Mh. Zitto kuna ukweli gani katika ripoti hii?

Quixotic dreams! He is a flop for his incumbent position how dare would he bid for presidency. Besides, who in their right minds will do a grave mistake by puting this tyro politician into such a high position?
Your poor old illiterate imbecile peasant parents and their ignorant CCM naive supporters/neighbours will do.
 
Hao ndio mabingwa wa kulalama kuliko kuchukua hatua,watawezaje kuandika maandiko yenye mshiko kama hayo???
Mnaopata MBA za Mzumbe, OUT, IFM, CBE, UDSM, ......, mnaweza kuandika hivi ili mlisaidie taifa letu?
 
Tanzania actually owes Barrick millions. In Tanzania, companies pay a “value-added tax” similar to Canada's GST when they buy goods and services and import fuel. As in Canada, the government owes a refund when companies pay more VAT than they collect from their customers. Barrick has no Tanzanian clients so it's entitled as of December 2010 to a total refund of $121 million that Tanzania over-collected over the years and can't afford to repay.

Kipande ichi tu kinaonyesha namna gani wasomi wetu wanavyotuongoza. Tanzania kweli mpaka karne tulizonazo bado ni nchi ya kusumbuliwa na umeme? foleni za magari, uncertain healt care and many others. Haya twendeni.............
 
Msaada kwa our law makers una conflict of interest!hahahahhaa,kila jimbo lina mbunge, kwahiyo misaada ipelekwe wapi? Unamaanisha kweli unachoandika? Au hujaelewa mada!
wewe ndo hujaelewa nilichoandika,..nimesema msaada kutoka barrick kwa watunga sheria wetu ni tatizo kwa sasa,.barrick inalalamikiwa kila kona,..na sio barrick peke yao hata makampuni mengine ya madini yanalalamikiwa kwa kutunyonya kimapato,..tunawategemea wabunge wapitishe sheria za madini za kuwabana wasiendelee kutunyonya,sasa ukipokea misaada ya kijimbo kutoka kwao utatunga sheria gani???
next time tulia soma kitu,tafakari halafu weka vidole vyako kwenye keyboard na uanze kutype,..typing errors tutazipotezea lakini makosa ya kufikiri hatutayapotezea
 

Mdogo wangu Zitto haingii akilini kwenda kuomba msaada kwa mwiziHakuna makampuni mengine ambayo ungeyaomba na kununua mabati ya shule Hiyo????!!! But anyway if you canr beat them join them!!!.
 
Imagine NSSF au CRDB waipe sponsorship JF in return kwamba threads zote za malalamishi dhidi ya serikali na utendaji wake zinatiwa kapuni...

Au imagine Jf kufunga ile thred ya Wikileask na suti za muheshimiwa ni kwsababu
  • TISS wana management share katika JF
  • AU JF wanapokea msaada kutoka US kupitia USAID so wameona ule uzi unaweza kuvuruga cashflow
teh teh teh
 
Zito ametoa ufafanuzi kwa hiyo wanajamii munataka atoe nini zaidi ya hayo maelezo au kunajambo lillilonyuma ya hii maada? tuweni na ustarabu hajakataa hata ingekuwa ni mimi umepewa msahada kwa nini niuweke kwako ikiwa nawewe utaomba utapewa? hao wa Bunge wa shinyanga wengi hawako makini ndio maana zito kawapiga bao
 
Zitto kwa hili hawezi kutoka, mimi naifuatilia hii thread mpaka asubuhi. Nipo tayari kukesha nijue mwisho wake.
Mwita25; hapo umepata deal, tunajua utalipwa vizuri tuu!!!!!! Ila kusema ukweli kama huyu ndg yetu alifadhiriwa na hao watu wa Barick, basi hakuna tena mzima wote iko gonjwa. Wapenda CDM hebu fuatielieni tujue ukweli tusipambane na dagaa kumbe makambale yanatesa tuu!!!!!!!
 

Campanero, mimi sishangai kwa huyo Juma Mwapachu kuingia kwenye hizo bodi za Barrick na Exim kwani kwa wale wanaomjua hizo ndio zake "social climber' yaani wale marehemu Chachage[RIP] aliwaita Makuwadi wa capitalism!! Nakumbuka hilo jina la Dambisa Moyo ni yule binti wa Zambia aliyeandika kitabu cha DEAD AID au mwingine wa hapa bongo?
 
I thought that Zitto had pocketed something for his personal benefit, kumbe ni kwa ajili ya shule za watoti maskini wa kitanzania ambao wanabguliwa na Serikali ya chama cha magamba kwa ajili ya kuchagua mbunge wa upinzani. This is clap!!!!
 
Soma chini ya hayo uliyoyawekea nyekundu. Nimesema kama hajakutana na Zitto basi hizo ni porojo tu na kwa kuwa Zitto kathibitisha kakutana nae na kathibisha ni habari ya ukweli rubbish ni nani hapo zaidi yako wewe.
Mwacheni FaizaFox; leo yuko poa kidogo naona somo limeanza kumuingia na yeye ni Mtanzania ati???????
 
haya ndio matatizo ya watanzania wengi kutaka kufanyiwa kila kitu. Katika kitu kama tume kuna kitu kinaitwa collective esponsibility, haiwezekanai ukae katika tume mkubaliane jambo hata kama wewe mmoja hukulipenda halafu utoke nje ulipinge. Katika hili mimi sioni makosa ya zitto yap wapi japao katika mamabo mengi huwa namkosoa ikiemo kukimbili Jf kutangaza mambo ya chama. Sasa kajirekebisha baadhi yenu mnadai kaikimbi Jf? Karibu wote mliochangi hamajaonyesha mmefanya nini kukomboa raslimali za taifa hili baada ya kumshabikia zitto na kisha kusubiri yeye ndio alete mabadiliko. Kwa staili hiyo safari ya kuleta mabadiliko katika Tz yetu bado ni ndefu sana. Kali mtu ni lazima aonyeshe kafanya nini na anaendele kufanya nin i kukomboa raslimali zetu na kuleta mabadilko.

