Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Happiness on which grounds? Please substantiate your claim.The good thing is that those are youth, so for me, it's just happiness
c kwami hujanielewa hapo juu kunajamaa kasema kumbe kanisa mpaka lina afisa tehama wakati sisi kanisa letu hatuna afisa tehama,ndo nikamshauri wahamie digital mzee japo ina hasara zake kama hivoKwani hujaona hadi IT kahusika mkuu? Hiyo tayari ni digital mzee. Unakwama wapi?
Aliupiga mwingi sana kwenye kuelezea hasara ya usajili wa Azizi Ki.Nilivyoona jina la kike nafsi yangu imetulia. Nikajua HASIBU letu la JF OKW BOBAN SUNZU.
Sasa kama kanisa lenu ni mali ya mtu binafsi mtakuwaje na mtu kama huyo?Eeeh..kumbe kanisa letu tuko nyuma..hatunaga afisa TEHAMA🤔
Wawasamehe, hivyo ni vijisenti tu.Inasikitisha kanisa la MUNGU.
Wala hujadanganya ... Msala ulishatokea viongozi wa Jimbo wakalengeshewa ajali wakafa kuanzia mwenyekiti katibu na mhazini siku moja pale kongowee kisa kugombea vyeo. Mwingine alipaswa na yeye asafiri nao Ila alitonywa asisafiri hiyo siku Kwan kuna bomu akatii Akapona.Hii nchi ngumu sana. Hata kule KKKT usione akina Malasusa wanapang'ang'ania. Sio bure. Wanatumia hadi ndumba kuingia madarakani ili tu wapige hela? Hakuna cha kutumikia Mungu wala nini Watu wanatumikia matumbo yao.
Ila walionaswa wachache SanaHYO CHAIN NI KUBWA SANA.
Endelea kutoa sadaka tukuombee pepoHizi HeLa ni mfumo wa digital ulichezewa na insiders.
Tuliaminishwa tuhamie digital ndo juu kwa juu wakapiga. Ndo maana kuna afisa tehama na wahazini hapo. Na bado chain ni ndefu basi tu waliokutwa na hatia moja kwa moja ni hao
Kama akina Masanja wamefungua kanisa wewe unakwama wapi mkuu? Hadi kiboko ya wachawi anakuzidi ujanja? Fungua kanisa upige chekeli.Mi maisha yakinipiga sana nafungua kanisa Najiita Nabii Lucha Mzee wa kuwapaka nakua na mafuta yangu pia
Ila walionaswa wachache Sana
Naskia Hadi watoto wa wachungaji walikuwepo Ila naona kama wamechomolewaaa wamebaki kondoo
Tehama waibiwemko analog hamieni digital zama zimebadilika
Ila walionaswa wachache Sana
Naskia Hadi watoto wa wachungaji walikuwepo Ila naona kama wamechomolewaaa wamebaki kondoo
Ila walionaswa wachache Sana
Naskia Hadi watoto wa wachungaji walikuwepo Ila naona kama wamechomolewaaa wamebaki kondoo