zao kushawishi wabunge
Nakubalina na hili na nimeliezee pia 126 kuwa legal lobbying, CSR au misaada haijulikani inatolewa vipi na kuna element za ushawishi wa kisiasa. Tunapaswa kuliangalia kwa jicho mujarabu.
Hili tunaliona hata kwa makampuni ya ndani. I have seen this with PPF, NSSF, Vodacom, n.k jinsi wanavyofanya kazi na hata kuwekeza kwa mtindo huo huo wa Barrick kwenye majimbo ya wabunge mbalimbali hasa ambao wanaonekana kuwa vinara. Lakini mtego uko pale pale - je NSSF ikitaka kujenga nyumba za makazi madogo kwenye jimbo la Malima kule Mkuranga Malima akatae? Leo hii PPF wakitaka kujenga nyumba kwa kina Regia Mtema je naye akatae kwa sababu itaonekana anashawishiwa
Sidhani kwamba kuna tatizo kama shirika au kampuni litasaidia mahali fulani. Tatizo ni pale msaada huo unapotumika kujenga ukaribu na viongozi hasa wa ngazi za juu katika mazingira tata.

Kama NSSF wamejenga shule kwanini siku ya ufunguzi aende Rais, first lady au waziri mkuu, waziri au katibu mkuu. Kwanini asikabidhiwe mwenyekiti wa halmashauri ya mkuranga ambaye ndiye mlezi au mkuu wa wilaya.

Pili msaada wa vitu kama nyumba hizo usitumiwe kisiasa kwa namna yoyote. Mashirika yanadhima ya kukataa hilo. Hali iliyopo sasa ni kuwa mbunge atasema mbele ya mkurugenzi wa shirika au kampuni kuwa msaada huo ni kutekeleza ilani ya chama na wahusika watapiga makofi. Hapo ndipo tatizo linapoanzia.
Kama mbunge ambaye kwa kupewa ufadhili au kusaidiwa kumemfanya kupoteza mtazamo wake wa awali basi impact ya ushawishi ule iko wazi. Lakini mahali ambapo hakuna sheria ya kusimamia lobbying hii au ya aina mbalimbali ni kwa namna gani tunaweza kusema mtu kafanya makosa?
Hapa hatuwezi kusema kafanya makosa, lakini atakuwa na upungufu wa maadili kama ninavyonukuu kutoka post ya Kobello

PART2:Basic Elements of Code of Ethics, "6(a) In relation to ethical Standards,that public leaders shall while in office, act with honesty, compassion,sobriety, continence and temperance, and uphold the highest possible ethical standards so that public confidence and trust in the integrity,ojectivity and impartiality of Government are conserved and enhanced
Kutaka wabunge wapitishe sheria ya kusimamia Lobbying industry ili tujue nini na nani anafanya nini na kwanini katika mazingira ya wazi kabisa kwani suala tunaloliona kwenye hoja hii tunaliona pia kwenye madai dhidi ya Rais Kikwete na hata marais wengine kabla ambapo wafanyabiashara wakubwa wananunua "access" kwa kutoa misaada au promises ya misaada
Absolutely!

Mwisho: Ni maoni yangu kuwa wachangiaji wengi hawana shaka yoyote kuhusu Zitto kula rushwa na pia wanakubali dhana ya kusaidia wananchi.
Hili mh Zitto hatakiwi kulijibu kwani lipo wazi na linaeleweka na ameshatoa Kauli.

Anachotakiwa kujibu ni mambo yafuatayo:
1. Reseacher amesema Zitto ali benefit, je anakubali au anakanusha(benefit haina maana pesa tu hata kisiasa)

2. Kama ABG ilitaka win win situation (iliyotajwa mara 2) je win win ilikuwa kati ya taifa na ABG au ABG na Zitto kupitia jimbo lake!

3. Je ni Kweli ali submitt proposal ? na hiyo inamweka katika nafasi gani tukijua kuwa ni Barric waliosababisha atimuliwe bungeni.
kwanini baadhi ya watu wasiamini kuwa ukali wake juu ya Buzwagi ulikuwa ni kujenga mazingira ya quid pro quo.

4.Kwa kuomba msaada ABG, je hiyo haija compromise integrity, moral, sobriety,impartiality na public confidence yake.

5. Je Zitto haoni kuwa kuna conflict of interest akiwa mbunge 'thorn' kwa ABG, mjumbe wa kamati ya Bomani ,ambaye pia ni beneficiary wa ABG kisiasa jimboni kwake.

6. Je Zitto alitumia kigezo gani kuomba msaada barric akielewa kuwa kulikuwa na public interest ambayo ina compromise and undermine public confidence yake. Kwanini asifikirie mashirika mengine. Nasema hivi kwasababu Barric hawakwenda bali yeye aliwaomba.