Tabia ya watu kuto chukua hatua hata pale yanapostahili maandamano hadi Dr Slaa asem tuandamane ndio inasababisha hali yeti kuwa duni. Sasa kwa kujulikana udaifu huu ndio maana mada za kijinga kama hizi zinzletwa sasa, hala fu watu ambao hawajawahi kufanya lolote nkatika kuleta mabadiliko au kukomba raslimali zetu ndio wanakuwa wa kwanza kuchonga.
 
Zitto will become the presindent of this country in the future believe me. Kuhama haitakusaidi Mamanalia kwa sababu masikioni utaendelea kusikia Rais wa Tanzania Mh. ZZK. Labda ujinyonge, hiyo ndiyo itakuwa nafuu yako.

Mwaka gani?
 
Trueth put to light, things done in darkness will always come to light!!!!!!!!
 
Kaka sahau hizo ndoto za mtu kama zito rais, mie ntahama nchi hii kama mtu kama zito ataweza kuwa rais.

Come on, what does it take to be president of this country? Nchi hii hata wewe unaweza kuwa rais. Ni rahisi mno kuongoza jamii iliyolala usingizi mzito!
 
Kama ni muelewa utaelewa na kama si muelewa, pole sana. Asiyejuwa maana haambiwi maana.

Ni kweli, wewe usiejua maana huwezi kuelewa maana! kamwe siwezi sumbua kichwa yangu ili kuelewa mada mbovu mbovu kama zako! huwezi kwa namna yoyote ile kunirubuni, eti mbunge akishawishi kampuni fulani ili iweze kutoa msaada kwa jimbo lake na akipewa msaada huo ugeuke jina na kuitwa rushwa kwake yeye binafsi! it seems huelewi kazi za mbunge, ni wabunge wangapi huwa wanaomba misaada kwenye makampuni kama vodacom,azam n.k kwa ajili madawati ya shule au baiskeli za walemavu n.k-hiyo nayo ni rushwa kwa mbunge!? ovyooo...
 
Nji hii mtauana bure, na matukio mengi yanayopita tunayasahau. Kigoma North Govt ni ya zitto peke yake? Msaada ule unawafaa wana Kigoma.Ninazo sababu nyingi za kumtetea NYEPESI.
  1. Dr Slaa akiwa Mbunge wa Karatu aliwasaidia wana jimbo lake kupata maji ya bomba no querries na tena msaada ulitoka kwa wazungu. kilichofuata ulikijua. Nitakujuza.
  2. Mwl J.K. Nyerere mwaka 1981 wakati Tanzania kuna njaa baada ya vita ya kagera alikwenda kuomba mahindi marekani ili wa Tanzania wasife njaa miaka miwil kabla yake alitoka kuwapigia kelele je, walipompa msaada walimnyamazisha?
  3. mwaka 2009 juni Rais Kikwete alikaribishwa na Uongozi wa CCBRT kwenda kuzindua baadhi ya majengo, na aliwasaidia CCBRT katika mgogoro wa kiwanja na wakapata( Mwenyekiti wa CCBRT ni dr SLAA) je, alikuwa anahongwa na Serikali ?
  4. Pamoja na NYEPESI kusakamwa na maadui zake ni jukumu la wana kigoma Kaskazini kumhukumu . Kwenu ni mwizi lakini KIGOMA Kaskazini ni mhimili na shujaa. Anawabana Wamarekani kuweka umeme wa Megawati 160 mto Malagarasi kwa kushirikiana na David Kafulila(NCCR)
  5. TUNA MHUKUMU BURE.
  6. HATA NYERERE HAKUWA MZALENDO KAMA MNAVYODAI. KWANINI ALIPOSTAAFU ALIPOKEA ZAWADI ZA MING'OMBE TREKTA, MBUZI nk.Huko ni kujilimbikizia mali. Ni ubepari. kula alikuwa anakula bure hizo mali alipokea za nini?
MTANISAMEHE WAUNGWANA
 
Bora zito alifight watoto wakaenda shule,je yule anayepelekwa shoping na kulipiwa room? Hawa barrick mm nawafaham sana nimefanyanao kazi tulawaka.pale kuna vjiji ambavyo ukienda unaweza ukalia ukiona nyumba wanazoishi wanakijiji.

These guys are so corrupted than the way you think. Wakija maofisa kutoka gov wanawekwa offisini huku tatizo linasolviwa faster,wakienda kukagua wale ma ofisa wanakuta hamna tatizo. Kuna wabongo wenzetu ambao hawana machungu na nchi yao na watz wenzao. Pale tulawaka HR alikuepo mama mmoja anaitwa suguti walimpenda sana barick coz alikuwa ni midle person wa kuwabribe viongozi wa gov.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…