mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Duh !Nyie wenyewe mliomuua hamjakubali kama kafa bado sembuse sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh !Nyie wenyewe mliomuua hamjakubali kama kafa bado sembuse sisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Matapeli wa simu tuma kwa namba hii hawapatikani kirahisi itakuwa wauaji!
"walimchoma moto akiwa hai na kumuacha afanikiwe kutoroka ili aweze kuongea maneno yatakayopelekea upeleleza kuhama mbali kabisa na sababu ya tukio hilo"I'm doing my home-work.
Kwanini wamchome moto akiwa hai?
Aliwezaje kufanikiwa kuwatoroka?
Je walipomteka walimtoa fahamu kwanza, wakaamini wameshamuua ndipo wakaenda kumchoma moto, na kuondoka? na hivyo moto ukamzindua na kuanza kukimbia?
Au, walimchoma moto akiwa hai na kumuacha afanikiwe kutoroka ili aweze kuongea maneno yatakayopelekea upeleleza kuhama mbali kabisa na sababu ya tukio hilo na kuwaelemea wengine?
Waliofanya tukio hili are very professional events planners and killers, nawwza nikathubutu kusema waliofanya tukio hili hawatokei ndani ya mipaka ya nchi yetu.
White magic inafanyaje kazi mkuuWhite magic inayo uwezo wa kubaini muuaji. Toka mwanzo hadi mwisho kama cctv vile
Kwenye pesa binadamu yuko tayari kufanya chochote kile mradi tu aipate,so sad...UNKNOWN SOURCES/SIJATHIBITISHA
Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …
Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..
Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..
Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?
Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..
Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..
Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..
Mungu ailaze roho ya marehemu Martha [emoji17].
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Kuna uwezekano wauaji walimfuatilia mienendo yake na kumfahamu na kum mark vya kutosha."walimchoma moto akiwa hai na kumuacha afanikiwe kutoroka ili aweze kuongea maneno yatakayopelekea upeleleza kuhama mbali kabisa na sababu ya tukio hilo"
Unaweza kuelezea kidogo hapa mkuu. Kitu gani kingelisababisha aongee maneno yanayoweza kuondoa ushahidi wa tukio baada ya kufanikiwa kupona kifo?
Poleni sana ndugu na jamaa Mungu ampe pumziko jema
Lisaidie jeshi la polisiMkuu achana na mimi mkuu[emoji16]
Professional Killers Tanzania sio watu wa mchezoAt that point lazima atakuwa ameongea vingi sanaa
Kafa tarehe 9/3. Soma tenaMkuu kwani wamesema kuwa kafa au mimi sijui kusoma!!?
This is very stupid of youCheo dhamana! Unaweza kuta alikua mkuda
Police wa huko inaonyesha Wanaletewa matukio Kila sikuUko kahama geita ni noma Kuna matukio huko Kuna mtu mnajua alipewa sumu kwenye msosi akafa
Lissu hakutoa ushirikiano na jeshi la polisi sio siri
Wengine ni rohoo mbayaa tuu yani Ukishakuwa mtu mzima mkuu utakutana na vioja vingi sanaa.. unaedhani ni jirani yako kumbe ndo Mtu anaekuchukia na kukufanyia mabaya sirini kila sikuu yani BINADAMU ACHANA NAO. Sio wote wanaotendwa ubaya walifanya ubayaa.Kama kuna jambo ambalo unatakiwa uwe unaliombea sana katika maisha ya kila siku ni kuepuka kuishi na uadui na watu wanaokuzunguka,ni ngumu kuepuka lakini kwa uwezo wa Mungu inawezekana,na mbaya sana katika hao maadui uogope yule ambaye ana tabia ya kulipiza kisasi,maana kuna watu wao ni 'do me i do you',hawa ni hatari sana.Hapa ukiangalia kuna mambo matatu yanaweza kuhusika Kisasi,kupoteza ushahidi au kumuadabisha...,