7.
Je ushirikiano wa Zitto na kampuni hii inayotajwa kwa mabaya duniani (kama alivyoainisha MM) haiwezi kuzua maswali
 
Nimeona nichangie tena maana nadhani wachangiaji wanapotosha makusudi kabisa mjadala huu.

I am not corrupt. I have never been corrupt and I will not.

Mali zote nilizonazo nimeorodhesha katika daftari la mali na madeni. Sina nyumba Dar es Salaam kama baadhi yetu wanavyodai hapa. Ninamiliki magari 2 tu mitumba niliyonunua kutokana na kipato changu.

Sina biashara yoyote hapa nchini. Ninamiliki hisa kampuni moja ya publishing ambazo sijawahi kupata gawio toka ianze kazi.
Nina nyumba ndogo ya vyumba viwili kijijini kwangu Mwandiga.

I have never ever been corrupt and I have no quest for properties. Sina tamaa ya mali.

Ninaomba tujadili hoja hii bila kutukanana wala kuzushiana. Nimejibu hoja hii kama mwulizaji alivyotaka katika post yake ya kwanza kabisa.

Wabunge na Halmashauri za wilaya na miji huomba misaada mbalimbali kwa majimbo yao ili kusaidia maendeleo. Sijawahi kushawishiwa hongo na kampuni ya Barrick sio tu kupewa. Nilikuwa muwazi kabisa katika msaada huu na miye ndio niliyomwambia mtafiti huyu kuhusu suala hili. Sidhani kama makampuni yanazuiwa maeneo ya kutoa misaada. Sijui kiwango gani cha misaada Barrick wametoa kwa wilaya ambazo wao wana endesha migodi.

Nafikiria sio sahihi kwa wanasiasa au mawakala wa wanasiasa kutumia hoja hii kunishughulikia kisiasa kwani sina kosa lolote katika jambo hili.

Sijawahi kuwatetea kwa lolote Barrick. Nimeeleza kuwa nimesimamia mabadiliko ya sheria ya madini na usimamizi wake. Michango yangu Bungeni ipo waziwazi katika blogu yangu www.zittokabwe.com na nimesemea jambo la umuhimu wa kodi.

Sasa kulifanya jambo hili kana kwamba nimekula rushwa ni kunipakazia tu bila sababu. Sina maslahi ya kifedha kabisa na suala hili.
Mh. Zitto kwanza ningeomba kufafanua kitu kimoja. Haikuwa lengo langu kukuweka ktk mtihani kama huu na wala sio kusudio langu kukukashifu ama kukuhisi umechukua rushwa..

Kusema kweli mjadala ulipofikia imekuwa ule mchezo wa kiswahli kutafuta mchawi lakini pamoja na yote haya inakubidi kuelewa kwamba sii watu wote watakaokuamini na sidhanii kama ulikuwa na sababu ya kuwaeleza watu mali zako na hata ukiapa kwa jina la Mwenyezi Mungu wale walisiotaka kuikuamini hawatakuamini.

Kikubwa ktk habari hii ni jinsi mwandishi alivyoweza kujenga hoja na ndicho kilichonisukuma mimi kujiuliza maswali mengi sana ambayo hayawezi kuwa na majibu isipokuwa kukulaumu wewe kujihusisha na shirika au watu ambao wanaweza kuharibu jina lako kisiasa. Na hii sii mara ya kwanza nakumbuka swala la Dowans, tulikwambia kama mwanasiasa jaribu sana kukaa mbali na watu ama mashirika ambayo yanajitokeza kuwanyonya wananchi na haswa pale sera za chama chako zinazouzika ni pinzani na uwekezaji wao na ndio vita kubwa wanayojaribu kuijenga kwa wananchi dhidi ya Ufisadi ama Unyonyaji.

Barrick na hizo Usd 10,000 ungewaambia wazifukia ktk makalio yao, kwa sababu wewe kama Mbunge huna ridhaa ya mkataba wa Buzwagi na utaendelea kuupinga hadi mkataba huo uingie ktk mfumo mpya wa ushirika ktk madini yetu. Na hata kama ungetaka hizo Usd 10,000 kwa sababu ya mradi wa mabati ktk jimbo lako nakuhakikishia hapa JF tungepiga harambee kupitia jumuiya za watanzania waishio ndani na nje toka Marekani, Uk, Canada, Nordic Countries hadi Australia zingepatikana zaidi ya hizo - Mh. You know better than that, hii misaada isiyotosheleza inaweza kabisa kutuweka pabaya zaidi.

Na nimezungumza kwa ufasaha kabisa kwamba Barrick mkuu wangu ni Mafisadi wakubwa sana na wanajulikana nan kuogopwa dunia nzima kwa ushenzi wao na viongozi kama nyie msiofahamu undani wa mashirika kama haya inabidi sana muwe waangalifu kwa sababu ndio kazi yao ku bribe viongozi na vitu vidogovidogo utafikiri Machief wetu walivyoweza kununuliwa kwa shanga wakati wa Utumwa. Na huwezi kuita hii ni win win situation kama kweli mtu akisoma habari hiyo hapo juu. We are the looser big time bro!..Hivyo, kuwa makini sana na jaribu sana kutetea sera zako kwa sababu ndizo zilizokupa umaarufu toka swlaa la Buzwagi na majuzi Posho!.
 
Kijana mwenzangu Zitto, tatizo siyo wewe kushika hizo fedha ama kutozishika. La hasha, tatizo limejikita kwenye uhalali/legitimacy wa msaada huo wa Barrick kuvuka mipaka ya Wilaya kadhaa/majimbo kadhaa toka maeneo Barrick wanapoendesha shughuli zao kwenda huko jimboni kwako. Hapa inaonekana, kama makala yalivyosema pale juu kwamba, ilibidi yajengwe mazingira fulani ya wewe kuridhika ili ukae kimya wakati wa kujadiliwa Mswaada wa Sheria ya Madini iliyokuwa imewekwa mezani wakati huo. Na kweli baaada ya jimbo lako kupata huo msaada wa ujenzi wa shule, nawe ulikaa kimya kama wao Barrick walivyotegemea.

Bila shaka kama ambavyo huwa najitokeza kukukosoa unapojikwaa ama kukusifia unapoonyesha misimamo yako yenye kuonyesha umakini hasa pale kwenye mtandao wa fecebook, sita acha kusema hapa pia. Kijana mwenzangu kama ulivyokiri kwamba makala haya ni ya kweli, hakika unatakiwa kutuomba radhi wananchi wa Tanzania kwani kitendo hicho kilikuwa ni kama rushwa vile japokuwa si ya wewe kupokea fedha mkononi moja kwa moja. Mathalani, wao Barrick walijuaje kwamba, jimbo lako ni hitaji kuliko hata majimbo wanapofanyia kazi kama si wewe kwenda kupeleka umbea wa kutaka kulipwa kitu kama malipo ya kutosema ukweli uliokuwa tayari unausimamia? Mbona siasa watanzania mnaifanya kuwa ni kitu cha watu kukidharau wakati nchi zingine wameendelea kupitia "SIASA SAFI"? Mnataka wananchi tuamini nini hapa? Ama ni kama wachache wanavyosema kwenye thread hii kwamba, siasa ni kama ilivyo, kwamba, wanasiasa wote wako sawa ni kwa ajili ya manufaa/"interest" yao tu na siyo manufaa ya umma? Kama nisemavyo wakati nikishauri upande wako, tafadhali pamoja na sasa kuona haja ya kututaka radhi umma, jaribu pia kuwa makini kwenye masuala yako binafsi na hata ya kisiasa na kijamii kwani tambua wewe si Zitto yule wa enzi zile kabla ya kuwa MP. Wewe ni Zitto wa umma wa watanzania. Na lolote ufanyalo, liwe zuri ama baya, matokeo yake yanatuathiri umma wote wa Tanzania.

Hivi Barrick inapotoa misaada shughuli zinazofanyika Dar, Dar kuna machimbo yao huku? Lakini unaposema kuwa wanasiasa ni kwa maslahi yao na sio ya Umma, hivi ujenzi wa shule hiyo ni kwa manufaa yake binafsi na sio ya umma? Ama watu wa kigoma sio sehemu ya umma? Umma ni wale wa kule kwengine tu?

Lakini pia ni wazi mwandishi wa utafiti huu ni wale ambao tayari wanakuwa na mitazamo yao na kazi yao ni kutafuta line zitakazohalalisha mitazamo yao lakini sio kutumia taarifa kupima mitazamo hiyo...lakini ni vizuri kuwa Guardian wamelileta hili wazi kwani kinachofuata ni kujua supervisor wake ni nani na kumtumia hiyo qoutation pamoja na blog ya Zitto ili wapitie michango ya Zitto na kucheck kama ni kweli mabati ya dola 10,000 yameweza kubadili msimamo wa Zitto...

Lakini pia wale wanaotaka Zitto aendelee kuwa mwanasiasa wa 2006, well...they should look for Tundu Lissu na wenzake maana wao ndio wako katika stage ya siasa hizo?

Mkandara nashindwa kukuelewa: Yaani ulitaka Zitto alazimishe kufutwa kwa mkataba wa Buzwagi? Unaweza kutuambia hilo lingewezaje kufanikiwa?

