Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Kama Ni huyu yatakuwa Ni mapenzi Kuna mwana akawekeza kwenye mbususu then mwingine anajivunia vilivyokomaa jamani. Tena atakuwa alikutana na mgeni wa mbususu Kama hizi jamaa akajitoa mpaka Iyo gari nadhani. Just my subjectivity na sio objective Ila remember hypothesis ndizo zinafanyiwa experiments or research conclusion inatoka katika Ile 5 steps of scientific procedures za kutafuta ukweli.
 
Tz hatuna ukabila , wewe unataka turudisha miaka ya 1960s , Hv upo timamu kwel ? au mnatumwa kuja kutugawa watz moderator piga ban wanaoleta ukabila ktk jamii , Unamchukia mtu na wafuasi mhit direct sio kutumia term ya kikabila
Wewe mbwiga Sukuma Gang siyo kabila ni wafuasi wa yule Mhutu mwovu aliyeko motoni. Usikurupuke.
 
Isije ikawa issue za mapenzi

Ova
Huyu Ni mahusiano na alivyokuwa huko shy Kuna wanaume Wana hela na wanapenda ke nyeupe pia kumbuka dada Ni mchaga watanguliza hela,hapa atakuwa aligharimikiwa ama alikula hela za kidume fulani na kuahidiana kuona kumbe alikuwa anatumiwa tu so may be jamaa akamaindi
 
Huyu Ni mahusiano na alivyokuwa huko shy Kuna wanaume Wana hela na wanapenda ke nyeupe pia kumbuka dada Ni mchaga watanguliza hela,hapa atakuwa aligharimikiwa ama alikula hela za kidume fulani na kuahidiana kuona kumbe alikuwa anatumiwa tu so may be jamaa akamaindi
Mkuu,hebu jaribu kumsikia baba yake alipotoa hotuba yake wakati wa kuuaga mwili wa binti yake
Mzee kaongea mambo fulani
Na nam nukuu "waliyofanya kitendo kile jamaa walikuwa proffesional killers"maana kwa suala la moto kuunguzwa Angelina,sema walimuaribu Figo so kilichomua ni tatizo la Figo

Ova
 
Mkuu,hebu jaribu kumsikia baba yake alipotoa hotuba yake wakati wa kuuaga mwili wa binti yake
Mzee kaongea mambo fulani
Na nam nukuu "waliyofanya kitendo kile jamaa walikuwa proffesional killers"maana kwa suala la moto kuunguzwa Angelina,sema walimuaribu Figo so kilichomua ni tatizo la Figo

Ova
Jamaniiii
 
Vifo vyenye utata vya ugoni, Samia hahusiki navyo.

Jiwe alikuwa anaua, anateka, anapora na kupiga watu risasi
Ni wapi na nani alithibitisha kama vifo vya watu hawa vinauhusiano na ugoni ikiwa polisi wenyewe hawajawakama watuhumiwa?
kwamba hao vijana waliopotea mpaka leo ni kwa sababu ya ugoni?
Viongozi wa dini na watu mbalimbali wanauawa kwa sababu ya ugoni?
Tusaidie ushahidi basi nasi tuondokane na hii sintofahamu.
 
Naskia na hili magu alifufuka akamteka na kumchoma alafu akarudi kaburini.

Huwezi amini leo yakianza mambo ya viroba beach mara kupotea watu lazima mama yetu naye atahusishwa binadamu hatuna jema na wakati wote tunatafutaga wa kumtupia lawama
 
Halafu huko Mitamba kwa ishu za mauaji ndio kwenyewe
KWA uzoefu hivi zile taarifa kupitia cctv za asili kuonyeshwa tukio zima la mauaji huwa ni za kweli kumpata muhusika.Nijuavyo majini wanaback storage history ya mtu yeyeto,KWA mujibu wa elimu ya falaki.
Hata Mashirika makubwa ya kijasusi utumia njia hii kunasa wahalifu wa tukio fulani.
Umewahi sikia hii.
Maana ulimwengu usioonekana upo more advance kuliko sisi.
 
Back
Top Bottom