Tetesi: Mhe. Lissu kukamatwa airport pindi atapowasili

Tetesi: Mhe. Lissu kukamatwa airport pindi atapowasili

Status
Not open for further replies.
Bora ungesema wakili wake atanyimwa Visa ya kuingia nchini
 
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mhe. Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Haogopi kukamatwa

Jr[emoji769]
 
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mhe. Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Atawekwa quarantine kwa Siku 14 tu maana Corona bado ipo
 
Daah,ama kweli tunatofautiana akili na kihemko ya kisiasa! Hivi kweli mkuu ukiwa na akili timamu bila kushawishiwa wala kushinikizwa na mtu yoyote unaamini Tundu Antipass Lissu atamshinda John Joseph Pombe Magufuli kwenye Uchaguzi mkuu 2020? Na uko serious?
Hilo la kukamatwa kwake wala sio habari. Toka Magufuli aingie madarakani Lisu amekamatwa mara nyingi, mpaka kufikia kupigwa risasi ili kumuua. Sasa hivi katangaza kutaka kushindana na Magufuli, huku Magufuli akiwa hana uwezo wa kushindana naye kwenye box la kura, hapo unategemea ataacha kutumia madaraka yake kuagiza akamatwe?
 
Hata Makaburu hawakujua athari za kumfunga Mandela mpaka yalipotimia.

Similarly, hata Farao hakujua gharama halisi ya kupambana na Musa until it was too late.

Halikadhalika,Wayahudi hawakuamini kuwa Yesu hakuwa mwanadamu wa kawaida mpaka giza lilipotanda mchana kweupe baada ya yeye kufa msalabani kabila ya kuja kufufuka siku ya tatu.

Hivyo, kwa kuzingatia historia hii na maandiko haya, basi hata nyingi yawapasa kuyatenda myatendayo.
Usimfananishe mandela na machizi
 
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mhe. Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Akamatwe kwa kosa gani? Lissu hajawahi kuwa muoga kiasi hicho, ni lazima aje sasa mtake msitake.
 
Kweli nazidi kuamini kuna watu walioko kwenye system hawakupenda huyu GENTLEMAN TL Hata apone....ila ya Mungu mengi.jamaa anarudi home..... Home sweet home and not otherwise.katika historia ya siasa za Tanzania sijawahi kushuhudia chuki za wazi wazi kabisa za kisiasa kama awamu Hii.
Utawala wa CCM hauna tofauti na mashetani Mkuu, hebu fikiria wale MAMIA YA WAPEMBA waliouawa kule Pemba pasipo hatia yeyote. Hawa WAHALIFU siku zao zinahesabika.
 
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mhe. Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama

Kila Mtanzania amesikia Rais Magufuli akiliagiza Jeshi la Polisi na Vyombo vingine va Ulinzi na Usalama kutokutumia nguvu wakti huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu....!!!
Ngoja tusibiri yajayo........!
 
Lissu anakuja nyie endeleeni na mipango yenu dhalimu hakuna cha kuogopa tena zaidi ya uoga wenyewe.
Bora arudi mwenyewe passport yake ibaki Safi kuliko kurudishwa na Interpol

Ila mkifika lango la ukonga mpite kimyakimya msijewapandisha mzuka wale jamaa wakawavunja Tena mikono
 
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mhe. Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Hakuna anaejua madhara ya makosa kabla hajakosea.
 
Wasalaam, kuna taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa mh lissu atakamatwa kwa amri ya mahakamana pindi atapowasili. Inasemekana tayari police walishakabidhiwa arrest warrant kumkamata na kumnyima dhamana.

Mlio karibu na Mhe. Lissu mshaurini asirudi bora abadili gia angani.

Muda ni rafiki, maendeleo yana vyama
Usiwe unapokea kila taarifa na kuitupia tu bila kuchuja,

Mahakama ya Tanzani haina ground za kutoa kibali (warrant) ya kukamatwa mtu ambae si mikosefu mbele ya mahakama hiyo.

Lissu ni mtuhumiwa katika mahaka ya Kisutu, ana kesi sita pale na zote zimesimama zinasubiri arudi zitaendelea kusikilizwa kama kawaida na Lissu ana dhamana.

Izingatiwe mahakama imekataa kukubali wadhamini wajiondoe ambayo ndio ingekuwa ground ya kumkamata akirejea. Kwasasa mahakama haihusiani na lolote litakalohusu kukamatwa ama vinginevyo. Ikiwa atakamatwa hilo litakuwa ni maagizo ya serikali na sio mahakama.

Nikushauri acha taharuki zisizokuwa na kichwa wala miguu...
 
Bora arudi mwenyewe passport yake ibaki Safi kuliko kurudishwa na Interpol

Ila mkifika lango la ukonga mpite kimyakimya msijewapandisha mzuka wale jamaa wakawavunja Tena mikono
Lissu ana kuuma eh 🤣🤣🤣
 
Usiwe unapokea kila taarifa na kuitupia tu bila kuchuja,

Mahakama ya Tanzani haina ground za kutoa kibali (warrant) ya kukamatwa mtu ambae si mikosefu mbele ya mahakama hiyo.

Lissu ni mtuhumiwa katika mahaka ya Kisutu, ana kesi sita pale na zote zimesimama zinasubiri arudi zitaendelea kusikilizwa kama kawaida na Lissu ana dhamana.

Izingatiwe mahakama imekataa kukubali wadhamini wajiondoe ambayo ndio ingekuwa ground ya kumkamata akirejea. Kwasasa mahakama haihusiani na lolote litakalohusu kukamatwa ama vinginevyo. Ikiwa atakamatwa hilo litakuwa ni maagizo ya serikali na sio mahakama.

Nikushauri acha taharuki zisizokuwa na kichwa wala miguu...
Lissu Ni mtu wa kawaida Kama makonda na gwajima aje tuomboleze tu, akifika chamsingi akabidhi diplomatic passport yetu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom