Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Msijifiche kwenye tukio Moja, ilikua wazi ukiwa upinzani utashughulikiwa. List ni ndefu Kuna Mawazo, Saa nane, Katibu wa Hananasif, Kina Akwilina, Azory, manusura Lissu n.k alafu unamsafishaje huyo mtu kuwa hahusiki?

JPM mtasema mchapa kazi ila pia alikua katili na dikteta and you will never change that.
kuna ushaid wowote wa kuhusika kwake ? waafrika mnapenda udaku kuliko uhalisia , Panya road wanapiga tukio Kawe katikat ya kamb za jeshi na kituo cha polisi juu
 
Hata hili halikubaliki ukubali upumbavu kisa Magufuri hayupo,hili halikubaliki na waliohusika watafutwe na sheria ifuate mkondo wake,kama serikali ikitulia kama ilivyotulia kwenye swala la Lissu ninasema kuwa suspect namba one ni wao kama wakishindwa kuwakamata wahalifu.
Lissu hakutoa ushirikiano na jeshi la polisi sio siri
 
Sukuma gang ili kumchafua rais aliyepo madarakani
acha ukabila mkuu , mbona una akili barbaric hivyo , mzungumzie mlengwa sio kugusa mabila ya watu , ukabila popote huanza kiutan kaa hv mnaishia kuuana , Rwanda ukabila ulianza hv hv
 
Mkuu matukio ya uhalifu hayajawai kuisha hata ukiongoza wewe na ukawa clean ,huyo shujaa wenu katika kipindi chake hayo matukio yaliongezeka kwa kiwango cha juu sana....Wafuasi wa shujaa hamuwezi kumtetea JIKONO JANDAMA kwenye sector hiyo ,watu wengi walipotea ,siku hizi wanaokota miili kwenye viroba?
Kaangalie hotuba ya Mo anasema akitekwa na watu wanaongea kireno wametokea msumbiji , leo huko kaskazin mwa msumbiji kinaendelea nini , Vita sio kuvamia kambi ya jeshi tu bali hata kukuchafua pia ni mbinu ya kivita
 
Tangu jiwe ameondoka vifo vingapi vimeshatokea vya utata utata ??
panya road wametawala Tz nzima , huko mtwara hamuambiw hali sio nzuri kabisa pamoja na kuweka kambi mpakan , mwaka juzi december nlikuwa pale masasi bar ya Himo nkaona wanajeshi wanarudi wamechoka hatar , hamuambiw ila sio powa omben mungu tu mliamua kupenda afe
 
wahujumu uchumi hukumu yenu inawasubir unafiki sio solution , mnajua uchafu wenu na mnajuwa mzee walidhibit mnamalizia hasira kwake , kibaya zaid chuki zenu mnataka tuletea ukabila Wapmbavwww nyny , tumetoka karne ya 20 tunaingia karne ya 21 hlf mijinga inatuletea ukabila TUSHATOKA HUKO MPUMBV WW
Hata kuandika haujui.Sasa ndiyo umekaza mifupa unajibujibu nilichoandika?Mafi ya bata wewe!
 
Tutolee story za marehem , Wewe acha kuturudisha zama za giza , Mpenz wa ukabila ni yule maskini wa hoja
Alitukuta wamoja akaleta ukabila,uchama na ukanda ili atutawale vizuri,Mungu akasema noo hii ni Tanzania ya watu bila kujali chama,kabila dini na dunia ikashuhudia kifo chake cha aibu.
 
Enzi za jiwe kila nafsi ilikuwa hatarini. Yule alikuwa wakala halisi wa ibilisi
Huyu anayehusika na utekaji na mauaji yanayoendelea ni wakala mpya au ndio huyohuyo unayemjua wewe?!
Screenshot_20230312-161653.png
images (8).jpeg
 
Kaangalie hotuba ya Mo anasema akitekwa na watu wanaongea kireno wametokea msumbiji , leo huko kaskazin mwa msumbiji kinaendelea nini , Vita sio kuvamia kambi ya jeshi tu bali hata kukuchafua pia ni mbinu ya kivita

Mkuu issue ya MO imekaa kisanaa sana ,mimi nilifatilia hadi yule dereva waliosema alihusika kwa kumteka MO anakaa bahari beach,aliyemteka MO ni BASHITE.
 
Mimi kitaaluma kabisa ni muhasibu japo ninayoyafanya sshv ni nje ya hiyo prof, nimesha fanya kazi hiyo japo sikufika mbali nikachochora, najua hekaya za hawa mabwana na nina mifano hai ya madhila yanayo wakuta waasibu, nimesha wahi simulia siku moja mkasa mmoja wa muhasibu fulani kwenye moja ya thread japo siikumbuki ilikua ina husu nini, ila ili pelekea nikakumbuka huo mkasa na kuuchangia! Labda kwa fikra ndogo tu! Tofauti na ishu za ugoni nini kingine kinaweza kikasababisha tukio kama hilo kama sio zuluma ama ukuda makazini!? Kuna mahala tuliajiriwa kama wahasibu wanne hivi tukapewa tutorial ya kazi yao jinsi wanavyofanya, awali nilishituka, kulingana na utaratibu wao ikabidi tufanye kadiri walivyokua wanataka, kumbe tulikua mbuzi wa kafara
Alafu sehemu nyingi watu au vibarua wanawalaumu wahasibu, kwenye malipo wanafikili wanapunjwaau wanakula Ela zao, kumbe yeye kaambiwa na ngazi za juu jinsi ya kulipa.
 
Back
Top Bottom