Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Dah[emoji24]View attachment 2548968
1678708356367.jpg
 
Wanasema alikua church akaitwa nje

Don’t know how [emoji2368]
Ni hivi;

1. Kuna tetesi zinasema alikuwa amtambulishe mchumba wake kesho yake tu

2. Alivyokuwa kanisani alipigiwa simu na kwa jinsi Mzee alivyoongea ni kama hao watu wabaya waliiga sauti ya boyfriend wake.

3. Alivyotoka kwenda kuitikia wito wa aliyedhani ni boyfriend wake, ndio akatokomea mazima.

4. Martha alikuwa na fahamu mpaka akataja namba za baba yake, so yawezekana pia kabla hajapoteza fahamu kabisa alitoa abc kwa familia ndio maana Mzee anaongea kwa confidence kabisa

5. Wauaji ni watu smart sana, walijua kanisani kuna CCTV so wao walikaa nje mbali kabisa ili hiyo CCTV isiwaone wala kuona usafiri wao.

6. Martha aliachishwa kazi mwezi mmoja nyuma, yawezekana kulikuwa na uchunguzi unaendelea na Martha angeweza kuwa mtoa ushahidi muhimu kwahiyo.

7. Kwa Scenario ya mauaji haya, hii ni dhahiri sio wivu wa mapenzi ila ni mambo ya kazi. Wauaji ni Professional killers na lazima wamekodiwa na watu wenye mpunga mrefu kuficha traces zozote za ushahidi.

8. Branch Manager na staffs wa BOA Kahama kazi mnayo
 
UNKNOWN SOURCES/SIJATHIBITISHA

Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …

Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..

Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..

Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?

Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..

Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..

Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..

Mungu ailaze roho ya marehemu Martha [emoji17].

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Sahihi.. hii ngoma lazima ni watu wenye mtonyo mrefu wameifanya. Tena kumix alibi wamefanya kwa kutegeshea ishu za kutambulisha mchumba ili kupoteza watu maboya.

Ni dhahiri tangu anaachishwa kazi alikuwa akifuatiliwa kwa ukaribu sana huku mchongo wa kutolewa duniani ukifanyika
 
Huyu Martha Towa aliungua tarehe 3,March,akapelekwa hospitali. Amekufa tarehe 9. Kwa hiyo presumably alikuwa anazungumza na polish. And yet polisi wanasema hiki kifo ni utata mtupu.
Mkuu, umeshasema hapo kwamba "presumably"...that means inawezekana polisi walizungumza naye au hawakuzungumza naye. Lakini pia, zingatia kwamba ukiwa hai tena ICU haimaanishi kwamba ni lazima uweze kuzungumza, pengine alikuwa anapumua tu lakini hoi bin taaban.

Aidha, hata kama aliweza kuzungumza, ushahidi wa huyu mgonjwa hauwezi kuaminiwa kama ulivyo kwa kuzingatia hali yake. Lazima ushahidi huu uhusianishwe na ushahidi mwingine ili kuupa nguvu.

Sheria ni sayansi. Shahidi namba moja akishakufa huwa kuna mambo mengi ambayo yanafifisha uzito wa ushahidi wa watu wengine.

In criminal litigations the standard of proof is BEYOND REASONABLE DOUBTS. Ishu inakuja hapo kwenye kuthibitisha bila kuacha shaka. Ndiyo maana watuhumiwa wengi wa makesi ya namna hii huwa wanaachiliwa huru hata kama ni kweli wametenda kosa.
 
Nitaendelea kusema waafrika ni watu makatili kuliko jamii yoyote duniani, lakini sio wote makatili. Nisieleweke vibaya.
 
KWA uzoefu hivi zile taarifa kupitia cctv za asili kuonyeshwa tukio zima la mauaji huwa ni za kweli kumpata muhusika.Nijuavyo majini wanaback storage history ya mtu yeyeto,KWA mujibu wa elimu ya falaki.
Hata Mashirika makubwa ya kijasusi utumia njia hii kunasa wahalifu wa tukio fulani.
Umewahi sikia hii.
Maana ulimwengu usioonekana upo more advance kuliko sisi.
Inaitwa psychic investigation
 
Back
Top Bottom