Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Ni hivi;

1. Kuna tetesi zinasema alikuwa amtambulishe mchumba wake kesho yake tu

2. Alivyokuwa kanisani alipigiwa simu na kwa jinsi Mzee alivyoongea ni kama hao watu wabaya waliiga sauti ya boyfriend wake.

3. Alivyotoka kwenda kuitikia wito wa aliyedhani ni boyfriend wake, ndio akatokomea mazima.

4. Martha alikuwa na fahamu mpaka akataja namba za baba yake, so yawezekana pia kabla hajapoteza fahamu kabisa alitoa abc kwa familia ndio maana Mzee anaongea kwa confidence kabisa

5. Wauaji ni watu smart sana, walijua kanisani kuna CCTV so wao walikaa nje mbali kabisa ili hiyo CCTV isiwaone wala kuona usafiri wao.

6. Martha aliachishwa kazi mwezi mmoja nyuma, yawezekana kulikuwa na uchunguzi unaendelea na Martha angeweza kuwa mtoa ushahidi muhimu kwahiyo.

7. Kwa Scenario ya mauaji haya, hii ni dhahiri sio wivu wa mapenzi ila ni mambo ya kazi. Wauaji ni Professional killers na lazima wamekodiwa na watu wenye mpunga mrefu kuficha traces zozote za ushahidi.

8. Branch Manager na staffs wa BOA Kahama kazi mnayo
hasa branch manager na watu wauzaji wa madini
 
Ni hivi;

1. Kuna tetesi zinasema alikuwa amtambulishe mchumba wake kesho yake tu

2. Alivyokuwa kanisani alipigiwa simu na kwa jinsi Mzee alivyoongea ni kama hao watu wabaya waliiga sauti ya boyfriend wake.

3. Alivyotoka kwenda kuitikia wito wa aliyedhani ni boyfriend wake, ndio akatokomea mazima.

4. Martha alikuwa na fahamu mpaka akataja namba za baba yake, so yawezekana pia kabla hajapoteza fahamu kabisa alitoa abc kwa familia ndio maana Mzee anaongea kwa confidence kabisa

5. Wauaji ni watu smart sana, walijua kanisani kuna CCTV so wao walikaa nje mbali kabisa ili hiyo CCTV isiwaone wala kuona usafiri wao.

6. Martha aliachishwa kazi mwezi mmoja nyuma, yawezekana kulikuwa na uchunguzi unaendelea na Martha angeweza kuwa mtoa ushahidi muhimu kwahiyo.

7. Kwa Scenario ya mauaji haya, hii ni dhahiri sio wivu wa mapenzi ila ni mambo ya kazi. Wauaji ni Professional killers na lazima wamekodiwa na watu wenye mpunga mrefu kuficha traces zozote za ushahidi.

8. Branch Manager na staffs wa BOA Kahama kazi mnayo
No. 6 inaweza kuwa sahihi, issue ya mapenzi naipa 15%, issue ya madini na deals za pesa naipa 85%, inawezekana bank walikwapua madini na yeye anajua kila kitu na alikuwa snitch wakaona wamwondoe kuepusha wasijulikane, wanawake wengi huwa Ni waoga sana kwenye issue za deal. Hivyo walijua atawataja.
 
No. 6 inaweza kuwa sahihi, issue ya mapenzi naipa 15%, issue ya madini na deals za pesa naipa 85%, inawezekana bank walikwapua madini na yeye anajua kila kitu na alikuwa snitch wakaona wamwondoe kuepusha wasijulikane, wanawake wengi huwa Ni waoga sana kwenye issue za deal. Hivyo walijua atawataja.
Una hoja
 
.
20230314_123458.jpg
 
Mwanangu nataka uwe muhasibu [emoji1]

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niko nje ya hiyo kada kabisa.
Japo nimesoma maths tangu chekechea had now.

Mie ntauwawa kabla ya kuanza kazi enyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
No. 6 inaweza kuwa sahihi, issue ya mapenzi naipa 15%, issue ya madini na deals za pesa naipa 85%, inawezekana bank walikwapua madini na yeye anajua kila kitu na alikuwa snitch wakaona wamwondoe kuepusha wasijulikane, wanawake wengi huwa Ni waoga sana kwenye issue za deal. Hivyo walijua atawataja.
Uko sawa na mie kimawazo.
 
Kama kuna jambo ambalo unatakiwa uwe unaliombea sana katika maisha ya kila siku ni kuepuka kuishi na uadui na watu wanaokuzunguka,ni ngumu kuepuka lakini kwa uwezo wa Mungu inawezekana,na mbaya sana katika hao maadui uogope yule ambaye ana tabia ya kulipiza kisasi,maana kuna watu wao ni 'do me i do you',hawa ni hatari sana.Hapa ukiangalia kuna mambo matatu yanaweza kuhusika Kisasi,kupoteza ushahidi au kumuadabisha...,
Na mimi ni kariba ya watu wa kisasi,tena naweza nikakuacha kwa miaka kadhaa then nakufanyia pasipo kujua ni nani kafanya na kwa sababu zipi maana unakuwa umesahau ubaya ulipnifanyia.
 
Huyu sio binti wa Dr. Towo? Ila binadamu tuna roho mbaya sana! Hivi kweli unaamua kumuua mwenzako kwa kumwagia petrol na kuwasha kiberiti hadi afe?! Kosa alilofanya halikuwa na adhabu mbadala? Pole familia ya Towo. RIP dada yetu.
Ebu niambie rafiki yako wa muda mrefu alitembra na mume wako na kumwagia siri zako zingine za uongo, je?adhabu mbadala ni ipi hapo?
 
Mimi nikisema tuache unafiki tuanze kunyonga wauaji sijui naonekana katili?

Adhabu ya kunyongwa mpaka kufa ipo kwa mujibu wa sheria na ina umuhimu mkubwa sana katika kilinda uhai wa wengi.

Viongozi wetu waache uoga na waridhie utekelezwaji wa adhabu hiyo.
 
Back
Top Bottom