Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Sisemi kadhulumu,lakini unavyosema wanawake hawadhulumu una huakika kwa ilo?
Sometimes yupo mtu alimsomesha mwisho amefanikiwa akamuona kenge tu!(pia hilo silithibitishi)

Ila kiuhalisia tu,hata mwanaume kumsikia amechomwa moto hajaiba ni ngumu so tuhitimishe kusema huyu marehemu aliingia kwenye 18 za mtu akaliwa kichwa.

Pia naamini kama walimkuta bado ana uhai anaweza kuwa alifungua baadhi ya codes,Mungu amrehemu!
 
Sometimes yupo mtu alimsomesha mwisho amefanikiwa akamuona kenge tu!(pia hilo silithibitishi)

Ila kiuhalisia tu,hata mwanaume kumsikia amechomwa moto hajaiba ni ngumu so tuhitimishe kusema huyu marehemu aliingia kwenye 18 za mtu akaliwa kichwa.

Pia naamini kama walimkuta bado ana uhai anaweza kuwa alifungua baadhi ya codes,Mungu amrehemu!
Hajasomeshwa na mtu ..wazazi wanajiweza...
Alikuwa maututi tangu kakutwa alikua icu mpaka mauti inamkuta
 
Sometimes yupo mtu alimsomesha mwisho amefanikiwa akamuona kenge tu!(pia hilo silithibitishi)

Ila kiuhalisia tu,hata mwanaume kumsikia amechomwa moto hajaiba ni ngumu so tuhitimishe kusema huyu marehemu aliingia kwenye 18 za mtu akaliwa kichwa.

Pia naamini kama walimkuta bado ana uhai anaweza kuwa alifungua baadhi ya codes,Mungu amrehemu!
Ila binadamu ni kiumbe mshenzi sana sana
 
Mjinga gani anayeua mwanamke, ni kosa kubwa sana kuua wanawake na watoto. Kwa sababu hawana nguvu ya kujidefend wenyewe.
Kuua ni kosa ila kusema mwanamke umfananishe na mtoto ni kujisumbua, yamkini hujakutana na mwanamke mshenzi kwenye maisha yako, isipokua swala la mtu aliyeuwawa ni kosa kwa wauji, maana hata kama ni mwanaume hapaswi kuuwawa
 
Mchumba ake akiminywa mbupu atasema kila kitu....wanaume nao sio wa kuwaamini sana in the name of mchumba[emoji848]
Mii bado naamini ni Mambo ya kazini,hasa Mambo ya Mikopo,kuna watu wameshapiga,kwa hiyo wanazani kwa kumuondoa Dada mrembo hapa Duniani watakua safe,kumbe ndiyo wamelitibua vibaya mnoo, maana Sasa hivi watakua wanapambana na spirit ya Marehemu! Damu ya Mtu nzito sana,haiwezi kwenda hivi hivi tu!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom