Mkuu umewajibu kiuweledi sana. Wengine eti ameshindwa? Ameshindwaje wakati ni miongoni mwa watatu kati ya wanamuziki kibao wa Afrika! Akina Harmonize na Kiba watawasemaje sasa!
wamefaulu sababu ajashindaHawajafaulu chochote.
Wangefaulu ni pale angekua disqualified na kuondolewa kwenye kinyang'anyiro.
Ni kelele tu za wanaharakati uchwara.
Unajiita Eng hata kuandika hujui?wamefaulu sababu ajashinda
kujua kuandika kunakusaidia Nini? Kichwa kigumu kweli, unaweza kuwa na malengo mengi hafu likatimia moja, unakuwa umefanikiwa badoUnajiita Eng hata kuandika hujui?
Anyway, lengo lao halikua asisinde, lilikua aondolewe kwenye kinyang'anyiro.
Kushinda ama kushindwa ni matokeo tu ya mchezo.
Sio wanaharakati sema wapenda haki.Wanaharakati Twitter wafaulu!
”….halikuwa asishinde, lilikuwa…”Unajiita Eng hata kuandika hujui?
Anyway, lengo lao halikua asisinde, lilikua aondolewe kwenye kinyang'anyiro.
Kushinda ama kushindwa ni matokeo tu ya mchezo.
Huu umasikini wa wabongo chanzo chake ni CCM kung’ang’ania madaraka kwa zaidi ya miaka 60Wewe na werevu wako ila Mondi anaweza kukulisha wewe pamoja na ukoo wako wote!
Wabongo umasikini umeathiri hadi akili
gundu! almasi anawezaje kumshinda burna boy ambaye anatoa ngoma kali na albam bora duniani?Watu walishamuwekea gundu mapema hivyo kukosa kwake kulitarajiwa.
Ila jambo jema ni kwamba amewawakilisha vyema watu wa Jamii ya Kimasai wa kutokea kule Kenya na Tanzania.
Hongera kwake walau kwa kushika nafasi ya Tatu.
Wanapenda Haki na Wachukia Udikteta wa Mwendazake hata wanaccm tumefurahi kushindwa kwa Mtu Aliyekuwa Anamsifia anayetesa WananchiCHADEMA hao......!