Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ndio ilitoa vibali vya usajili wa kanisa la SDA hivyo wapo chini ya serikaliHivi mashtaka ya wizi wa fedha za kanisa yanawahusu nini mawakili wa serikali? Au SDA inamilikiwa na serikali?
Serikali ina dini?Serikali ndio ilitoa vibali vya usajili wa kanisa la SDA hivyo wapo chini ya serikali
Watu watatu wakiwemo Mhasibu na Ofisa Tehama wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania (SDA), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka manane, likiwamo la kutakatisha fedha na wizi wa Sh717 milioni mali ya kanisa hilo.
Washitakiwa hao ni ofisa Tehema, Wilson Mapande (35) mhasibu, Winnie Owino (33) na mfanyabiashara, Nicolaus Owino (29).
Watatu hao wamefikishwa mahakamani hapo jana Septemba 25, 2024 na kusomewa mashitaka na Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga akishirikiana na Wakili wa Serikali, Aaron Titus.
Kabla ya kuwasomea mashitaka, hakimu Malewo alisema washitakiwa hawatakiwi kujibu chochote kutokana na Mahakama hiyo kutokuwa na mamlaka ya kusikiliza kesi za uhujumu uchumi.
Amesema mashitaka ya kutakatisha fedha yanayowakabili washitakiwa hayana dhamana kwa mujibu wa sheria, hivyo wanatakiwa kusikiliza mashitaka na hawatatakiwa kujibu chochote.
Akiwasomea mashitaka, wakili Katuga amedai wanakabiliwa na mashitaka manane, la kwanza likiwa ni kuongoza genge la uhalifu, la pili wizi na la tatu hadi la nane ni utakatishaji fedha.
Katika shitaka la kwanza linalowakabili washitakiwa wote, amedai kati ya Mei 2021 na Januari 2023, waliongoza genge la uhalifu kisha kujipatia Sh717.126 milioni kutoka kwenye akaunti ya benki ya CRDB mali ya kanisa hilo.
Shitaka la pili la wizi linamkabili Mapande pekee, anayedaiwa kati ya Mei 2021 na Januari 2023 akiwa mtumishi wa kanisa hilo aliiba Sh717 milioni.
Katika shitaka la tatu la utakatishaji fedha, inadaiwa kwa kipindi hicho Mapande alifungua akaunti benki ya CRDB yenye jina lake akaingiza Sh396.629 milioni.
Shitaka la nne linawakabili Mapande na Winnie wanaodaiwa katika kipindi hicho walifungua akaunti benki ya CRDB yenye jina la Winnie wakaingiza Sh208.468 milioni.
Mbali na hilo, Mapande na Owino wanadaiwa katika shitaka la tano walifungua akaunti benki hiyo na kuingiza Sh112.029 milioni kwa jina la Owino.
Shitaka la sita hadi la nane, linamkabili Mapande na Winnie wanaodaiwa katika kipindi hicho walitumia fedha hizo kununua magari mawili aina ya Toyota Harrier na Toyota Crown. Pia wanadaiwa kununua nyumba eneo ambalo halijapimwa katika Mtaa wa Mtambani, Mapinga, Bagamoyo.
Upande wa mashitaka umedai upelelezi wa shauri hilo haujakamilika, hivyo umeiomba Mahakama kuipangia kesi hiyo tarehe kwa ajili ya kutajwa.
Hakimu Malewo ameahirisha kesi hiyo hadi Oktoba 9, 2024 kwa ajili ya kutajwa. Washitakiwa wote wamepelekwa rumande.
MWANANCHI
Sasa kuna haja gani ya kwenda kanisani si tuwe tu tunaabudia nyumbani katika roho na kweli badala ya kwenda kanisani kukamuliwa sadaka halafu zinaibiwa na wajanja wachache?
Mmh wasabato wanapenda kesi sana hao jamaa nawaonea huruma ingekuwa madhehebu mengine wangefungafunga yaishe ila hapo watatafute wanasheria wanzuri tu angalau issue iwe ndogo mahakamani..Watu watatu wakiwemo Mhasibu na Ofisa Tehama wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania (SDA), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka manane, likiwamo la kutakatisha fedha na wizi wa Sh717 milioni mali ya kanisa hilo.
Washitakiwa hao ni ofisa Tehema, Wilson Mapande (35) mhasibu, Winnie Owino (33) na mfanyabiashara, Nicolaus Owino (29).
Watatu hao wamefikishwa mahakamani hapo jana Septemba 25, 2024 na kusomewa mashitaka na Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga akishirikiana na Wakili wa Serikali, Aaron Titus.
Kabla ya kuwasomea mashitaka, hakimu Malewo alisema washitakiwa hawatakiwi kujibu chochote kutokana na Mahakama hiyo kutokuwa na mamlaka ya kusikiliza kesi za uhujumu uchumi.
