That niga is cursed…. Mtu kazaliwa kwenye ufukara na ushenzi usiomithilika Tandale atanizidi nini mtoto wa Upanga born in town kitambo?na wewe ni masikini anaemchukia Mondi?
Sasa mbona unaonekana una umasikini mwingi sana?That niga is cursed…. Mtu kazaliwa kwenye ufukara na ushenzi usiomithilika Tandale atanizidi nini mtoto wa Upanga born in town kitambo?
nimekuja ulaya wakati huyo dogo hata ndoto ya kufika hapo hana… huwa namuona Kama cursed person like you…
Sasa mbona unaonekana una umasikini mwingi sana?
Hawajafaulu,wanaharakti wao walitaka aondolewe kwenye kinyang'anyiro.. kitu ambacho walifeliWanaharakati Twitter wafaulu!
Duh.... Miandiko ya kimaskini utaijua...usiombe uwe maskini afu na stress juuUmaskini unao wewe. Ni kawaida tajiri kumchukia maskini. Diamond hata ashike nini to me I will see him as a cursed person.
Hata nyimbo na maisha anayoishi yamejaa laana tupu
Ndio maana hadhira yake ni washenzi washenzi wenzie wasio na taraja lolote la kesho Kama wewe. Lunatics
Duh.... Miandiko ya kimaskini utaijua...usiombe uwe maskini afu na stress juuUmaskini unao wewe. Ni kawaida tajiri kumchukia maskini. Diamond hata ashike nini to me I will see him as a cursed person.
Hata nyimbo na maisha anayoishi yamejaa laana tupu
Ndio maana hadhira yake ni washenzi washenzi wenzie wasio na taraja lolote la kesho Kama wewe. Lunatics
Mkuu mtu yoyote anayejinasibu na Jiwe lazima akwame mwisho wa siku.Mtapasuka kwa wivu wakishamba hivi afrika kuna wasanii wangapi mpaka diamond na wakina b.boy kuwa nominated ata hapo alipofikia inatosha. Kama ni safari ya mbinguni ni bado kama nusu km afike acheni UChoko .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]leo hawana hata hamu ya kuamka.
Haaaaah likawa linashangaa tyuuh, wenzie wako busy alidhani kule kuna ulinzi shirikishi wa sungu sungu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilivaa kam mganga wa kienyeji lkn wapi....
Kwahiyo ww unadhali zile kula zote za petition zilikuwa za bure?Kashindwa sababu ya kua lazima mmoja ashinde si kwa kua Wanaharakati mchwara wamepiga kelele... wasitake kujipa umuhimu usiostahili.
Wangefanikiwa na ile petition ya kumuondoa kwenye kinyang'anyiro hapo ndio tungejua wananguvu ila ushindi wa Burna Boy wao wasijitafutie umaarufu usiowahusu
Utopolo tuKwahiyo ww unadhali zile kula zote za petition zilikuwa za bure?
ze co mi burnabooooy(marijuana voice)[emoji3][emoji3][emoji3]They call me BUUUUUUUUUUURNAAAAAAAAAAA...
Sijibizani na wavimba macho. Leo hii una komenti kuhusu Diamond. Uliishawahi kujiuliza lini hata majirani zako watatumiana sms kuhusu wewe zaidi ya kutaarifiana kuhusu msiba wako utakapotokea?Acha ngonjera twambie kaja na nini?