Mhadhiri NIT akiri kumuomba rushwa ya ngono Mwanafunzi wake

Kumbe mahakama sasa wamebadili hukumu hiyo kukubaliana na mwendesha mashtaka nilijua ni mafisadi tu kumbe mpaka kwenye ngono.kwa hiyo nikimtia mimba mtoto wa shule nikakubaliana na mwendesha mashtaka nikakubali kosa nikalipa fine naachiwa?
Mtoto wa shule wa umri gani?

Rushwa ya ngono ihusuyo watu wazima ipo kwenye kundi la kesi za uhujumu uchumi na kujaza mimba mtoto wa shule, kosa linaangukia kwenye ubakaji.

Je ubakaji hukumu yake ni faini?
 
Hili liwe fundisho,miaka 69 du kwani hana mke?
Vic unauliza swali gani hilo bhana?

Hivi ni lini ulisikia kufanya uasherati hadi uwe msimbe?

Ninasoma comments nyingi humu, ninashangaa mnavyoshangaa!

Lakini saazingine mwaweza kuwa sahihi kumnyooshea kidole huyo mzee, maana nishashuhudia mwizi akipiga mwizi hadi kuua.

Siyo ajabu sana.
 
Kwa mwanaume ni kawaida tu asee hakuna mwanaume anayetosheka ngono, sema miaka 69[emoji23]
 
uyo lecture ni mpuuzi kabisa shame on him
 
Ukimwangalia vizuri usoni utagundua kuwa lazima mzee huyu atakuwa Mngoni wa Songea kama sio Madaba basi atakuwa wa Mfaranyaki, Wangoni bwana~!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe mnafahamiana watu wa huko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…