cacutee
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 1,333
- 3,512
Wewe huoni Harrier zimenunuliwa na crownMby zaidi ni pale pesa zote zilishakwisha na mby zaidi ziwezilitawanyikia kwenye bata 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe huoni Harrier zimenunuliwa na crownMby zaidi ni pale pesa zote zilishakwisha na mby zaidi ziwezilitawanyikia kwenye bata 😂😂😂
Omba uwe mhazini au uwe karibu na mhazini utainjoi sanaaaKuna msabato nilimaliza nae chuo akaajiriwa na kanisa.. ndani ya muda mfupi sana akawa ni mtu mwenye pesa mingi laana. Kumbe kuna madili mazito kanisani.
Hela za kanisa sizitaki kabisa.Omba uwe mhazini au uwe karibu na mhazini utainjoi sanaaa
Hapo kwenye utakatishaji.Huwa wana Bibilia na kanuni ya kanisa kama katiba yao, hivyo huenda kama Kanisa wametumia njia zote za kanisa hao mafisadi wamekaidi na kushupaza shingo zao ,sasa kama sikosei kanuni yao inasema washughulikwe kama watu wa mataifa kufuatana pia na Mathayo 18:15-17 japo ni hatua ya mwisho kabisaHivi mashtaka ya wizi wa fedha za kanisa yanawahusu nini mawakili wa serikali? Au SDA inamilikiwa na serikali?
Kwa kosa lipi ?Ikibainika kama ni kweli hawa wafutwe ushirika haraka sana
Mambo ni mengi hata kule katoliki wanaua ma albino.Hii nchi ngumu sana. Hata kule KKKT usione akina Malasusa wanapang'ang'ania. Sio bure. Wanatumia hadi ndumba kuingia madarakani ili tu wapige hela. Hakuna cha kutumikia Mungu wala nini Watu wanatumikia matumbo yao.
omba cheo mkuu utembee na mpungaDuh kanisa langu
Kweli zina laanaHela za kanisa sizitaki kabisa.
Mwingine kapiga million 200 hapo makanisa ya Kati mikocheni (sitataja kanisa). Amepiga kwenye lipa namba. Ashajenga mjengo mbweni amehama na kanisa. Mhazini Yule alikuwa mlevi kupindukia na mzee ww bata sanaaa.
Analipa kwa mwez sijui laki 4 zile kila mwezii
Na hapo wazee wa kanisa bado wamemtetea eti kanisa haliendi mahakamani.
mwizi ni mwizi tu kanisa linabeba magugu na nganoKumbe kuna WASABATO WEZI ?
Union ipi?Ila walionaswa wachache Sana
Naskia Hadi watoto wa wachungaji walikuwepo Ila naona kama wamechomolewaaa wamebaki kondoo 😂
kwa SDA hapana wanakanuni zao hatakama zingeingizwa kwenye akaunti ya pastor,uwizi ni uwizi tuZingeingia akaunti ya pastor pasinge wepo kelele
hujielewi kwaniniTaasis za dini zilipe kodi
Halafu wasabato hupinga TEHAMA imekuwaje tena Wana hadi afisa?
Pesa azile Mwoposa peke yake si ndio oya hapo machinjioni na nyinyi pigeni tukio IT umelala lala tu wenzio wanapiga pesa huku we kazi kurekebisha majukwaa ya mwoposa tu na kutengeneza graphics za matangazo yake piga hela hizo hapoIkibainika kama ni kweli hawa wafutwe ushirika haraka sana