Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
SGR ikifika Mashariki ya Congo italeta faida kubwa mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
John heche alisema hiyo reli yenu ya SGR ikiisha kufikia 2030 basi anarudi kuchimba madini anaachana na siasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahandisi : Reli ya kati ihamishwe toka eneo la mafuriko na pia SGR kuchukua miaka 15 kukamilishaMiaka 15 ni kuendelea kutumika baada ya kukarabati sio inakarabatiwa kwa miaka15 acha uzwazwa
Wahandisi : Reli ya kati ihamishwe toka eneo la mafuriko na pia SGR kuchukua miaka 15 kukamilishaSGR ikifika Mashariki ya Congo italeta faida kubwa mno.
anamaanisha alichokisema HECHE kule mjengoni ndicho kitachotoke.Sikiliza kwanza kabla ya kupiga piga[emoji23][emoji23][emoji23]
leo 2020 tuna miaka miwili tangu SGR kuanza kujengwa ukichukua 15yrs tutakuwa tumebaki na 13yrs ndio mradi utakamilika.John heche alisema hiyo reli yenu ya SGR ikiisha kufikia 2030 basi anarudi kuchimba madini anaachana na siasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata walazimishe vipi haiwezi malizika july. Hii hadi 2021reli itafunguliwa july kabla ya uchaguzi, ili tupate kiki kipindi cha kuomba kura
SGR kipande cha Dar Moro kuanza kazi labda 202110 Nov 2019
Masanja Kadogosa amesema mpaka sasa ujenzi wa Reli ya kisasa (SGR), umefikia asilimia 71. Ameeleza mpaka mwezi April 2020, kipande cha Dar es Salaam hadi Morogoro kitakuwa kimekamilika na kile cha Morogoro hadi Dodoma kikitarajiwa kukamilika mwaka 2021.
Kuna mizigo gan imekwama kusafirishwa hadi isubirie SGR ambayo treni ya kati imeshindwaahaa kwenye hili la SGR siko pamoja na nyinyi kabisaaa, yaani tusiingize siasa kwenye hili, hii reli tunahiitaji sana kuliko siasa zetu za maji taka
February 5, 2020
Kilosa, Tanzania
Wahandisi : Reli ya kati ihamishwe toka eneo la mafuriko na pia SGR kuchukua miaka 15 kukamilisha
Wakati wa ukaguzi wa uharibifu wa njia ya reli ya kati sehemu za Gulwe na Kilosa, wataalamu wa ujenzi wa reli wamebainisha kuwa Tanzania itaendelea kuitumia reli ya mkoloni kwa miaka zaidi ya 10 ijayo.
Pia Reli mpya ya SGR itachukua takriban miaka 15 kumalizwa kujengwa hilo limebainishwa ktk eneo la reli ya kati lililokumbwa na mafuriko yasiyo ya kawaida wakati jopo la wahandisi na mkurugenzi mkuu walipokuwa wanajadili athari za mafuriko na changamoto za reli ya mkoloni na reli mpya ya SGR.
TRC inapoteza zaidi ya milioni 100 kwa siku kutokana na kusitisha safari reli ya kati. Na ili kukabiliana na mafuriko inabidi reli ya kati ihamishiwe mlimani na mlima huo unahitaji kuchongwa pia .
Uharibifu ktk eneo la mto Mkondoa ni mkubwa sana na ingawa eneo hilo la Gulwe Kilosa hakuna mvua lakini mvua kubwa zinazonyesha mikoa ya Iringa na Dodoma inaingiza kiasi kikubwa cha maji mto Mkondoa.
Source: TRC Reli TV
Aaah wapi Maji ni yanayotokea Iringa huko kupitia mto KondoaLeo nimemsikia MD akisema mkoloni alijenga mabwawa matatu yakikinga maji Hawa jamaa zetu wakayatelekeza yakajaa mchanga na kufa, kumbe maji yanayosomba reli na barabara yanatoka kenya!
Hapana mkuu maji ya iringa hio yanaenda stigla joji, haya yanatoka ngorongoro manyara Hadi morogoro
Kwa hiyo SGR imelarabatiwa ?Miaka 15 ni kuendelea kutumika baada ya kukarabati sio inakarabatiwa kwa miaka15 acha uzwazwa
Isikilize hiyo clip ya video mhandisi mtanzania mwenzetu mzalendo kabisa mwenye utaalamu na mzoefu akifanya kazi pamoja na wahandisi toka Turkey na China , amerudia zaidi ya mara moja kuwa mradi wa SGR Reli Mpya mpaka ukamilike utachukua miaka hata 15 (kumi na tano).