Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Alitekwa kama Leo jion kesho ilikua anamtambulisha mchumba wake...so wakamfunga na kumchoma na petrol.
Wasamaria wema ndo kumuokota akapelekwa muhimbili ....kauguzwa almost siku kama 4_5....na michango tumechangishana ya kuongeza nguvu kumuuguza maana alikua icu ila juzi akafariki..
Ninamfahamu na msiba naujua ila kisa Kwa kweli nahisi kinahusiana na mahusiano japo Sina uhakika maana unashindwa hata kuwahoji wafiwa .Kwa Sasa tunatazamana TU
Kwa udogo sana unaweza ukahusisha na mambo mengine ila nashangaa watu hapa mnahusisha na siasa
Mahusiano ya kimapenzi?
 
Duh kuna msela alimwmwaga....hafu itakuwa huyo msela ni marioo, kaona visenti vya benki anaenda kuhongwa mwingine[emoji848][emoji848]

Jus thinking
Leo ndo tumeaga muhimbili kesho kibaha...Bado Kuna sintofahamu haijulikani dear....au labda uhasama mtu akaamua kutumia hii scenario ya kwamba anaenda mtambulisha mchumba nikimuua(maana waliomteka walikusudia Hilo) itajuliana kama ni swala la mahusiano mambo ya alibi sijui
 
Mhasibu wa Benki ya BOA wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Martha Towa (30), amefariki dunia baada ya kutekwa na watu WASIOFAHAMIKA kisha kuchomwa moto kwa kutumia mafuta yanayodhaniwa ni petroli wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo akizungumza na gazeti la Nipashe ameeleza kuwa tukio hilo lilitokea Machi 3 mwaka huu, maeneo ya Mitamba mkoani Pwani, ambapo wasamaria wema walilijulisha Jeshi la Polisi kuhusu tukio hilo.

Alisema wasamaria wema walimkuta Martha, ambaye ni mkazi wa Kwa Mbonde akiwa na majeraha ya moto na kutoa taarifa polisi majira ya saa 4.30 usiku na polisi walikwenda na kumchukua kisha kumpeleka Hospitali ya Mkoa wa Pwani (Tumbi), Kibaha.

Alisema kuwa baadaye alihamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa matibabu zaidi na usiku wa kuamkia Machi alifariki dunia. Kamanda Lutumo alisema kutokana na mazingira yenye utata ya kifo hicho, Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi ikiwako kubaini sababu za kuchomwa moto.

Chanzo: Nipashe
 
Alitekwa kama Leo jion kesho ilikua anamtambulisha mchumba wake...so wakamfunga na kumchoma na petrol.
Wasamaria wema ndo kumuokota akapelekwa muhimbili ....kauguzwa almost siku kama 4_5....na michango tumechangishana ya kuongeza nguvu kumuuguza maana alikua icu ila juzi akafariki..
Ninamfahamu na msiba naujua ila kisa Kwa kweli nahisi kinahusiana na mahusiano japo Sina uhakika maana unashindwa hata kuwahoji wafiwa .Kwa Sasa tunatazamana TU
Kwa udogo sana unaweza ukahusisha na mambo mengine ila nashangaa watu hapa mnahusisha na siasa
Kapora demu wa mtu huyo bila shaka mwenye demu ni mkurya kafanya yake 😀😀😀
 
Duh kuna msela alimwmwaga....hafu itakuwa huyo msela ni marioo, kaona visenti vya benki anaenda kuhongwa mwingine[emoji848][emoji848]

Jus thinking
Kumbe huyo mhasibu ni mwanamke, nikajua labda ni jamaa. Ni mtu wa bank gani?

Well scenario inaweza kuwa mtu aliinvest sana kwake halafu akaja kuleta mambo ya kijinga. Imagine mtu anakuhudumia miaka yote akitegemea atakuoa halafu ndani ya week 1 tu unambadilikia na kumuona mshamba, sio kwa jitu la Mara 😀😀😀 lazma udedi.
 
Kumbe huyo mhasibu ni mwanamke, nikajua labda ni jamaa. Ni mtu wa bank gani?

Well scenario inaweza kuwa mtu aliinvest sana kwake halafu akaja kuleta mambo ya kijinga. Imagine mtu anakuhudumia miaka yote akitegemea atakuoa halafu ndani ya week 1 tu unambadilikia na kumuona mshamba, sio kwa jitu la Mara 😀😀😀 lazma udedi.
CRDB.Itakuwa alimwaga msela.
 
Alitekwa kama Leo jion kesho ilikua anamtambulisha mchumba wake...so wakamfunga na kumchoma na petrol.
Wasamaria wema ndo kumuokota akapelekwa muhimbili ....kauguzwa almost siku kama 4_5....na michango tumechangishana ya kuongeza nguvu kumuuguza maana alikua icu ila juzi akafariki..
Ninamfahamu na msiba naujua ila kisa Kwa kweli nahisi kinahusiana na mahusiano japo Sina uhakika maana unashindwa hata kuwahoji wafiwa .Kwa Sasa tunatazamana TU
Kwa udogo sana unaweza ukahusisha na mambo mengine ila nashangaa watu hapa mnahusisha na siasa
May his soul rest.
 
Back
Top Bottom