Tetesi: Mhe. Lissu kukamatwa airport pindi atapowasili

Status
Not open for further replies.
Analijua Hilo atakamatwa ndo vizuri ili lile neno litimie
 

Cause and effect.Siku Mrema alipoachwa kupigwa mabomu na polisi na kuruhusiwa gari lake kusukumwa na wananchi ndipo umaarufu wake ulipopotea.
 
Bullet survivor haogopi kukamatwa.
Huwa tunawambia everyday polisi hili la kuwajengea watu kuzoea kukamatwa si tija,leo wapinzani hawaogopi kukamatwa bila kosa,vituo vya polisi wanaona ni sawa na sebuleni.
 
Hatari kabisa yaani Lissu anawatia hofu hawalali kabisa kwani walitegemea arejee mfu lakini Mungu ni mkubwa!
 
Ulimbukeni mwingine! Unaanzaje kumfananisha TL na Mandera! Hebu tumieni viakuli vidogo mlivyonavyo kusoma historia vizuri!
Mandera[emoji735]=Mandela[emoji3514]

Huko shule mlienda kusomea ujinga!
 
inabidi nikaowe kwa wanyiramba hawa watu nadhani walitoka huko Ethiopia kwa mwana wa Suleiman king Haille Selasie. Jah Bless Bob Lissu.
 
Mkisha mkamata mumfungulie mashitaka yafuatayo:-
1. Kumaliza risasi za mamlaka ya wauaji
2. Kufanya kiburi na kugoma kufa
3. Kwenda kutibiwa nje bila ruhusa ya mkuu
Wasiojulikana kuendelea kutojulikana
 
Kesi zake nyingi zipo mahakamani, Zinaendelea zipo katika muendelezo, Hazijafikia ukumu , Hivyo mahakama haiwezi toa amri tu akamatwe wakati kesi zake zilizo nyingi hukumu adhabu yake hakuna kifungo cha ndani magereza wala nje nyumbani.
 

Mie ni mmojawapo ... kuna nini nyuma ya pazia? Matamko mbalimbali na hii niokotayo hapa ... JF INTEL.
Yajayo yatafurahisha na kuwaacha wengine pabaya. Ya wahenga ... ukiona panafuka moshi ....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…