Mhasibu, Afisa TEHAMA wa Kanisa la SDA wapandishwa kizimbani kwa Wizi wa Tsh. Milioni 717

 

Attachments

  • FB_IMG_1727368868627.jpg
    57.3 KB · Views: 6
Sasa kuna haja gani ya kwenda kanisani si tuwe tu tunaabudia nyumbani katika roho na kweli badala ya kwenda kanisani kukamuliwa sadaka halafu zinaibiwa na wajanja wachache?


Waebrania 10.25


"wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia"



wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine 👉 kukusanyika ni desturi ya watu wa MUNGU Mkuu Also ni muhimu kwaajili ya kufahamiana na watu mbalimbali na kwenda KUSIKIA kanuni na maelekezo yanayotuongoza kumuabudu MUNGU


Naludia tena MUNGU haabudiwi Mahali fulani Mfano nyumbani au Mahali popote bali anaabudiwa katika Roho na katika kweli


Neno "katika" kwa kiswahili chepesi ni 👉 " Ndani ya"


Kweli ni NENO la MUNGU Ndio hutupa kanuni na taratibu na maelekezo ya kumuabudu MUNGU kwa kila sekunde ipitayo Kwaiyo hatuwezi kumuabudu MUNGU nje ya NENO lake never
 
Mmh wasabato wanapenda kesi sana hao jamaa nawaonea huruma ingekuwa madhehebu mengine wangefungafunga yaishe ila hapo watatafute wanasheria wanzuri tu angalau issue iwe ndogo mahakamani..
 
Hizi HeLa ni mfumo wa digital ulichezewa na insiders.
Tuliaminishwa tuhamie digital ndo juu kwa juu wakapiga. Ndo maana kuna afisa tehama na wahazini hapo. Na bado chain ni ndefu basi tu waliokutwa na hatia moja kwa moja ni hao
CRDB
 
Walishafutwa
Tuhuma hizi kwakuwa fedha ziliwekwa kwa account zao zinatosha kabisa kuwatoa
Imagine pesa inawekwa kwa akaunti ya mtu binafsi as if Kanisa haina Bank account..kuaminiana sana kunatugharimu wakati Pesa hiyo hiyo ilimsaliti Yesu..Ifike pahala makanisa yatengeneza mifumo ya kuthibiti utakatishaji fedha kuwafuta ushirika tu haitoshi na zitungwe sheria za kuwawajibisha hawa wezi hakuna kuchuachia Mungu tena
 
Hizi zilihamishwa kwa wizi wa kidigitali sio kwa hiyari ya kanisa
 
Kesho sadaka zitapungua Sanaa
Unasali wapi cacutee kesho nije kanisani kwenu. Nilishaacha kutoa sadaka mda sana. Natoa for a purpose only, makambi, majengo..hivyo yani.
 
Unasali wapi cacutee kesho nije kanisani kwenu. Nilishaacha kutoa sadaka mda sana. Natoa for a purpose only, makambi, majengo..hivyo yani.
Nasali mbezi juu
Ila zaka usiachee
 
kwa hiyo lengo la kuzihamisha katika account zao binafsi lengo nini hasa? mbona pesa mingi sana au walikuwa wanahamishia kidogo kidogo kwa account zao binafsi kwa kipindi kirefu hadi account zao zikavimba wakashtukiwa ? Hii ni cheni kubwa ufanyike uchunguzi.
 
Wajinga wakileta PESA ni kuzipiga tu,,,, sasa kwanini wapelekwe Kizimbani,, si mfanye MAOMBI na MAOMBEZI na Mungu atatenda? 🤣 🤣
Dini ni UTAPELI...
 
Mwasomola ameomba raisi samia ashughulike na Hawa wezi wa hizi pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…