Maprimitives wa mapenzi ufanya hili, huwezi mlazimisha mtu akupende.Wanawake mara nyingi ni ishu za mapenzi. Huenda alivamia mume wa mtu au alimsaliti mtu.... mapenzi ni mambo ya kipumbavu. Kama huna akili kumuua mtu ni rahisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maprimitives wa mapenzi ufanya hili, huwezi mlazimisha mtu akupende.Wanawake mara nyingi ni ishu za mapenzi. Huenda alivamia mume wa mtu au alimsaliti mtu.... mapenzi ni mambo ya kipumbavu. Kama huna akili kumuua mtu ni rahisi.
Sometimes yupo mtu alimsomesha mwisho amefanikiwa akamuona kenge tu!(pia hilo silithibitishi)Sisemi kadhulumu,lakini unavyosema wanawake hawadhulumu una huakika kwa ilo?
Unyama atakao fanyiwa Dem na Dem mwenzake huwa ni mkubwa kuliko atakaofanyiwa na mwanaume.madem hawapendani mkuu Mwamba 777 ?
[emoji120]Umenijibia vzur Sana , bas tuu ningekuwa nakufahamu kesho tungeenda kupunga upepo palm village [emoji4]
Au alimnyakua kwa mwenzakeHuyu Dada alienda Kibaha nia ilikuwa siku inayofuata amtambulishe Mchumba wake kwa Familia yake Kibaha,hivyo inaonekana kuna isu ya Mapenzi pengine huyo Mchumba wake alikuwa na Mchumba mwingine akamuacha akataka kumuoa huyu hivyo akaamua kumkomoa,nahisi hivyo tu
Hajasomeshwa na mtu ..wazazi wanajiweza...Sometimes yupo mtu alimsomesha mwisho amefanikiwa akamuona kenge tu!(pia hilo silithibitishi)
Ila kiuhalisia tu,hata mwanaume kumsikia amechomwa moto hajaiba ni ngumu so tuhitimishe kusema huyu marehemu aliingia kwenye 18 za mtu akaliwa kichwa.
Pia naamini kama walimkuta bado ana uhai anaweza kuwa alifungua baadhi ya codes,Mungu amrehemu!
Ila binadamu ni kiumbe mshenzi sana sanaSometimes yupo mtu alimsomesha mwisho amefanikiwa akamuona kenge tu!(pia hilo silithibitishi)
Ila kiuhalisia tu,hata mwanaume kumsikia amechomwa moto hajaiba ni ngumu so tuhitimishe kusema huyu marehemu aliingia kwenye 18 za mtu akaliwa kichwa.
Pia naamini kama walimkuta bado ana uhai anaweza kuwa alifungua baadhi ya codes,Mungu amrehemu!
Huyu itakuwa Kuna mwanamke walikuwa wanashare huyo bwana daahHajasomeshwa na mtu ..wazazi wanajiweza...
Alikuwa maututi tangu kakutwa alikua icu mpaka mauti inamkuta
That's true nigga[emoji122][emoji122]Unyama atakao fanyiwa Dem na Dem mwenzake huwa ni mkubwa kuliko atakaofanyiwa na mwanaume.
Hata mwizi wa kike akikamatwa na mwanaume kipigo atachopata ni mpapaso tuu, hawezi pigwa kama watavompiga na kumchamba wanawake wenzake.
Au Kuna mtu mwingine kamkataa?Huyu itakuwa Kuna mwanamke walikuwa wanashare huyo bwana daah
Kuua ni kosa ila kusema mwanamke umfananishe na mtoto ni kujisumbua, yamkini hujakutana na mwanamke mshenzi kwenye maisha yako, isipokua swala la mtu aliyeuwawa ni kosa kwa wauji, maana hata kama ni mwanaume hapaswi kuuwawaMjinga gani anayeua mwanamke, ni kosa kubwa sana kuua wanawake na watoto. Kwa sababu hawana nguvu ya kujidefend wenyewe.
Mchumba ake akiminywa mbupu atasema kila kitu....wanaume nao sio wa kuwaamini sana in the name of mchumba[emoji848]Au Kuna mtu mwingine kamkataa?
Dunia hii
Leo anaagwa kibaha.Mchumba ake akiminywa mbupu atasema kila kitu....wanaume nao sio wa kuwaamini sana
Kama mamaake hapo ni anafeel kufa hivi duuh[emoji26][emoji26]Leo anaagwa kibaha.
Kwa kifupi the whole scenario ni ya masikitiko sana..imagine wazazi wake wanamuagaje mtoto wao kumbukumbu ipo wanabaki nayo
Mii bado naamini ni Mambo ya kazini,hasa Mambo ya Mikopo,kuna watu wameshapiga,kwa hiyo wanazani kwa kumuondoa Dada mrembo hapa Duniani watakua safe,kumbe ndiyo wamelitibua vibaya mnoo, maana Sasa hivi watakua wanapambana na spirit ya Marehemu! Damu ya Mtu nzito sana,haiwezi kwenda hivi hivi tu!!Mchumba ake akiminywa mbupu atasema kila kitu....wanaume nao sio wa kuwaamini sana in the name of mchumba[emoji848]