Amesema mashitaka ya kutakatisha fedha yanayowakabili washitakiwa hayana dhamana kwa mujibu wa sheria, hivyo wanatakiwa kusikiliza mashitaka na hawatatakiwa kujibu chochote.
Akiwasomea mashitaka, wakili Katuga amedai wanakabiliwa na mashitaka manane, la kwanza likiwa ni kuongoza genge la uhalifu, la pili wizi na la tatu hadi la nane ni utakatishaji fedha.
Katika shitaka la kwanza linalowakabili washitakiwa wote, amedai kati ya Mei 2021 na Januari 2023, waliongoza genge la uhalifu kisha kujipatia Sh717.126 milioni kutoka kwenye akaunti ya benki ya CRDB mali ya kanisa hilo.
Shitaka la pili la wizi linamkabili Mapande pekee, anayedaiwa kati ya Mei 2021 na Januari 2023 akiwa mtumishi wa kanisa hilo aliiba Sh717 milioni.
Katika shitaka la tatu la utakatishaji fedha, inadaiwa kwa kipindi hicho Mapande alifungua akaunti benki ya CRDB yenye jina lake akaingiza Sh396.629 milioni.
Shitaka la nne linawakabili Mapande na Winnie wanaodaiwa katika kipindi hicho walifungua akaunti benki ya CRDB yenye jina la Winnie wakaingiza Sh208.468 milioni.
Mbali na hilo, Mapande na Owino wanadaiwa katika shitaka la tano walifungua akaunti benki hiyo na kuingiza Sh112.029 milioni kwa jina la Owino.
Shitaka la sita hadi la nane, linamkabili Mapande na Winnie wanaodaiwa katika kipindi hicho walitumia fedha hizo kununua magari mawili aina ya Toyota Harrier na Toyota Crown. Pia wanadaiwa kununua nyumba eneo ambalo halijapimwa katika Mtaa wa Mtambani, Mapinga, Bagamoyo.
Upande wa mashitaka umedai upelelezi wa shauri hilo haujakamilika, hivyo umeiomba Mahakama kuipangia kesi hiyo tarehe kwa ajili ya kutajwa.
Hakimu Malewo ameahirisha kesi hiyo hadi Oktoba 9, 2024 kwa ajili ya kutajwa. Washitakiwa wote wamepelekwa rumande.
MWANANCHI
CRDBHizi HeLa ni mfumo wa digital ulichezewa na insiders.
Tuliaminishwa tuhamie digital ndo juu kwa juu wakapiga. Ndo maana kuna afisa tehama na wahazini hapo. Na bado chain ni ndefu basi tu waliokutwa na hatia moja kwa moja ni hao
Imagine pesa inawekwa kwa akaunti ya mtu binafsi as if Kanisa haina Bank account..kuaminiana sana kunatugharimu wakati Pesa hiyo hiyo ilimsaliti Yesu..Ifike pahala makanisa yatengeneza mifumo ya kuthibiti utakatishaji fedha kuwafuta ushirika tu haitoshi na zitungwe sheria za kuwawajibisha hawa wezi hakuna kuchuachia Mungu tenaWalishafutwa
Tuhuma hizi kwakuwa fedha ziliwekwa kwa account zao zinatosha kabisa kuwatoa
Hizi zilihamishwa kwa wizi wa kidigitali sio kwa hiyari ya kanisaImagine pesa inawekwa kwa akaunti ya mtu binafsi as if Kanisa haina Bank account..kuaminiana sana kunatugharimu wakati Pesa hiyo hiyo ilimsaliti Yesu..Ifike pahala makanisa yatengeneza mifumo ya kuthibiti utakatishaji fedha kuwafuta ushirika tu haitoshi na zitungwe sheria za kuwawajibisha hawa wezi hakuna kuchuachia Mungu tena
Unasali wapi cacutee kesho nije kanisani kwenu. Nilishaacha kutoa sadaka mda sana. Natoa for a purpose only, makambi, majengo..hivyo yani.Kesho sadaka zitapungua Sanaa
Nasali mbezi juuUnasali wapi cacutee kesho nije kanisani kwenu. Nilishaacha kutoa sadaka mda sana. Natoa for a purpose only, makambi, majengo..hivyo yani.
Hee kumbe watu wapo digital advanced hivo..aiseeHizi zilihamishwa kwa wizi wa kidigitali sio kwa hiyari ya kanisa
Noma sana!Kama akina Masanja wamefungua kanisa wewe unakwama wapi mkuu? Hadi kiboko ya wachawi anakuzidi ujanja? Fungua kanisa upige chekeli.
Kanisa linahubiri msamaha. Watoe mfano hapa.Ikibainika kama ni kweli hawa wafutwe ushirika haraka sana