Zaidi, watanzania ni lazima tukue na kutambua kuwa kuna tofauti kati ya maoni ya mtu na taarifa....Conclusion ya mwanafunzi mtafiti huyu imeegemea zaidi katika maoni yake kuliko taarifa zilizopo na alizopewa. Hauna tofauti na maoni ya wanadiplomasia wa marekani katika cable zao zinazosambazwa na wikileaks....Lakini kama ninyi mmeamua kuwa hizo ndizo njia za kujua ukweli wa kuaminika, then keep swalowing them....
 
Mh. Zitto kwanza ningeomba kufafanua kitu kimoja. Haikuwa lengo langu kukuweka ktk mtihani kama huu na wala sio kusudio langu kukukashifu ama kukuhisi umechukua rushwa..

Kama nakumbuka mwanzo tu wa thread yako ulianza na kuwa hupendi unafiki ukiwa na maana kuwa tuhuma za huyo mwanafunzi mtafiti ni dalili ama uthibitisho wa unafiki wa Zitto

Kikubwa ktk habari hii ni jinsi mwandishi alivyoweza kujenga hoja na ndicho kilichonisukuma mimi kujiuliza maswali mengi sana ambayo hayawezi kuwa na majibu isipokuwa kukulaumu wewe kujihusisha na shirika au watu ambao wanaweza kuharibu jina lako kisiasa. Na hii sii mara ya kwanza nakumbuka swala la Dowans, tulikwambia kama mwanasiasa jaribu sana kukaa mbali na watu ama mashirika ambayo yanajitokeza kuwanyonya wananchi na haswa pale sera za chama chako zinazouzika ni pinzani na uwekezaji wao na ndio vita kubwa wanayojaribu kuijenga kwa wananchi dhidi ya Ufisadi ama Unyonyaji.

Sasa kaka kama angenyamaza kuhusu suala la Dowans huku akijua kuwa wazo lake lingetuokoa katika janga hili tulilo nalo sasa eti kwa kuogopa kuharibiwa jina lake si ndio ungekuwa unafiki wenyewe huo usioutaka? Viongozi wanaopita kuangalia nini mnataka kusikia na kuanza kuimba kama makasuku ndio wametufikisha Tanzania katika majanga mengi tunayoyalalamikia sasa.



Na hata kama ungetaka hizo Usd 10,000 kwa sababu ya mradi wa mabati ktk jimbo lako nakuhakikishia hapa JF tungepiga harambee kupitia jumuiya za watanzania waishio ndani na nje toka Marekani, Uk, Canada, Nordic Countries hadi Australia zingepatikana zaidi ya hizo - Mh. You know better than that, hii misaada isiyotosheleza inaweza kabisa kutuweka pabaya zaidi.

Kaka lets be honest hapa, hivi kama mlishindwa kuchanga kumtoa mpambanaji wetu wahuko ughaibuni katika matatizo yake ya wakati ule mngeweza kuwachangia watoto wa kigoma kaskazini ili wawe na kitu kinachoitwa shule?

Na nimezungumza kwa ufasaha kabisa kwamba Barrick mkuu wangu ni Mafisadi wakubwa sana na wanajulikana nan kuogopwa dunia nzima kwa ushenzi wao na viongozi kama nyie msiofahamu undani wa mashirika kama haya inabidi sana muwe waangalifu kwa sababu ndio kazi yao ku bribe viongozi na vitu vidogovidogo utafikiri Machief wetu walivyoweza kununuliwa kwa shanga wakati wa Utumwa. Na huwezi kuita hii ni win win situation kama kweli mtu akisoma habari hiyo hapo juu. We are the looser big time bro!..Hivyo, kuwa makini sana na jaribu sana kutetea sera zako kwa sababu ndizo zilizokupa umaarufu toka swlaa la Buzwagi na majuzi Posho!

So kwa ushauri wako Zitto ajali zaidi umaarufu wake lakini sio kusimamia yale anayoweza kushawishi na kutekelezeka na pia msaada wa maendeleo kwa wapiga kura wake? Kaka inaelekea tayari una mtazamo wako kuhusu Zitto na sasa umejiunga katika lile kundi la kukaa mkao wa kula wa kupata kitu chochote kile ambacho kitakuwezesha kuhalalisha mtizamo wako kwa watu wengine ili ujisikie vizuri....

Yawezekana wakati Zitto analipua suala la Buzwagi, kwake yeye ilikuwa ni kujenga mazingira ya kuibua mjadala utakaopleta mabadiliko katika sekta ya madini na wala hakuwa akiwazia umaarufu na hivyo hakuwa tayari kugeuka another demagogue kama ambavyo wengi mngelipenda kumuona anakuwa....
 
Back
Top Bottom