Tashacobbs
JF-Expert Member
- Jun 18, 2022
- 572
- 1,559
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Edge of darkness.......Binti wa Mel Gibson alikua anafanya kazi kwenye chemical plant, akauliwa, kwakuwa alikuwa ana siri kubwa kuhusu hiyo plant na alikuwa ana plan ya kui expose kwa public.Nime
Mshana tafuta movie hizi mbili
Age of darkness ya mel gibson
Na
Work of death ya van damme
Ziangalie alafu fuatilia hili tukio
Mtoto alishuhudia je jamaaa alifanya Kosa gan je hakwenda policeAcha kabisa! Aliamua tu kumsitiri mumewe, maana hawakuja kuvamia ili waibe! Na tukio linatoke kulikua na watoto wake mmoja wa kiume ni rika sawa na mimi hivyo ilikua ni patashika nguo kuchanika[emoji26]
Dah kwahio mzee aliliwa kiboga au ilikuwaje?Acha kabisa! Aliamua tu kumsitiri mumewe, maana hawakuja kuvamia ili waibe! Na tukio linatoke kulikua na watoto wake mmoja wa kiume ni rika sawa na mimi hivyo ilikua ni patashika nguo kuchanika[emoji26]
Yaani hata boss awe mkuda ndio umchome? Unakuwa na matatizo ya wivu ulopitiliza. Ukuda kwamba kwa mfano. kakubana ufanye kazi ama usiibe ndo umchome?....Ila sikushangai. Watu wengi wakishindwa kumpanda boss kichwani huwa wanawaza kama wewe😕😒😔Cheo dhamana! Unaweza kuta alikua mkuda
Huyo demu alipigwa shot ya sumu. Kisha wakamchoma ili kupoteza ushahidi. Sema nashindwa kuelewa ni kwamba walimteka tokea kanisani au relationshipa ya hio Camera na kanisa ikoje?Yaani hata boss awe mkuda ndio umchome? Unakuwa na matatizo ya wivu ulopitiliza. Ukuda kwamba kwa mfano. kakubana ufanye kazi ama usiibe ndo umchome?....Ila sikushangai. Watu wengi wakishindwa kumpanda boss kichwani huwa wanawaza kama wewe😕😒😔
Aiseeee na huyu baba yake alijishughulisha na nn maana sura sio ngeni nadhani kwanguHumu kila mtu anaongea lake, lakini huyo dada aliyekuwa mchumba wake ni rafiki yangu sana wamekuwepo kwenye mahusiano kwa miaka sita na mwaka huu ndiyo walikuwa wamepanga waoane.
I'm doing my home-work.Leo ndo tumeaga muhimbili kesho kibaha...Bado Kuna sintofahamu haijulikani dear....au labda uhasama mtu akaamua kutumia hii scenario ya kwamba anaenda mtambulisha mchumba nikimuua(maana waliomteka walikusudia Hilo) itajuliana kama ni swala la mahusiano mambo ya alibi sijui
Inawezekana ili ufike kwao unalipita kanisa ambalo lina cctvHuyo demu alipigwa shot ya sumu. Kisha wakamchoma ili kupoteza ushahidi. Sema nashindwa kuelewa ni kwamba walimteka tokea kanisani au relationshipa ya hio Camera na kanisa ikoje?
Ni za kanisa.. Walikuwa kanisaniAlikuwa anaolewa this year.
Alipigiwa simu akatoka home cctv za kwao zilionyesha,
Alikuwa anaolewa this year.
Alipigiwa simu akatoka home cctv za kwao zilionyesha,
Mzee kaongea kimafumbo KWA sisi wazee wa codes mzee anajua 40% kuhusu possible ya chanzo, afungue tu codes na watu wa intelligence ni rahisi kumpata muuaji, then Hakuna kumpeleka mahakamani akashinde. Anatendewa the same.Kumbe Mzee ni dr.
Inaonyesha walikaa naye Kwa muda na ukiangalia Kuna mengi sana juu ya hiki kifo
Hawa wajinga hawajui hayo maneno yalivyo na athari kubwa baadaye. Chukihuanza kidogokidogo kwa mambo kama hayo na hatimaye kuwa tatizo. Umeeleza vizuri sana, wapo wanaoyaweka moyoni kidogokidogo siku mambo yakilipuka Watu wanashangaa kumetokea nini. Vijana waache ujinga wa kutumia hilo neno la Sukuma gangacha kuendekeza ukabila , wenye kabila wanasoma na unajenga generation ya visasi baadae migogoro mingi huanza kweny utan kama hv sio wote wanamapokeo sawa , Kama upo timamu utaelewa kama ni kichaa hutoelewa , unamchukia Jpm usihusishe kabila lenye mikoa 5 na mazalia kwenye mikoa zaid ya 10 hapa tz , mimi sio msukuma wala sio mtu wa kanda ya ziwa ila mambo huanza huku mnapoanza nyiny wapo wanakerwa ila hawatak kuchangia ila unajenga nin mioyon mwao , sio kila msukuma ni fan wa Jpm , kama huna hoja ya kumkosoa mtu epuka kutumia kabila , usitupeleke walipotoka Kenya 2007 , Rwanda 1994 , Somalia 1990 , Liberia 1980 , Nigeria 1960s to 1990s , Uganda 1960s to 1986 KEMEA ELEMENT ZA UKABILA , Iwapo wasukuma wakiungana kama unavyodai kila uchaguzi watashinda sasa usiipelekee tz huko KEMEA UKABILA