Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Edge of darkness.......Binti wa Mel Gibson alikua anafanya kazi kwenye chemical plant, akauliwa, kwakuwa alikuwa ana siri kubwa kuhusu hiyo plant na alikuwa ana plan ya kui expose kwa public.

Mwisho baba nae alikufa.

Hii case nayo ni same scenario? [emoji848]
ukisikiliza hiyo audio aliyoweka mshana, baba wa mtoto anadai mtoto wake alichomwa sindano ya kuua figo na kuomba vyombo vya usalama vifanye uchunguzi japokuwa wengi mitandaoni wamehusisha na mambo ya mahusiano lkn inaweza kuwa ni mambo ya kazi pia.
 
UNKNOWN SOURCES/SIJATHIBITISHA

Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …

Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..

Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..

Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?

Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..

Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..

Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..

Mungu ailaze roho ya marehemu Martha [emoji17].

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
 
I'm doing my home-work.
Kwanini wamchome moto akiwa hai?
Aliwezaje kufanikiwa kuwatoroka?
Je walipomteka walimtoa fahamu kwanza, wakaamini wameshamuua ndipo wakaenda kumchoma moto, na kuondoka? na hivyo moto ukamzindua na kuanza kukimbia?

Au, walimchoma moto akiwa hai na kumuacha afanikiwe kutoroka ili aweze kuongea maneno yatakayopelekea upeleleza kuhama mbali kabisa na sababu ya tukio hilo na kuwaelemea wengine?

Waliofanya tukio hili are very professional events planners and killers, nawwza nikathubutu kusema waliofanya tukio hili hawatokei ndani ya mipaka ya nchi yetu.
sasa mimi nakwambia ni VIBAKA wapuuzi tu hawana mbinu zozote za kufanya uhalifu. Yani unamchoma mtu sindano ya sumu unaona hajafa vizuri unaamua kumchoma moto?? tena moto wenyewe madaktari wanasema haujamuathiri sana. Wataalamu wanatumia mbinu moja tu kukupoteza sio kubahatisha mara sindano...mara motoo yani hata dose ya sumu iliwashinda kucalculate.
 
UNKNOWN SOURCES/SIJATHIBITISHA

Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …

Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..

Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..

Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?

Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..

Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..

Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..

Mungu ailaze roho ya marehemu Martha [emoji17].

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Ngoja tuone
 
UNKNOWN SOURCES/SIJATHIBITISHA

Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …

Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..

Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..

Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?

Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..

Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..

Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..

Mungu ailaze roho ya marehemu Martha [emoji17].

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Uyu boss ali plan kama yuko kwenye bongo movie
 
UNKNOWN SOURCES/SIJATHIBITISHA

Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …

Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..

Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..

Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?

Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..

Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..

Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..

Mungu ailaze roho ya marehemu Martha [emoji17].

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Loh! Pole yake sana!
 
Jambo usilolijua ni km usiku wa kiza na kla mtu atabeba mzgo wake mwenyewe

Kuna kitu tunakiitaga maslahi ni maneno machache ila ni mabaya sana mtu anaweza muuwa kurog ata kutenda ubaya zaidi ksa maslai yake yameingiliwa au yameguswa
Tue makin sana na kitu kinaitwa maslahi

Mungu aipumzishe roho ya marehemu kafa kifo kibaya sana cha kufa unajiona
Mungu wape roho ya uvumilivu wana familia kwa kupoteza
 
Back
Top Bottom