Mhandisi: Reli ya SGR mpya kuchukua miaka 15 kumalizika

Mhandisi: Reli ya SGR mpya kuchukua miaka 15 kumalizika

Miaka 15 ni kuendelea kutumika baada ya kukarabati sio inakarabatiwa kwa miaka15 acha uzwazwa
Wahandisi : Reli ya kati ihamishwe toka eneo la mafuriko na pia SGR kuchukua miaka 15 kukamilisha
 
John heche alisema hiyo reli yenu ya SGR ikiisha kufikia 2030 basi anarudi kuchimba madini anaachana na siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
leo 2020 tuna miaka miwili tangu SGR kuanza kujengwa ukichukua 15yrs tutakuwa tumebaki na 13yrs ndio mradi utakamilika.
haya 2020 + 13yrs =2033 ndio mradi utakamilika sasa hapo MH HECHE atakuwa amesharudi machimbo😃😃😃
Nb: MEKO alitoa mmrejesho kuwa atahakikisha .miradi yote ikiwemo SGR anaimaliza kabla hajapumzika😂😂😂😂
 
Kwa hiyo SGR hiyo itakayokamilika ni kutoka kwa miaka 15 ni kutoka Dar to Dom sasa hiyo mpaka ifike Mza jumla itakuwa miaka 30 na Rusumo ongeza 8 mingine

MwanaCCM akisubiri SGR 👇
CpsXTVnXYAAwDkR.jpg
 
Hii miradi mikubwa ni ngoma nzito, bora sisi walipa kodi tukawa tunapewa taarifa kila baada ya robo mwaka. Wanasiasa wa CCM Mpya wao huongea kama SGR reli mpya itakwisha na kukamilika 2020.
 
10 Nov 2019
Masanja Kadogosa amesema mpaka sasa ujenzi wa Reli ya kisasa (SGR), umefikia asilimia 71. Ameeleza mpaka mwezi April 2020, kipande cha Dar es Salaam hadi Morogoro kitakuwa kimekamilika na kile cha Morogoro hadi Dodoma kikitarajiwa kukamilika mwaka 2021.

 
10 Nov 2019
Masanja Kadogosa amesema mpaka sasa ujenzi wa Reli ya kisasa (SGR), umefikia asilimia 71. Ameeleza mpaka mwezi April 2020, kipande cha Dar es Salaam hadi Morogoro kitakuwa kimekamilika na kile cha Morogoro hadi Dodoma kikitarajiwa kukamilika mwaka 2021.

SGR kipande cha Dar Moro kuanza kazi labda 2021

Kuna vipande vingi kuanzia Dar havijamalizika.

Madaraja Ruvu bado

Station nyingi bado sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
February 5, 2020
Kilosa, Tanzania

Wahandisi : Reli ya kati ihamishwe toka eneo la mafuriko na pia SGR kuchukua miaka 15 kukamilisha

Wakati wa ukaguzi wa uharibifu wa njia ya reli ya kati sehemu za Gulwe na Kilosa, wataalamu wa ujenzi wa reli wamebainisha kuwa Tanzania itaendelea kuitumia reli ya mkoloni kwa miaka zaidi ya 10 ijayo.




Pia Reli mpya ya SGR itachukua takriban miaka 15 kumalizwa kujengwa hilo limebainishwa ktk eneo la reli ya kati lililokumbwa na mafuriko yasiyo ya kawaida wakati jopo la wahandisi na mkurugenzi mkuu walipokuwa wanajadili athari za mafuriko na changamoto za reli ya mkoloni na reli mpya ya SGR.

TRC inapoteza zaidi ya milioni 100 kwa siku kutokana na kusitisha safari reli ya kati. Na ili kukabiliana na mafuriko inabidi reli ya kati ihamishiwe mlimani na mlima huo unahitaji kuchongwa pia .

Uharibifu ktk eneo la mto Mkondoa ni mkubwa sana na ingawa eneo hilo la Gulwe Kilosa hakuna mvua lakini mvua kubwa zinazonyesha mikoa ya Iringa na Dodoma inaingiza kiasi kikubwa cha maji mto Mkondoa.

Source: TRC Reli TV


Ccm sikio la kufa

Waiambiwa wavimbisha shingo mamaeeee zako!

Here’s the truth!
 
Leo nimemsikia MD akisema mkoloni alijenga mabwawa matatu yakikinga maji Hawa jamaa zetu wakayatelekeza yakajaa mchanga na kufa, kumbe maji yanayosomba reli na barabara yanatoka kenya!
 
Isikilize hiyo clip ya video mhandisi mtanzania mwenzetu mzalendo kabisa mwenye utaalamu na mzoefu akifanya kazi pamoja na wahandisi toka Turkey na China , amerudia zaidi ya mara moja kuwa mradi wa SGR Reli Mpya mpaka ukamilike utachukua miaka hata 15 (kumi na tano).


Huyo Mhandisi ni msaliti.
 
Back
Top Bottom