Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Mjinga gani anayeua mwanamke, ni kosa kubwa sana kuua wanawake na watoto. Kwa sababu hawana nguvu ya kujidefend wenyewe.
Me mwenyewe nmeumia sana kisa ni mwanamke tu why kwahyo wakamchoma na moto ili kukwepa ushaidi au , dah binaadamu
 
Huyo mdada wamemuonea Sana na possibly aliyechonga huo mchongo ni mwanamke mwenzake , au penzi lenye mgogoro , hvyo viwili hvyo
 
Mhasibu wa Benki ya BOA wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Martha Towa (30), amefariki dunia baada ya kutekwa na watu WASIOFAHAMIKA kisha kuchomwa moto kwa kutumia mafuta yanayodhaniwa ni petroli wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo akizungumza na gazeti la Nipashe ameeleza kuwa tukio hilo lilitokea Machi 3 mwaka huu, maeneo ya Mitamba mkoani Pwani, ambapo wasamaria wema walilijulisha Jeshi la Polisi kuhusu tukio hilo.

Alisema wasamaria wema walimkuta Martha, ambaye ni mkazi wa Kwa Mbonde akiwa na majeraha ya moto na kutoa taarifa polisi majira ya saa 4.30 usiku na polisi walikwenda na kumchukua kisha kumpeleka Hospitali ya Mkoa wa Pwani (Tumbi), Kibaha.

Alisema kuwa baadaye alihamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa matibabu zaidi na usiku wa kuamkia Machi alifariki dunia. Kamanda Lutumo alisema kutokana na mazingira yenye utata ya kifo hicho, Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi ikiwako kubaini sababu za kuchomwa moto.

Chanzo: Nipashe
Shinyanga huu mkoa na mingine ya wasukuma ukatili umezidi!
 
Mhasibu wa Benki ya BOA wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Martha Towa (30), amefariki dunia baada ya kutekwa na watu WASIOFAHAMIKA kisha kuchomwa moto kwa kutumia mafuta yanayodhaniwa ni petroli wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo akizungumza na gazeti la Nipashe ameeleza kuwa tukio hilo lilitokea Machi 3 mwaka huu, maeneo ya Mitamba mkoani Pwani, ambapo wasamaria wema walilijulisha Jeshi la Polisi kuhusu tukio hilo.

Alisema wasamaria wema walimkuta Martha, ambaye ni mkazi wa Kwa Mbonde akiwa na majeraha ya moto na kutoa taarifa polisi majira ya saa 4.30 usiku na polisi walikwenda na kumchukua kisha kumpeleka Hospitali ya Mkoa wa Pwani (Tumbi), Kibaha.

Alisema kuwa baadaye alihamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa matibabu zaidi na usiku wa kuamkia Machi alifariki dunia. Kamanda Lutumo alisema kutokana na mazingira yenye utata ya kifo hicho, Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi ikiwako kubaini sababu za kuchomwa moto.

Chanzo: Nipashe
Huu ni ukatili wa hali ya juu sana.
 
Mhasibu wa Benki ya BOA wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Martha Towa (30), amefariki dunia baada ya kutekwa na watu WASIOFAHAMIKA kisha kuchomwa moto kwa kutumia mafuta yanayodhaniwa ni petroli wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo akizungumza na gazeti la Nipashe ameeleza kuwa tukio hilo lilitokea Machi 3 mwaka huu, maeneo ya Mitamba mkoani Pwani, ambapo wasamaria wema walilijulisha Jeshi la Polisi kuhusu tukio hilo.

Alisema wasamaria wema walimkuta Martha, ambaye ni mkazi wa Kwa Mbonde akiwa na majeraha ya moto na kutoa taarifa polisi majira ya saa 4.30 usiku na polisi walikwenda na kumchukua kisha kumpeleka Hospitali ya Mkoa wa Pwani (Tumbi), Kibaha.

Alisema kuwa baadaye alihamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa matibabu zaidi na usiku wa kuamkia Machi alifariki dunia. Kamanda Lutumo alisema kutokana na mazingira yenye utata ya kifo hicho, Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi ikiwako kubaini sababu za kuchomwa moto.

Chanzo: Nipashe

Hapo watu watakuwa washapiga deal. Mare hemu anataka kusukumiwa lawama
 
Huyu Dada alienda Kibaha nia ilikuwa siku inayofuata amtambulishe Mchumba wake kwa Familia yake Kibaha,hivyo inaonekana kuna isu ya Mapenzi pengine huyo Mchumba wake alikuwa na Mchumba mwingine akamuacha akataka kumuoa huyu hivyo akaamua kumkomoa,nahisi hivyo tu
 
Back
Top Bottom