Sausi Alex
JF-Expert Member
- Jan 26, 2021
- 239
- 181
Huyo aliyetoa hiyo hukumu amemuhukumu binadamu mithiri Kama yeye au ni Alien😳😳😳😳
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andrew Chenge hata mahakamani hajapelekwa hadi leoHalafu mafisadi yanapeta mtaani..?!
Kwani huwa anashauriwa? Mali zake huwa zinachukuliwa na kupigwa mnada na account yake ya benki inazuiwa.Ni ndezi pekee atakaye toa hela pamoja na kukubali kufungwa.
Kwani huwa anashauriwa? Mali zake huwa zinachukuliwa na kupigwa mnada na account yake ya benki inazuiwa.